Cameroun: Mpinzani Anicet Ekane afariki kizuizini akiwa na matatizo ya kupumua

Alinyimwa kifaa cha oksijeni kilichohitajika kuokoa maisha yake,” alisema wakili wake Emmanuel Simh.
1 Desemba, 2025
Zaidi ya Watu 1,600 Wakimbia Kertala, Sudan Katika Siku Moja

Mashambulizi ya Jeshi la Haraka la Sudan (RSF) yamechochea mafuriko makubwa ya wakimbizi, huku mzozo ukiendelea kusababisha idadi kubwa ya watu kuondoka maeneo yao.
1 Desemba, 2025
Utajiri wa Afrika: Michoro ya miamba ya Malawi

Wataalamu wanasema michoro mingi ilitengezwa katika kipindi cha zaidi ya miaka 1,000 iliyopita, kufuatia kuhama kwa wakulima wa Chewa katika eneo hilo.
25 Septemba, 2025
Inapakia...

