Ulimwengu

a52e8a46e3bbb9c984b6c4e1ccfdab70d8f727cc9ab720a52c314b8b05320a59

Pentagon yasema vita vya Marekani dhidi ya Iran vimegharimu Dola bilioni 29 hadi sasa

Makadirio mapya ya Pentagon kuhusu gharama za vita vya Marekani yametangazwa huku gharama za Israel zikikadiriwa kuwa Dola bilioni 17.5 na Iran ambayo imepata hasara zinazokadiriwa kufikia Dola bilioni 270, inadai fidia katika mazungumzo na Marekani.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki aonya dhidi ya kutumia Mlango wa Hormuz kama “silaha”

Waziri wa Mambo ya Nje Hakan Fidan anaonya kwamba usumbufu katika njia ya maji ya kimkakati utatishia utulivu wa kikanda na uchumi wa dunia.

Mabalozi wa Marekani wathibitisha Israel ilipeleka ulinzi wa Iron Dome UAE

Mabalozi wa Marekani Mike Huckabee na Mike Waltz wamethibitisha hadharani kuwa Israel ilipeleka mfumo wake wa ulinzi wa Iron Dome na wanajeshi UAE kusaidia nchi hiyo wakati wa vita vya Marekani na Israel

Kufungwa kwa Hormuz kunatishia usalama wa chakula kwa watu milioni 45: UN

Ulimwengu umezingatia zaidi athari za kiuchumi na usumbufu wa biashara ya mafuta na gesi, lakini Umoja wa Mataifa (UN) unaonya kwamba kuzuiwa kwa njia hiyo pia kunatishia usalama wa chakula duniani, hasa barani Afrika na Asia.

Afrika

bf37605cc726bf65a1ffcff3aeb12822d8ac6b7e69dc6d65801d40da8047ed1d

Ghana yawaondoa mamia ya raia wake Afrika Kusini kufuatia vurugu za chuki

Wizara ya mambo ya nje inasema Rais John Dramani Mahama ameidhinisha mpango huo wa kuwaondoa raia wake 300 kutoka Afrika Kusini.

Rais wa Senegal Faye ‘anashughulikia mwenyewe’ mazungumzo kuhusu deni na IMF

Rais Bassirou Diomaye Faye amekutana na mkuu wa IMF Kristalina Georgieva pembeni mwa kongamano la nchini Kenya, na wawili hao walijadili uwezekano wa kutatua tatizo la madeni ya Senegal.

Polisi nchini Kenya watumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji wanaopinga Ufaransa

Waandamanaji waliobeba mabango ya kupinga sera za kibeberu walizuiwa kukaribia ukumbi wa Mkutano wa Africa Forward unaofanyika jijini Nairobi, Kenya.

Rais Museveni wa Uganda aanza rasmi muhula mpya

Rais Yoweri Museveni ambae ameingia madarakani mwaka 1986, huu utakuwa ni muhula wake wa saba kuliongoza taifa hilo.