Afrika

Kenya wawanolea makucha Morocco katika mkutano wa kwanza wa Kundi A katika uwanja wa Kasarani

Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

Newstimehub

Newstimehub

12 Agosti, 2025

ff3de0f974fbb3da6b4fcf115d54b74a810a6bdaf68a2dddce044ae049551d4c

Kenya na Morocco zinakutana kwa mara ya kwanza katika michuano ya TotalEnergies CAF ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) zitakapochuana katika Kundi A katika Uwanja wa Kimataifa wa Michezo wa Moi, Nairobi, Jumapili.

Morocco, ambayo haijafungwa katika mechi tano zilizopita na timu pinzani za Afrika Mashariki (ushindi tatu, sare mbili), ina rekodi kubwa katika mechi kama hizo. Waliifunga Uganda mara mbili 2014 na 2020, wakashinda 4-1 dhidi ya Rwanda 2016, na walitoka sare ya 0-0 na Sudan 2018 na Rwanda 2020. Michezo yote hii ilikuwa katika hatua ya makundi.

Kenya ambayo ni mara ya Kwanza wanashiriki mashindano haya ya CHAN, wameponea Bila kufungwa baada ya mechi mbili: waliifunga DR Congo 1-0 na wakatoka sare ya 0-0 na Angola.