Liverpool ‘kufunga kazi’ Jumapili?

Liverpool imebakisha mechi tano katika Ligi Kuu ya England msimu huu lakini inahitaji alama moja pekee kuchukua ubingwa.
25 Aprili, 2025
Mchezaji soka wa Afrika Kusini afariki kabla ya mechi yao ya ligi

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 alipelekwa hospitali kabla ya mechi na mchezo ukasimamisha baada ya kipindi cha kwanza walipopewa taarifa kuwa amefariki.
24 Aprili, 2025
Mkenya John Korir ashinda mbio za Boston, Mtanzania ni wa pili

Kwa ushindi huu wa Jumatatu, Korir amefanya kama alivyofanya kaka yake, Wesley Korir, aliyeshinda marathon ya Boston mwaka 2012.
22 Aprili, 2025
Virgil van Dijk aongeza mkataba Liverpool hadi 2027

‘Nina furaha sana, najisikia fahari,’ alisema mchezaji huyo raia wa Uholanzi mwenye umri wa miaka 33
21 Aprili, 2025

Onana kurejea golini katika mechi ya Man Utd dhidi ya Lyon – Amorim

Real Madrid itafanikiwa kupindua meza Ulaya?

Nyota wa Real Madrid Luka Modric ajiunga na Swansea FC kama mmiliki mwenza
Inapakia...

