6 Mei, 2025

Erdogan aashiria ushirikiano mkubwa katika masuala ya ulinzi na Marekani

Erdogan na Trump wamejadili masuala ya kikanda na dunia katika mazungumzo yao kwa njia ya simu.

erdogan 20trump

4 Mei, 2025

Erdogan atangaza Uturuki miongoni mwa tatu bora katika teknolojia ya UAV katika tamasha la TeknoFest

Rais wa Uturuki Erdogan aelezea dhamira ya Uturuki kwa mustakbali, akisisitiza umuhimu a TeknoFest na miradi ya kimkakati katika ukuaji wa Jamhuri ya Uturuki ya Kopru ya Kaskazini.

aa 20250503 37836250 37836241 cum nofest kktc odul torenine katildi

4 Mei, 2025

Waandishi wa habari wasifia Ziara ya Uturuki ya mbio za baiskeli

Waandishi wa habari wa kimataifa wanaoendesha baiskeli wamesifu Ziara ya Rais wa Baiskeli ya Uturuki ya miaka 60 kama tukio la aina yake katika jukwaa la kimataifa.

aa 37833893

3 Mei, 2025

Makubaliano ya Somalia na Uturuki kuhusu haidrokaboni njia nzuri ya matumizi ya raslimali- waziri

Waziri anayesimamia masuala ya mafuta na madini nchini Somalia anasema ana imani kuwa ushirikiano huo utathibitisha uwezo wa upatikanaji wa gesi hiyo kwa ajili ya biashara.

somalia 20min

2 Mei, 2025

Uturuki yalaani shambulizi dhidi ya meli ya Flotilla

Ankara imekosoa shambulizi dhidi ya chombo hicho kilichokuwa kinamilikiwa na Umoja wa Uhuru wa Flotilla.

maltese

2 Mei, 2025

Maonyesho ya TeknoFest 2025 yaanza Cyprus Kaskazini

Zaidi ya watu 47,000 kutoka nchi 22 walituma maombi ya kushiriki katika mashindano ya mwaka huu.

aa 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12

1 Mei, 2025

Mkuu wa Mawasiliano wa Uturuki Altun aadhimisha miaka 61 ya shirika la utangazaji la TRT

Katika taarifa yake aliyoiweka kwenye mtandao wa X, Altun aliipongeza TRT, akiita “sauti ya nchi yetu na kumbukumbu ya taifa letu,” akilipongeza shirika hilo kwa kazi yake ndani ya miaka 60.

Cumhhurbaskanligi iletisim baskani altun

1 Mei, 2025

Ankara inataka Syria kuungwa mkono kipindi cha mpito na kuondolewa vikwazo

Wizara ya Mambo ya Nje imeonyesha mpango wa Uturuki kuelekea utulivu wa kanda, katika kupambana na ugaidi, na ushirikiano mpya na Damascus.

download

30 Aprili, 2025

Erdogan apongeza uhusiano imara kati ya Uturuki na Italia, aashiria shirika katika Afrika na usalama

Rais wa Uturuki Erdogan asema kuwa Uturuki iko tayari kwa miradi ya ushirikiano katika sekta za ulinzi, anga, na teknolojia ya juu, akitambua kuwa uzoefu wa Italia na uwezo wa uzalishaji wa Uturuki unaweza kuleta matokeo yanayofaidi pande zote mbili.

erdogan

30 Aprili, 2025

Sekta ya utalii ya Uturuki imeweka rekodi ya kupata mapato ya dola bilioni 135 mwaka 2025

Shirika la utalii duniani linasifu ukuaji wa kimkakati wa Uturuki kwani utalii unakuza ajira, kukuza uchumi na kuimarisha madaraja ya kitamaduni.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab
Inapakia...