Unatumia Gaza kwa majaribio ya silaha: Waandamanaji wakabili maonyesho ya silaha huko Tel Aviv

Waandamanaji wanashutumu mashirika ya ulinzi ya Israeli kwa kufaidika kutokana na vita huku makampuni kadhaa yakionyesha silaha “zilizothibitishwa”.
18 Februari, 2026
Iran yafanya mazoezi ya kijeshi Hormuz kabla ya mazungumzo na Marekani

Mazoezi hayo yanafanyika wakati kukiwa na uhasama mkubwa kati ya nchi hizo mbili.
17 Februari, 2026
Uturuki, mataifa ya Kiislamu wakemea uamuzi wa Israel wa kunyakua ardhi katika Ukanda wa Magharibi

Mawaziri wanane wa Mambo ya Nje wamesema katika tangazo la pamoja kwamba Israel inatumia hatua zisizo halali kuzidisha udhibiti wake katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kwa mabavu.
17 Februari, 2026
Nigeria yapokea msaada wa kijeshi kutoka Marekani

Wanajeshi wa Marekani watashiriki majukumu yasiyo ya mapigano
16 Februari, 2026

China yaonya hatari ya fataki baada ya vifo vya Donghai

Makumbusho ya Uingereza yaondoa neno ‘Palestina’ kwenye kuta zake

Rais Donald Trump ‘yuko tayari’ kukutana na Ayatollah Ali Khamenei wa Iran kama itahijatika

Droni za Ukraine zateketeza ghala la mafuta la Urusi

China yaionya Marekani kuhusu Taiwan
13 Februari, 2026
Ukraine yapokea shehena ya droni za kivita kutoka Ujerumani
Tukio hilo lilihudhuriwa na Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine na Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius jijini Munich.

13 Februari, 2026
Trump amlaumu rais wa Israel kwa kutotoa msamaha kwa Netanyahu
Rais wa Marekani amesema ni ‘aibu’ kwa Herzog kwa kutotoa msamaha, huku ofisi ya rais wa Israel ikisema ombi hilo linafanyiwa tathmini.

12 Februari, 2026
Kim Jong Un wa Korea Kaskazini amuandaa binti yake kuwa mrithi wa kiti cha urais
Idara ya Intelijensia ya Korea Kusini inaamini kuwa Korea Kaskazini wameanza hatua ya kumuandaa Kim Ju-ae, binti wa Rais Kim Jong Un, kama kiongozi ajaye.

6 Februari, 2026
Marekani yaiwekea Iran vikwazo vipya muda mfupi baada ya mazungumzo kukamilika nchini Oman
Tangu muhula wa kwanza wa Trump, Marekani imeweka vikwazo ili kuzilazimisha nchi nyingine zote kuacha kununua mafuta ya Iran.

6 Februari, 2026
Trump azindua tovuti ya dawa nafuu, TrumpRx
“Kuanzia jioni ya leo, dawa nyingi zinazotumika mara kwa mara zitapatikana kwa punguzo kubwa kwa watumiaji wote.” — Donald Trump

5 Februari, 2026
Maseneta wa Marekani waonya kuhusu hali ya kibinadamu mashariki mwa DRC
Maseneta wa Marekani wameonesha wasiwasi kuhusu sehemu za mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuendelea kukaliwa na kundi la waasi wa M23.

4 Februari, 2026
Marekani yatuma maafisa wa kijeshi Nigeria
Hatua hiyo ilikubaliwa baada ya mkutano wa Tinubu na viongozi wa Marekani Roma.

4 Februari, 2026
Erdogan akutana na Mohammed bin Salman Riyadh, aelekea Cairo kwa mazungumzo na Sisi
Erdogan akutana na Mohammed bin Salman jijini Riyadh katika ziara rasmi.

3 Februari, 2026
Urusi yashutumu Ufaransa kwa njama za kuwaondoa viongozi wa Afrika
Ufaransa inadaiwa kuhusika katika jaribio la mapinduzi Burkina Faso.

3 Februari, 2026
FIFA yafikiria kuondoa adhabu ya Urusi, Ukraine yapinga
Aeleza kuwa adhabu imeongeza chuki badala ya suluhu.



