28 Juni, 2026

Uturuki inahimiza hatua madhubuti dhidi ya wahusika wa nje wanaounga mkono RSF nchini Sudan

Balozi wa Uturuki mjini Khartoum Fatih Yildiz anasema mashambulizi ya hivi karibuni ya RSF huko El-Obeid ni ya kutisha hhuku akiangazia ujenzi mpya, fursa za uwekezaji nchini Sudan.

dceed0f607da02dd88a19fc71885e58a17d5eeb72357bd2c547e59c5ef230181

16 Juni, 2026

Somalia imepokea vifaa vya kisasa kutoka Uturuki kukuza ukulima

Somalia imepokea vifaa vya kisasa kutoka Shirika la Ushirikiano na Uratibu la Uturuki la TIKA siku ya Jumapili kwa ajili ya kuboresha na kusasisha shughuli za ukulima na umwagiliaji katika Wizara.

1766835232077 zbhmfy 74cc4a859990084c34844c5a21a55b6318aba280d0eddbbef14032d263b680da main

19 Mei, 2026

Waturuki walio diaspora ni muhimu kwa ushawishi unaokua wa Uturuki duniani, anasema balozi

Sedat Onal anasema ugeni mkubwa wa Wauruki nchini Marekani umesaidia nchi hiyo kuwa “mshiriki wa kimataifa ambaye sauti yake inasikika,” akizungumza katika Gwaride la 43 la Siku ya Uturuki huko New York.

1779007253375 d9zl9xq 234d9ff04e85f22ce0ca1b76351c03adc71f0952140baa1cb7d08e33f18c40f5 main

13 Mei, 2026

Uturuki yapinga madai “yasiyo na msingi kabisa” ya kuingilia siasa za Somalia

Uturuki imesema kuwa ushirikiano wake na Somalia unalenga kuimarisha taasisi za usalama wa taifa na kuboresha uwezo wa kupambana na ugaidi nchini kote.

3cf21a339988934bdb2b95a5891212ec12619402fd29b67cd5a74e8868173ff1

6 Mei, 2026

Uturuki yazindua ‘Yildirimhan’, kombora la balistiki lenye uwezo wa kufika mabara mengine

Kombora hili lenye kasi kubwa na uwezo wa masafa marefu linaashiria hatua kubwa katika kuimarika kwa uwezo wa ulinzi wa Uturuki, huku nchi hiyo ikionesha mifumo ya kizazi kijacho katika maonesho yake makubwa zaidi ya anga na ulinzi.

b909d3ae2d9b6ea8d713a59a8aa5028c8515dff06af225511588e1e0e1fb9640 main

4 Mei, 2026

Erdogan Ampongeza Waziri Mkuu Mteule wa Iraq na Kuahidi Kuimarisha Ushirikiano

Rais wa Uturuki asema Ankara iko tayari kuendeleza uhusiano wa kimkakati na serikali mpya ya Iraq.

771

1 Mei, 2026

Israel Yakamatwa Waturuki 20 Baada ya Kuzuilia Msafara wa Meli Zinazoelekea Gaza

Meli za misaada za Global Sumud zazuiwa katika maji ya kimataifa karibu na kisiwa cha Crete.

762

30 Aprili, 2026

Turkish Airlines Kurejesha Safari za Damascus, Beirut na Amman Mei Mosi

Shirika hilo lasema usalama wa anga umeimarika baada ya kusitisha safari tangu Februari kutokana na tahadhari za kiusalama.

745

29 Aprili, 2026

Hakan Fidan: Ukosefu wa Dhamira ya Kisiasa Ndiyo Unakwamisha Uturuki Kujiunga na EU

Waziri wa Mambo ya Nje asema Ankara imetimiza masharti mengi lakini EU haina nia ya kweli ya kuikubali.

742

28 Aprili, 2026

Fenerbahçe Yamfuta Kazi Kocha Domenico Tedesco Baada ya Kufungwa Derby

Fenerbahçe imemfuta kazi kocha wake baada ya kipigo kizito dhidi ya Galatasaray.

images
Inapakia...