Ulimwengu

China yaionya Marekani kuhusu Taiwan
Kwa muda mrefu, China imekuwa ikidai umiliki wa eneo linalojitawala la Taiwan, huku Marekani nayo, ikiliunga mkono eneo la Taiwan kwa kulipa misaada ya silaha.
Tukio hilo lilihudhuriwa na Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine na Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius jijini Munich.
Rais wa Marekani amesema ni ‘aibu’ kwa Herzog kwa kutotoa msamaha, huku ofisi ya rais wa Israel ikisema ombi hilo linafanyiwa tathmini.
Idara ya Intelijensia ya Korea Kusini inaamini kuwa Korea Kaskazini wameanza hatua ya kumuandaa Kim Ju-ae, binti wa Rais Kim Jong Un, kama kiongozi ajaye.
Afrika

Umoja wa Afrika wataka kukomeshwa kwa mauaji ya Wapalestina
Mwenyekiti huyo wa Tume ya Umoja wa Afrika, pia alitumia fursa hiyo kuangazia migogoro mbalimbali barani Afrika
Hata hivyo, msamaha huo hautoihusu Eswatini, ambayo ina uhusiano wa kidiplomasia na Taiwan.
Michuano hiyo inaandaliwa kwa pamoja na Tanzania, Kenya na Uganda.
Hata hivyo, hapakuwa na taarifa yoyote kuhusu jambo hilo kutoka kambi ya AFC/M23.
Michezo



















