Virusi vya Hanta vyaua 3 nchini Venezuela

Hantavirus ni aina ya virusi vinavyopatikana kwenye wanyama wagugunaji kama panya, na mara nyingi binadamu huambukizwa virusi hivyo kwa kupumua hewa inayotokana na kinyesi cha panya kilichokauka.
21 Julai, 2026
Wizara ya Ulinzi ya Marekani yaishiwa na fedha

Inadaiwa kuwa, kushindwa kufikiwa kwa sitisho la kumaliza vita dhidi ya Iran, kutaongeza gharama zaidi kwa wizara hiyo.
21 Julai, 2026
Trump: Bado hatujamalizana na Iran

Kulingana na Trump ambaye alikuwa akizungumza na wanahabari mara baada ya kukutana na Rais Joseph Aoun wa Lebanon, itachukua zaidi ya miaka 20 kwa Iran kujijenga upya.
21 Julai, 2026
Mfalme Charles III wa Uingereza atembelea Msikiti wa Cambridge uliojengwa kwa msaada wa Uturuki

Mfalme Charles amekutana na wadhamini wa msikiti, maimamu na wanajamii wakati wa ziara hiyo, akitilia mkazo mchango wa Waislamu wa Cambridge na jamii ya Waturuki.
21 Julai, 2026

Gwiji wa saratanji Judit Polgar ‘aukataa’ Urais wa Hungaria

Nigeria yawaua magaidi wa Daesh, yaokoa mateka saba katika operesheni za kijeshi

Iran yarusha makombora kwenye “kambi za kijeshi za Marekani” katika nchi sita za Kiarabu

‘King of the North’ Burnham achukua uongozi wa chama cha Labour, aahidi kuiunganisha Uingereza

Marekani yaanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Iran: CENTCOM
16 Julai, 2026
Urusi yaishukuru Uturuki kwa utayari wake wa kusaidia mchakato wa amani Ukraine
Msemaji wa Kremlin amesema migogoro mingi ni “tata sana”, na kujaribu kuisuluhisha kupitia “makubaliano” kunaweza kuwa jambo “lisilowezekana.”

16 Julai, 2026
Mchakato wa kuirudisha Uturuki kwenye mradi F-35 ni wakiridhisha, asema Seneta Turner
Kulingana na Turner, wawakilisha waliohudhuria mazungumzo hayo, wameonesha matumaini ya hatua zinazoendelea, japo hakuwa tayari kuweka wazi kilichojadiliwa kati ya maofisa wa Uturuki na wabunge wa Marekani.

16 Julai, 2026
Netanyahu ahairisha ziara yake ya Marekani
Ziara ya Netanyahu nchini Marekani, ilihusisha kukutana na Rais Donald Trump na pia kuhudhuria mazishi ya Seneta Lindsey Graham.

16 Julai, 2026
China yapinga vitisho vya kijeshi vya Marekani dhidi ya Cuba
Kulingana na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Lin Jian, Marekani ilikuwa ikiratibu operesheni mbalimbali za kijeshi, ikiwemo kutumia makombora ya masafa marefu dhidi ya Cuba.

14 Julai, 2026
Viwanja vya ndege vya Italia vyakumbwa na uhaba wa mafuta
Hali kama hiyo ilijitokeza Aprili 2026, ambako kulitokea ucheleweshaji wa mafuta ya ndege, hatua iliyoathiri zaidi uwanja wa ndege wa Bologna.

14 Julai, 2026
EU yakosoa vikali vitisho vya Marekani vya ‘kuivunja’ Mahakama ya ICC
Brussels ilionyesha kuunga mkono Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, huku Washington ikiahidi kampeni pana inayolenga chombo hicho cha kimataifa cha mahakama.

14 Julai, 2026
Aliyekuwa Rais wa Iran Ahmadinejad akanusha ripoti ya kuajiriwa na Israel
Ofisi ya Mahmoud Ahmadinejad ilitaja madai kuhusu mawasiliano na Mossad pamoja na kuwekwa kizuizini nyumbani kuwa ya uongo mtupu, na kuishutumu gazeti hilo kwa kuchapisha taarifa za uzushi.

13 Julai, 2026
Usafiri katika Mlango Bahari wa Hormuz umezidi kupungua katika kipindi cha wiki tano
Usafiri wa meli kupitia njia ya maji ya kimkakati unashuka kwa sababu ya mapigano mapya ya Marekani-Iran na mashambulizi dhidi ya meli yanayoongeza wasiwasi wa usalama katika Ghuba.

12 Julai, 2026
Iran yaifunga Hormuz, yashambulia mataifa ya Ghuba baada ya mashambulizi ya Marekani
Pentagon inasema ilishambulia Iran baada ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kulishambulia meli iliyosajiliwa na GCA katika Lango la Hormuz.

12 Julai, 2026
Aliyekuwa Amir wa Qatar, Sheikh Hamad bin Khalifa Al Thani, 74 , afariki
Chini ya utawala wa miaka 18 wa Sheikh Hamad, Qatar ilipanda kutoka kuwa taifa la kawaida la Ghuba na kuwa nguvu kubwa ya kimataifa katika nyanja za diplomasia, vyombo vya habari na uchumi.



