27 Aprili, 2025

Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Hakan Fidan aelekea Qatar kwa mazungumzo kuhusu Gaza

Waziri Fidan atakutana na amir na waziri mkuu wa Qatar ili kuimarisha ushirikiano wa pande mbili na kuratibu diplomasia ya kikanda huku kukiwa na mzozo wa Gaza.

fab 1 2

27 Aprili, 2025

Spika wa bunge la Uturuki ahudhuria mazishi ya Papa Francis huko Vatican

Zaidi ya watu 250,000, ikiwa ni pamoja na viongozi mbalimbali wa dunia, familia ya kifalme, walihudhuria mazishi ya papa.

fab 1

26 Aprili, 2025

Rais wa Uturuki, waziri mkuu wa New Zealand wajadili uhusiano wa pande mbili huko Istanbul

Mkutano katika Ofisi ya Rais ya Dolmabahce pia unashughulikia masuala ya kikanda na kimataifa.

fab 1 2

25 Aprili, 2025

Erdogan: Uturuki iko tayari kuandaa michezo ya Olimpiki wakati UEFA ikifungua ofisi zake Istanbul

Rais wa Uturuki ameeleza sifa za taifa lake katika suala la michezo duniani wakati wa hafla ya maandalizi ya mechi za Euro 2032.

uefa

23 Aprili, 2025

Uturuki inasherehekea siku ya Uhuru na Siku ya Watoto, ikiwa pia ni siku ya kuanzishwa kwa Bunge

Huku sauti za watoto zikirindima kote nchini, Uturuki inaadhimisha kuanzishwa kwa bunge pia, ambapo mbegu ya uhuru ilipandwa na kutoa fursa kwa vizazi vya baadaye.

turkey 20front 20image

23 Aprili, 2025

Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6.2 lapiga Istanbul, hakuna madhara yaliyoripotiwa

Tetemeko la ardhi Istanbul. Nawatakia mema raia wetu, na tunafuatilia kwa karibu yanayojiri, amesema Rais Recep Tayyip Erdogan

aa 20250423 37723322 37723315 istanbulda 62 buyuklugunde deprem

23 Aprili, 2025

Uturuki inatoa salamu za rambirambi kwa wahanga wa shambulio la Kashmir

Watu wenye silaha waliwafyatulia risasi watalii huko Pahalgam, na kusababisha vifo vya takriban watu 26.

fab 1

23 Aprili, 2025

Rais Erdogan wa Uturuki apongeza msimamo thabiti wa Pakistan kuhusu Gaza

“Pakistani ni mojawapo ya nchi ambazo zilijibu kwa nguvu zaidi mauaji ya halaiki huko Gaza,” anasema Recep Tayyip Erdogan.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab

22 Aprili, 2025

Algeria inalenga kuimarisha kiwango cha biashara na Uturuki hadi dola Bilioni 10-Waziri wa Algeria

Mawaziri wa mambo ya nje wa Algeria, Uturuki wenyeviti wenza waratibu mkutano wa tatu wa mipango kati ya Uturuki na Algeria.

fidan 20algeria

21 Aprili, 2025

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Fidan akutana na ujumbe wa Hamas kujadili kusitisha mapigano Gaza

Ankara inataka mwitikio mkubwa wa kimataifa kwa vikwazo vya Israel dhidi ya Gaza na inathibitisha kuunga mkono maridhiano ya Wapalestina katika mazungumzo ya ngazi ya juu na uongozi wa Hamas.

fab 1 2 3 4 5 6
Inapakia...