Marekani inapendekeza wasafiri kutoka nchi 40+ zinazotumia mfumo wa ESTA wa kuingia bila visa watoe taarifa za akaunti zao za mitandao ya kijamii za miaka 5 iliyopita. Hatua hii ni sehemu ya mkakati wa utawala wa Donald Trump wa kuongeza udhibiti wa usalama na uhamiaji.
Wakosoaji wanasema pendekezo hilo linaweza kuwatisha watalii na kupunguza haki za kidijitali za wageni. ESTA hukubali kukaa Marekani hadi siku 90 na hutumika kwa miaka miwili.
CHANZO: BBC NEWS














