Arsenal wamekamilisha usajili wa winga wa Chelsea Madueke

Kubadilisha kwa Noni Madueke kote London kumezua ukosoaji kutoka kwa wafuasi ambao wanaamini kuwa hafai bei hiyo.
19 Julai, 2025
FIFA: Wachezaji wapumzike saa 72 baada ya kila mechi na siku 21 za likizo lazima kila msimu

FIFA inasema wawakilishi wa wachezaji na bodi inayosimamia mchezo wamefikia makubaliano juu ya hitaji la mapumziko ya saa 72 kati ya mechi, na angalau siku 21 za likizo mwishoni mwa kila msimu.
14 Julai, 2025
Gwiji wa Arsenal na Nigeria: Nwankwo Kanu

Akiwa Arsenal, hakusifika tu kwa upachikaji wake wa mabao, bali alitambulika kama mchezaji mwenye mguu mkubwa zaidi, akivaa kiatu saizi 15.
11 Julai, 2025
Fainali ya Klabu bingwa Ulaya nani kuibuka kidedea?

Uwanja wa Bayern Munich Allianz Arena ndiyo itakuwa sehemu ya maamuzi ya fainali ya klabu bingwa barani Ulaya wakati PSG ya Ufaransa itakapokabiliana na Inter Milan ya Italia.
30 Mei, 2025

Wadau wa soka duniani waungana baada ya ajali ya gari katika sherehe za ushindi Liverpool

Wasiwasi kuhusu maandalizi ya Kenya AFCON 2027

Fenerbahce ya Uturuki yanyakua taji la pili la EuroLeague kwa ushindi mnono dhidi ya Monaco

Xabi Alonso ameteuliwa kuwa meneja wa Real Madrid kwa mkataba wa miaka 3

Nyota wa Misri Mohamed Salah amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya England
22 Mei, 2025
Luka Modric kuachana na Real Madrid baada ya fainali za Kombe la Dunia kwa upande wa klabu
Mcroatia huyo ameichezea Real Madrid jumla ya mechi 600 toka alipojiunga nao mwaka 2012, akitokea Tottenham ya Uingereza.

22 Mei, 2025
Wachezaji wa Tottenham wakosa medali baada ya ushindi wao wa Ligi ya Europa
Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya UEFA Aleksander Čeferin alionekana kushangazwa wakati medali zilipoisha kabla wachezaji wote wa Tottenham kupata baada ya ushindi wao wa 1-0 dhidi ya Manchester United.

19 Mei, 2025
Galatasaray yaweka historia kwa kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu ya Uturuki mara ya 25
Galatasaray sasa wataongeza nyota tano kwenye jezi zao, kila nyota moja inawakilisha mataji matano.

15 Mei, 2025
Osimhen avunja rekodi Uturuki huku Galatasaray ikichukua ubingwa wa kombe la nchi hiyo
Mabao mawili ya mchezaji wa Nigeria Victor Osimhen katika kipindi cha pili yalimpa jumla ya magoli zaidi ya 34 ambayo ndiyo iliyokuwa rekodi iliyowekwa na mchezaji wa zamani wa Galatasaray Mario Jardel katika msimu wa 2000/01.

9 Mei, 2025
Mchezaji wa Misri Salah ashinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka England
Mohamed Salah amepata tuzo hiyo baada ya kufunga mabao 28 na kutoa ‘assists’ 18 kwa timu yake ya Liverpool katika Ligi Kuu ya England msimu huu.

7 Mei, 2025
Inzaghi ajivunia kuzicharaza timu mbili bora Ulaya kabla ya kufika fainali
Katika robo fainali, Inter waliwatupa nje Bayern Munich ya Ujerumani, kabla ya kuwazidi Barcelona kwenye nusu fainali.

3 Mei, 2025
Fifa yaiadhibu klabu ya Kenya Muhoroni Youth kwa kupanga matokeo
Kamati ya nidhamu ya shirikisho la soka duniani FIFA imeipata na makosa timu ya Kenya Muhoroni Youth kwa “kuhusika na vitendo vya kupanga matokeo ya mechi”.

1 Mei, 2025
Lamine Yamal:’Mchezaji wa kipekee anayezaliwa baada ya kila miaka 50 tu’
Barcelona imemmwagia sifa mchezaji Lamine Yamal baada ya mchezo mzuri licha ya kijana huyo mwenye umri wa miaka 17 kukataa kufananishwa na mchezaji bora Lionel Messi.

30 Aprili, 2025
Arsenal kuvaana na PSG nusu fainali ya kwanza
Timu ya Arsenal itakuwa katika uwanja wake wa nyumbani wakiwa wenyeji wa nusu fainali ya kwanza ya Ligi ya mabingwa Ulaya tangu mwaka 2009. Jumanne usiku watapambana na Paris Saint-Germain.

27 Aprili, 2025
Mkenya Sabastian Sawe ashinda dhahabu London Marathon huku Kipchoge akimaliza wa 6
Mwanariadha wa Kenya Sabastian Sawe ameshinda mbio za marathon za London kwa wanaume kwa muda wa saa 2 dakika 02 na sekunde 27 siku ya Jumapili, huku mwenzake Eliud Kipchoge akiibuka wa sita.


