4d2cd488b928ecf18d090d988e65fa7f21a29c5d7144d4abda253eb131115146
f869b88498e22b991f5fd17e93ef315cef56349b77a6fa58f0c9b154ac27f4b5
9f2b437b18c89056f6a8dde8a705cdc423a8a762efb0731ee8e0e3221eccb1f7
ce2a3238a44ef9ef187d041cec863ff14ca17c5abc81f4d10496b04452a76983
30bcf7b4219c7a5b7081e71afe0f6883de90e2fef5b7c97e22521ebd110c6a6a
e3da168adfa268c3970c6cbf2ad09fbdd196157c23295d8b8858d8b053f1231e
f77eaae82f5c8ea6b429c47df4059b24c878c842616599657754c2125bc012e8
987c59b6d6bdc91e35d16ec18558c98ac0b4a1f0862991f19b2206d9292149ce
4434faaf3106034cbe10bc5c7713c1558fa1c8e179ef3523a82430fa9a891e9c
1748865533278 3q58w aa87381029e373a987473559ed8e7f3dac31e7c61635b99341bde2035a722053

Ulimwengu

2a2de8607acd13eaaa16f9cc9b2816aec9ac036a76e5c261332e09cb33ba4a2c

Shambulio lililotokea Boulder, Colorado lisababisha majeruhi wengi

Mkuu wa Polisi wa Boulder Stephen Redfearn hakuliita shambulizi la kigaidi kwa wakati huu, wakati FBI inaelezea kama hivyo.

                                   
Wawili wauawa, mamia wamekamatwa nchini Ufaransa baada ya ushindi wa Ligi ya Mabingwa wa PSG

Wakati wa sherehe kote nchini, raia 192, polisi 22 na wazima moto saba pia walijeruhiwa.

Kremlin yasema bado hakuna mpango wa mazungumzo ya simu kati ya Putin na Trump

Kremlin imesema bado hakuna mpango wa mazungumzo kwa njia ya simu kati ya Putin na Trump.

Ndege iliyomuacha hujaji wa Libya, iliharibika mara mbili

Katika matukio ya ajabu, ndege ya Hajj inayokwenda Saudia Arabia ililazimu kugeuka mara mbili baada ya kijana mmoja kutoka Libya kutoruhusiwa kupanda ndege.

Afrika

4d2cd488b928ecf18d090d988e65fa7f21a29c5d7144d4abda253eb131115146

Waasi wanaoungwa mkono na Rwanda nchini Congo waliwaua raia, Human Rights Watch inasema

Hatua hiyo ambayo haijawahi kushuhudiwa imeua maelfu ya watu na kuwalazimu mamia ya maelfu kukimbia.

                                   
Modibo Sacko wa Mali amechaguliwa kuwa rais mpya wa Mahakama ya Afrika

Jaji Modibo Sacko wa Mali amechaguliwa kuwa rais mpya wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR).

Wanaastronomia wanahofia athari ya Starlink kwenye uchunguzi wa darubini kubwa ya Afrika Kusini

Afrika Kusini ilisema itapitia sheria zake za sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano lakini haitarudi nyuma kwenye sera za serikali za kubadilisha uchumi miongo mitatu baada ya utawala wa wazungu wachache kumalizika.

Jeshi la Mali linasema limetibua shambulio katika kambi ya jeshi, ‘kuwakata makali’ magaidi 13

‘Jaribio la wapiganaji magaidi’ kutaka kuingia katika kambi ya jeshi ya Timbuktu lilitibuliwa, na hali sasa imetulia na ‘imedhibitiwa,’ Jeshi la Mali lilisema