Ulimwengu

Mahakama Syria yamhukumu kifo Rais wa zamani Bashar al Assad
Mahakama nchini Syria imemhukumu Assad kwa kupanga mauaji, mateso, kufunga watu bila hatia na uhalifu dhidi ya ubinadamu.
Kwa mara kadhaa sasa, Zelensky ametadhaharisha kuhusu ushirikiano wa kijeshi kati ya Urusi na Korea Kaskazini.
Waendesha mashtaka wanapanga kuthibitisha kwamba Duane Davis ndiye aliyefanya mipango na kutoa maelekezo yaliyopelekea kifo cha Tupac Shakur, pamoja na kutoa silaha iliyotumika kumuua.
Marekani imeangazia usalama wa baharini, kukabiliana na ugaidi wakati wa mkutano kati ya balozi wa Marekani na mkuu wa baraza la urais la Yemen
Afrika

Trump athibitisha kubadilisha ndege kufuatia vitisho vya Iran
Rais wa Marekani amesema walinzi wake na jeshi la Marekani walimshauri kutumia ndege nyingine kufuatia tishio linalodaiwa kutoka Iran baada ya mkutano wa kilele wa NATO.
Mashambulizi hayo yalisababisha kukatika kwa umeme na kusababisha ukosefu wa umeme kusini mwa mji wa Zawiya.
Chombo hicho, ambacho kinatoa huduma za usafiri kati ya mji wa kaskazini wa Kariba na vijiji vya karibu, kilikumbwa na dhoruba kali, kabla ya kupinduka na kuzama ndani ya ziwa hilo.
Hakukuwa na taarifa kamili kuhusu wachimba migodi hao, ikiwemo uraia wao, huku maafisa wakielekea eneo la tukio.
Michezo






















