Watano wauawa katika shambulio la anga la Israel karibu na Khan Younis

“Hamas ilifanya ukiukaji wa wazi wa makubaliano ya kusitisha mapigano, ambapo magaidi waliwashambulia wanajeshi wa IDF.” — Jeshi la Ulinzi la Israel
4 Desemba, 2025
Mfanyabiashara Niffer Afutiwa Kesi ya Uhaini, Aachiliwa Huru

DPP afuta mashtaka dhidi ya Jenifer Jovin na Mika Chavala, wakili wa Serikali atangaza kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi.
3 Desemba, 2025
Mchochezi wa Mitandaoni Zambia Afungwa Kwa Kumtukana Rais Hichilema

Ethel Edwards ahukumiwa miezi 18 jela licha ya kuomba msamaha.
3 Desemba, 2025
Papa Leo Awasihi Walebanon Kuachana na Migawanyiko ya Kikabila na Kisiasa

Papa Leo ametoa wito kwa jamii za Lebanon kuungana kutatua mizozo ya kisiasa na kiuchumi katika Misa iliyohudhuriwa na makumi ya maelfu.
2 Desemba, 2025
Inapakia...


