Newstimehub
  • Afrika
  • Ajenda
  • Michezo
  • Siasa
  • Ulimwengu
  • Uturuki
  • Français
  • English
  • Hausa
  • Swahili
  • Türkçe
  • Afrika
  • Ajenda
  • Michezo
  • Siasa
  • Ulimwengu
  • Uturuki

Michezo

1747292911504 k7ksd aa 37954279

Osimhen avunja rekodi Uturuki huku Galatasaray ikichukua ubingwa wa kombe la nchi hiyo

Mabao mawili ya mchezaji wa Nigeria Victor Osimhen katika kipindi cha pili yalimpa jumla ya magoli zaidi ya 34 ambayo ndiyo iliyokuwa rekodi iliyowekwa na mchezaji wa zamani wa Galatasaray Mario Jardel katika msimu wa 2000/01.

15 Mei, 2025

Mchezaji wa Misri Salah ashinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka England

mo 20salah

Mohamed Salah amepata tuzo hiyo baada ya kufunga mabao 28 na kutoa ‘assists’ 18 kwa timu yake ya Liverpool katika Ligi Kuu ya England msimu huu.

9 Mei, 2025

Inzaghi ajivunia kuzicharaza timu mbili bora Ulaya kabla ya kufika fainali

italy soccer champions league 28202

Katika robo fainali, Inter waliwatupa nje Bayern Munich ya Ujerumani, kabla ya kuwazidi Barcelona kwenye nusu fainali.

7 Mei, 2025

Fifa yaiadhibu klabu ya Kenya Muhoroni Youth kwa kupanga matokeo

ball 20image

Kamati ya nidhamu ya shirikisho la soka duniani FIFA imeipata na makosa timu ya Kenya Muhoroni Youth kwa “kuhusika na vitendo vya kupanga matokeo ya mechi”.

3 Mei, 2025

Lamine Yamal:’Mchezaji wa kipekee anayezaliwa baada ya kila miaka 50 tu’

yamal 201

Barcelona imemmwagia sifa mchezaji Lamine Yamal baada ya mchezo mzuri licha ya kijana huyo mwenye umri wa miaka 17 kukataa kufananishwa na mchezaji bora Lionel Messi.

1 Mei, 2025

arsenal 20training 20

Arsenal kuvaana na PSG nusu fainali ya kwanza

fab 1 2 3

Mkenya Sabastian Sawe ashinda dhahabu London Marathon huku Kipchoge akimaliza wa 6

liverpool 20reuters

Liverpool ‘kufunga kazi’ Jumapili?

zondi

Mchezaji soka wa Afrika Kusini afariki kabla ya mechi yao ya ligi

korir 20boston

Mkenya John Korir ashinda mbio za Boston, Mtanzania ni wa pili

21 Aprili, 2025

Virgil van Dijk aongeza mkataba Liverpool hadi 2027

‘Nina furaha sana, najisikia fahari,’ alisema mchezaji huyo raia wa Uholanzi mwenye umri wa miaka 33

van 20dijk 20

21 Aprili, 2025

Onana kurejea golini katika mechi ya Man Utd dhidi ya Lyon – Amorim

Onana alifanya makosa mawili katika mechi ya robo fainali ya kwanza nchini Ufaransa ambapo walitoka sare ya 2-2.

onana

21 Aprili, 2025

Real Madrid itafanikiwa kupindua meza Ulaya?

Real Madrid ya Hispania itakuwa ina nafasi ya kujiuliza mbele ya Arsenal ya Uingereza, katika ‘Usiku wa Ulaya’, baada ya kubugizwa mabao 3-0 na vijana wa Mikel Arteta kwenye mchezo wao wa kwanza wa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

real 20madrid 20training 20 1

21 Aprili, 2025

Nyota wa Real Madrid Luka Modric ajiunga na Swansea FC kama mmiliki mwenza

Modrić ndiye mchezaji aliyeichezea timu yake ya taifa ya Croatia mara nyingi zaidi, ana umri wa miaka 39, na msimu huu pekee amecheza mechi 45 akiwa na Real Madrid, na kufunga magoli manne.

luka 20modric
Inapakia...
newstimehub
  • Afrika
  • Ajenda
  • Michezo
  • Siasa
  • Ulimwengu
  • Uturuki
  • Kitambulisho
  • Masharti ya Matumizi
  • Sera Yetu ya Faragha