16 Mei, 2025

Bunge la Uganda laidhinisha pendekezo la bajeti ya Dola Bilioni 20

Serikali imesema itaweka kipaumbele katika sekta ya kilimo-viwanda, utalii na madini.

bunge 20uganda

16 Mei, 2025

Chama cha TPLF Ethiopia chailalamikia AU baada ya kufutiwa usajili na Tume ya Uchaguzi

Tume ya Uchaguzi ya Ethiopia imedai kuwa TPLF imeshindwa kutekeleza “hatua za marekebisho” zinazotakiwa.

653a9d2c 0351 4ac6 b52d c8194d02ac1c

16 Mei, 2025

Rais wa zamani wa Gabon aelekea Angola na familia yake

Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo, aliyeondolewa madarakani katika mapinduzi mwaka 2023, amesafiri kwa ndege hadi Angola pamoja na mkewe na mwanae, ambao walihamishwa kutoka jela hadi kifungo cha nyumbani wiki iliyopita.

bango33

16 Mei, 2025

Mkuu wa Jeshi Uganda awatisha mabalozi wasiomuunga mkono baba yake

Rais wa Uganda Yoweri Museveni bado hajatamka lolote baada ya ujumbe wa mitandaoni ya mtoto wake ambaye anajulikana kwa kutoa matamko mara kwa mara yenye utata mtandaoni.

yoweri

16 Mei, 2025

Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yaua kadhaa hospitali ya Sudan

Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika hospitali moja katika mji wa El-Obeid nchini Sudan yamesababisha vifo na majeruhi kadhaa, kulingana na walioshuhudia.

aa 37484802

16 Mei, 2025

Rwanda kuongeza kutumia dhahabu kama hazina

Ulimwenguni, benki kuu zimekuwa zikiongeza ununuzi wa dhahabu katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, kwani wasiwasi juu ya mfumko wa bei, kuyumba kwa sarafu, na kuhama kwa ushirikiano wa kisiasa wa kijiografia kumechochea mahitaji ya rasilimali.

australia gold refinery photo gallery 67453

15 Mei, 2025

Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa mazungumzo Libya baada ya kusitishwa mapigano mji mkuu

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameeleza kuridhishwa kwake na kusitishwa kwa mapigano nchini Libya baada ya vita kuzuka kati ya makundi yenye silaha maeneo ya mji mkuu wa Tripoli.

un 20chief 20reuters

15 Mei, 2025

Mfumo wa afya wa Sudan Kusini ‘unasambaratika’: Madaktari Wasio na Mipaka

Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limesema kuwa mashambulizi kwa vituo vya afya yanaongezeka nchini Sudan Kusini.

south 20sudan 20picha

15 Mei, 2025

Sudan Kusini yakanusha uzushi kuhusu kifo cha Rais Kiir

Wizara ya mambo ya nje ya Sudan Kusini imetoa taarifa ikisema kuwa “inakanusha na kukataa kabisa taarifa za kupotosha na uchochezi zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii”.

2025 04 03t124707z 579926705 rc28 pe7 rtrmadp 3 southsudan security 1

15 Mei, 2025

Waasi wa RSF waendelea kulenga miundombinu muhimu Sudan

Shambulio la RSF dhidi ya vituo vya kusambaza umeme lilisababisha kukatika kwa umeme katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum, na kuzidisha mateso ya raia.

1747301748368 ydubkr 2023 04 27t130941z 1026433036 rc2 n0apksk7 rtrmadp 3 sudan politics
Inapakia...