Afrika Ajenda

Tanzania: Maafisa watatu wa uhamiaji wahukumiwa kunyongwa kwa kosa la mauaji

Ushahidi uliowasilishwa umebainisha matumizi ya nguvu kupita kiasi yaliyosababisha kifo cha raia asiye na hatia.

Newstimehub

Newstimehub

17 Desemba, 2025

3a9e16aa63b15e36e19d0af4ca7ad708f6cc4e81518cfc86fe9b8d79275213ee

Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Kigoma, imewahukumu kunyongwa hadi kufa maafisa watatu wa uhamiaji kwa kosa la kumuua Enos Elias, mkazi wa Kakonko, kwa madai kuwa hakuwa raia wa Tanzania. Mahakama ilibaini kuwa maafisa hao walitumia mateso na nguvu kupita kiasi licha ya ushahidi wa uraia wa marehemu kuwasilishwa na familia yake.

CHANZO: TRT Afrika