1 Mei, 2026

FIFA Kusema Litakagua Mfumo wa Tiketi Kufuatia Malalamiko ya Bei ya Kombe la Dunia 2026

Shinikizo la mashabiki na mashirika laongezeka kutokana na gharama kubwa za tiketi Amerika Kaskazini.

769

1 Mei, 2026

Iran Yathibitishwa Kushiriki Kombe la Dunia 2026 – Rais wa FIFA Asema.

Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amethibitisha kuwa Iran itashiriki Kombe la Dunia 2026 licha ya mvutano wa kisiasa.

3115

30 Aprili, 2026

Sabastian Sawe Aandika Historia kwa Kuvunja Rekodi ya Dunia ya Marathon

Mkenya huyo anakuwa mwanariadha wa kwanza kukamilisha marathon chini ya saa mbili katika London Marathon.

758

30 Aprili, 2026

Onyo Tolewa Kuhusu Wizi wa Mtandaoni Wakati wa Kombe la Dunia 2026

Wataalamu wasema bei kubwa za tiketi na usafiri zinaongeza hatari ya mashabiki kudanganywa mtandaoni.

754

30 Aprili, 2026

Simba Yatwaa Kombe la Muungano Kwa Bao la Dakika za Mwisho.

Simba SC imetwaa ubingwa wa Kombe la Muungano baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Young Africans SC kupitia bao la Selemani Mwalimu dakika za nyongeza.

Screenshot 20260430 074359 Instagram

30 Aprili, 2026

Atletico Madrid na Arsenal Watoka Sare ya 1-1 Nusu Fainali.

Atletico Madrid na Arsenal wametoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya uliochezwa jana.

JchoJT6WjE5y 6bSmCag4LL9t 1440x960

29 Aprili, 2026

PSG Yailaza Bayern Kwa Mvua ya Mabao Tisa Nusu Fainali

PSG imeibuka na ushindi mkubwa dhidi ya Bayern Munich katika mechi ya kusisimua ya nusu fainali iliyojaa mabao tisa.

902cee41 fdb4 426a 9781 65d5ef0faddf.jpg

29 Aprili, 2026

Wanawake wa Afghanistan Waruhusiwa Kurudi Mashindano ya Kimataifa

Wanawake wa Afghanistan wamepata nafasi ya kurejea kwenye mashindano ya kimataifa baada ya uamuzi mpya wa FIFA.

89291980 439b 11f1 b861 d7bf71119519.jpg

29 Aprili, 2026

FIFA Yapendekeza Mabadiliko Makubwa ya Sheria ya Kadi za Njano kwa Kombe la Dunia 2026

Wachezaji huenda wasikose mechi muhimu baada ya FIFA kupendekeza kufutwa kwa baadhi ya kadi za njano.

728

28 Aprili, 2026

Jose Mourinho Akaribia Kurejea Real Madrid

Mourinho ameibuka kama chaguo kuu la kuifundisha Real Madrid tena huku rais wa klabu akimuunga mkono.

w1200h675quality95fitcoverformatauto
Inapakia...