Zelensky: Urusi inaanda makombora kutoka Korea Kaskazini ili itushambulie

Kwa mara kadhaa sasa, Zelensky ametadhaharisha kuhusu ushirikiano wa kijeshi kati ya Urusi na Korea Kaskazini.
10 Agosti, 2026
Anayetuhumiwa kumuua Tupac Shakur afikishwa mahakamani

Waendesha mashtaka wanapanga kuthibitisha kwamba Duane Davis ndiye aliyefanya mipango na kutoa maelekezo yaliyopelekea kifo cha Tupac Shakur, pamoja na kutoa silaha iliyotumika kumuua.
10 Agosti, 2026
Marekani yathibitisha kuiunga mkono Yemen katika vita dhidi ya Wahouthi

Marekani imeangazia usalama wa baharini, kukabiliana na ugaidi wakati wa mkutano kati ya balozi wa Marekani na mkuu wa baraza la urais la Yemen
10 Agosti, 2026
Israel ‘yakataa’ mpango wa Trump wa vipengele 15 kwa ajili ya Gaza, asema Waziri Mkuu Netanyahu

Benjamin Netanyahu alisema kuwa Israel inakataa makubaliano ya Gaza yanayoungwa mkono na Donald Trump na itaendeleza uwepo wake wa kijeshi katika eneo hilo la Wapalestina.
9 Agosti, 2026

Mamia wanaandamana nchini Afrika Kusini kupinga ghasia dhidi ya wahamiaji

Israel yafuta vibali vya kuingia nchini kwa wanaharakati wa Marekani wanaowaunga mkono Wapalestina

Mkuu wa Mossad anasemekana kuwafuta kazi maafisa waandamizi kwa kushindwa kuipindua serikali ya Iran

Iran yatishia kushambulia mitambo ya umeme ya nchi za Ghuba iwapo Marekani itashambulia mitambo yake

Nchi 20 za Kiislamu zajadili hatua za pamoja dhidi ya ukiukaji wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa
5 Agosti, 2026
Mawaziri wa bara Arabu, Waislamu wakutana Jordan kujadili kwa pamoja Jerusalem Mashariki inayokaliwa
Wanadiplomasia waandamizi wanakutana mjini Amman kujadili hatua ya pamoja ya kile wanachokitaja kuwa mashambulizi ya Israel yanayolenga kufuta urithi wa Jerusalem Mashariki na maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo.

4 Agosti, 2026
Wahamiaji 70,000 waondoka Hispania huku idadi ya vifo ikiongezeka
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Hispania amethibitisha kuwa idadi rasmi ya waliokufa imefikia 75 baada ya kupatikana kwa miili mingine mitatu.

4 Agosti, 2026
Wanafunzi wa Korea Kusini matatani kwa ‘kuvunja’ na kuingia ndani ya kambi ya kijeshi ya Marekani
Wanafunzi hao, wanaume wanne na wanawake wanne, wanadaiwa kuingia ndani ya kambi ya jeshi la anga la Marekani, iliyoko karibu na jiji la Seoul.

4 Agosti, 2026
Wahamiaji wapatao 160 waokolewa baada ya meli yao kuwaka moto
Kwa muda mrefu sasa, Ufaransa imegeuka kuwa kivuko cha wahamiaji, wenye ndoto za kwenda kutafuta maisha nchini Uingereza.

4 Agosti, 2026
Chama cha soka cha Palestina chaituhumu FIFA kwa kushindwa kuiadhibu Israel
Chama hicho, kimeikosoa FIFA kwa kuendelea kukaa kimya na kutochukua hatua dhidi ya vitendo vya Israel dhidi ya Palestina.

3 Agosti, 2026
Trump aitaka Iran ichague kati ya makubaliano na kujislamisha
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa kauli hiyo baada ya Iran kusema kuwa hakuna mazungumzo ya moja kwa moja yanayoendelea kati yake na Marekani.

3 Agosti, 2026
Australia yathibitisha vifo vya ndege vinavyotokana na mafua H5
Mamia ya ndege mwitu wamepatikana wamekufa katika pwani ya Kusini mwa Australia huku seerikali ikitahadharisha uwezekano wa vifo zaidi. Hakuna maambikizi kwa kuku.

3 Agosti, 2026
Iran: Hatuna mazungumzo yoyote na Marekani
Iran imekuwa na udhibiti wa njia hiyo toka kuanza kwa vita vya Mashariki ya Kati, Februari 28.

2 Agosti, 2026
Mashambulizi ya Israel yaua Wapalestina 12, wakiwemo watoto wawili, huko Gaza
Miongoni mwa waliouawa ni jamaa wa familia moja huku mashambulizi ya Israel yakiendelea siku mbili baada ya kutangazwa kwa makubaliano ya kutekeleza awamu inayofuata ya usitishaji mapigano Gaza.

2 Agosti, 2026
Iran inachukulia kila tishio kutoka kwa wapinzani kuwa “halisi na la kuaminika” : Kaimu Waziri
Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran, Majid Ibn al-Reza, alisema, kuwa Iran itatumia vitishio hivyo kama msingi wa kuongeza utayari wake wa kijeshi



