Ulimwengu

ff0a8781 e754 4fe8 afe7 41b6d4f92857 1786450945248

Mahakama Syria yamhukumu kifo Rais wa zamani Bashar al Assad

Mahakama nchini Syria imemhukumu Assad kwa kupanga mauaji, mateso, kufunga watu bila hatia na uhalifu dhidi ya ubinadamu.

Zelensky: Urusi inaanda makombora kutoka Korea Kaskazini ili itushambulie

Kwa mara kadhaa sasa, Zelensky ametadhaharisha kuhusu ushirikiano wa kijeshi kati ya Urusi na Korea Kaskazini.

Anayetuhumiwa kumuua Tupac Shakur afikishwa mahakamani

Waendesha mashtaka wanapanga kuthibitisha kwamba Duane Davis ndiye aliyefanya mipango na kutoa maelekezo yaliyopelekea kifo cha Tupac Shakur, pamoja na kutoa silaha iliyotumika kumuua.

Marekani yathibitisha kuiunga mkono Yemen katika vita dhidi ya Wahouthi

Marekani imeangazia usalama wa baharini, kukabiliana na ugaidi wakati wa mkutano kati ya balozi wa Marekani na mkuu wa baraza la urais la Yemen

Afrika

1beee341 52e1 45e6 8cb7 842b0f4c6c02 1786531452809

Trump athibitisha kubadilisha ndege kufuatia vitisho vya Iran

Rais wa Marekani amesema walinzi wake na jeshi la Marekani walimshauri kutumia ndege nyingine kufuatia tishio linalodaiwa kutoka Iran baada ya mkutano wa kilele wa NATO.

Moto wazuka karibu na kiwanda cha kusafisha mafuta Libya baada ya mashambulizi

Mashambulizi hayo yalisababisha kukatika kwa umeme na kusababisha ukosefu wa umeme kusini mwa mji wa Zawiya.

Ajali ya kivuko yaua 95 Zimbabwe

Chombo hicho, ambacho kinatoa huduma za usafiri kati ya mji wa kaskazini wa Kariba na vijiji vya karibu, kilikumbwa na dhoruba kali, kabla ya kupinduka na kuzama ndani ya ziwa hilo.

Wachimba migodi haramu wasiopungua 14 wauawa katika mgodi Afrika Kusini

Hakukuwa na taarifa kamili kuhusu wachimba migodi hao, ikiwemo uraia wao, huku maafisa wakielekea eneo la tukio.