Makubaliano kati ya Shirika la OYAK la Uturuki na Wizara ya Uvuvi ya Somalia yataipa Uturuki fursa ya kufikia bahari ya Somalia na kuendeleza uvuvi endelevu. Kupitia kampuni mpya ya SOMTURK, leseni na ufuatiliaji wa shughuli za uvuvi zitaratibiwa, hatua inayolenga kuimarisha uchumi wa Somalia na ushirikiano wa kiuchumi kati ya nchi hizo mbili.
CHANZO: TRT Afrika












