Prof Janabi ashinda uteuzi wa Mkurugenzi wa WHO – Kanda ya Afrika

Prof Janabi, daktari wa magonjwa ya moyo na msimamizi wa afya anayeheshimika sana, amekuwa na jukumu muhimu katika kuunda hali ya matibabu ya Tanzania.
18 Mei, 2025
11 wauawa katika shambulio la kujitoa mhanga Somalia

Takriban watu 11 wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa baada ya mshambuliaji wa kujitoa muhanga kujilipua nje ya kambi ya kijeshi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu siku ya Jumapili.
18 Mei, 2025
Wana vuguvugu wa upinzani kutoka Kenya wazuiwa kuingia Tanzania

Martha Karua, mwanasiasa mkongwe wa upinzani kutoka Kenya pamoja na wenzake wadaiwa kurejeshwa walikotoka, bila sababu kutolewa japo wanadai kuwa walikuwa wageni wa chama cha wanasheria Tanzania.
18 Mei, 2025
Mali ya mamia ya milioni yateketea katika moto mkubwa wa soko la nguo kuu kuu la Gikomba, Kenya

Mpangilio duni na msongamano wa vibanda na maduka zimesababisha visa vingi vya moto katika soko hili kubwa zaidi nchini Kenya na hasara ya mamia ya milioni ya pesa.
18 Mei, 2025

Naibu waziri wa mambo ya nje wa Uturuki azuru Burkina Faso ili kuimarisha uhusiano, kujadili usalama

Rais Bongo wa Gabon aliyeondolewa madarakani akimbilia Angola na familia yake

Mbunge wa pili wa upinzani afungwa jela Zambia kwa kauli za uchochezi

Kiongozi anayetaka kujitenga kwa Biafra Nigeria ashtakiwa Ufini kwa kuchochea ugaidi

Serikali ya kijeshi ya Guinea yachukua migodi 51 baada ya kufuta leseni zao
16 Mei, 2025
Bunge la Uganda laidhinisha pendekezo la bajeti ya Dola Bilioni 20
Serikali imesema itaweka kipaumbele katika sekta ya kilimo-viwanda, utalii na madini.

16 Mei, 2025
Chama cha TPLF Ethiopia chailalamikia AU baada ya kufutiwa usajili na Tume ya Uchaguzi
Tume ya Uchaguzi ya Ethiopia imedai kuwa TPLF imeshindwa kutekeleza “hatua za marekebisho” zinazotakiwa.

16 Mei, 2025
Rais wa zamani wa Gabon aelekea Angola na familia yake
Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo, aliyeondolewa madarakani katika mapinduzi mwaka 2023, amesafiri kwa ndege hadi Angola pamoja na mkewe na mwanae, ambao walihamishwa kutoka jela hadi kifungo cha nyumbani wiki iliyopita.

16 Mei, 2025
Mkuu wa Jeshi Uganda awatisha mabalozi wasiomuunga mkono baba yake
Rais wa Uganda Yoweri Museveni bado hajatamka lolote baada ya ujumbe wa mitandaoni ya mtoto wake ambaye anajulikana kwa kutoa matamko mara kwa mara yenye utata mtandaoni.

16 Mei, 2025
Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yaua kadhaa hospitali ya Sudan
Mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika hospitali moja katika mji wa El-Obeid nchini Sudan yamesababisha vifo na majeruhi kadhaa, kulingana na walioshuhudia.

16 Mei, 2025
Rwanda kuongeza kutumia dhahabu kama hazina
Ulimwenguni, benki kuu zimekuwa zikiongeza ununuzi wa dhahabu katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, kwani wasiwasi juu ya mfumko wa bei, kuyumba kwa sarafu, na kuhama kwa ushirikiano wa kisiasa wa kijiografia kumechochea mahitaji ya rasilimali.

15 Mei, 2025
Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa mazungumzo Libya baada ya kusitishwa mapigano mji mkuu
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameeleza kuridhishwa kwake na kusitishwa kwa mapigano nchini Libya baada ya vita kuzuka kati ya makundi yenye silaha maeneo ya mji mkuu wa Tripoli.

15 Mei, 2025
Mfumo wa afya wa Sudan Kusini ‘unasambaratika’: Madaktari Wasio na Mipaka
Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limesema kuwa mashambulizi kwa vituo vya afya yanaongezeka nchini Sudan Kusini.

15 Mei, 2025
Sudan Kusini yakanusha uzushi kuhusu kifo cha Rais Kiir
Wizara ya mambo ya nje ya Sudan Kusini imetoa taarifa ikisema kuwa “inakanusha na kukataa kabisa taarifa za kupotosha na uchochezi zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii”.

15 Mei, 2025
Waasi wa RSF waendelea kulenga miundombinu muhimu Sudan
Shambulio la RSF dhidi ya vituo vya kusambaza umeme lilisababisha kukatika kwa umeme katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum, na kuzidisha mateso ya raia.
