Ulimwengu

7e4463518e88316de634b89cac6b44f7f1f84607e55c3a26114efeba9977ad67

China yaionya Marekani kuhusu Taiwan

Kwa muda mrefu, China imekuwa ikidai umiliki wa eneo linalojitawala la Taiwan, huku Marekani nayo, ikiliunga mkono eneo la Taiwan kwa kulipa misaada ya silaha.

Ukraine yapokea shehena ya droni za kivita kutoka Ujerumani

Tukio hilo lilihudhuriwa na Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine na Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius jijini Munich.

Trump amlaumu rais wa Israel kwa kutotoa msamaha kwa Netanyahu

Rais wa Marekani amesema ni ‘aibu’ kwa Herzog kwa kutotoa msamaha, huku ofisi ya rais wa Israel ikisema ombi hilo linafanyiwa tathmini.

Kim Jong Un wa Korea Kaskazini amuandaa binti yake kuwa mrithi wa kiti cha urais

Idara ya Intelijensia ya Korea Kusini inaamini kuwa Korea Kaskazini wameanza hatua ya kumuandaa Kim Ju-ae, binti wa Rais Kim Jong Un, kama kiongozi ajaye.

Afrika

fa587149f394174b123a51be1897b37a994d849c677fb2fee1762a8120e97529

Umoja wa Afrika wataka kukomeshwa kwa mauaji ya Wapalestina

Mwenyekiti huyo wa Tume ya Umoja wa Afrika, pia alitumia fursa hiyo kuangazia migogoro mbalimbali barani Afrika

China kuziondolea ushuru nchi za Afrika ifikapo mwezi Mei

Hata hivyo, msamaha huo hautoihusu Eswatini, ambayo ina uhusiano wa kidiplomasia na Taiwan.

Motsepe: AFCON 2027 itafanyika Afrika Mashariki na si kwingineko

Michuano hiyo inaandaliwa kwa pamoja na Tanzania, Kenya na Uganda.

Serikali ya DRC yakubali kumaliza mapigano na waasi wa M23

Hata hivyo, hapakuwa na taarifa yoyote kuhusu jambo hilo kutoka kambi ya AFC/M23.