16 Julai, 2026

Urusi yaishukuru Uturuki kwa utayari wake wa kusaidia mchakato wa amani Ukraine

Msemaji wa Kremlin amesema migogoro mingi ni “tata sana”, na kujaribu kuisuluhisha kupitia “makubaliano” kunaweza kuwa jambo “lisilowezekana.”

bb54196c 8f3a 4388 9342 46e8631e1296 1784221070144

16 Julai, 2026

Mchakato wa kuirudisha Uturuki kwenye mradi F-35 ni wakiridhisha, asema Seneta Turner

Kulingana na Turner, wawakilisha waliohudhuria mazungumzo hayo, wameonesha matumaini ya hatua zinazoendelea, japo hakuwa tayari kuweka wazi kilichojadiliwa kati ya maofisa wa Uturuki na wabunge wa Marekani.

f57063cc f60a 4ce7 8d3a 312e73a7a5e4 1784209839070

16 Julai, 2026

Netanyahu ahairisha ziara yake ya Marekani

Ziara ya Netanyahu nchini Marekani, ilihusisha kukutana na Rais Donald Trump na pia kuhudhuria mazishi ya Seneta Lindsey Graham.

5e81e652 79d8 444f 83c2 5ce2405e4347 1784198603221

16 Julai, 2026

China yapinga vitisho vya kijeshi vya Marekani dhidi ya Cuba

Kulingana na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Lin Jian, Marekani ilikuwa ikiratibu operesheni mbalimbali za kijeshi, ikiwemo kutumia makombora ya masafa marefu dhidi ya Cuba.

0b61b52e 076f 41d3 9072 f5684d055c78 1784190587692

14 Julai, 2026

Viwanja vya ndege vya Italia vyakumbwa na uhaba wa mafuta

Hali kama hiyo ilijitokeza Aprili 2026, ambako kulitokea ucheleweshaji wa mafuta ya ndege, hatua iliyoathiri zaidi uwanja wa ndege wa Bologna.

77b61375 2499 4391 9375 a320d6c3dfdc 1784036283937

14 Julai, 2026

EU yakosoa vikali vitisho vya Marekani vya ‘kuivunja’ Mahakama ya ICC

Brussels ilionyesha kuunga mkono Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, huku Washington ikiahidi kampeni pana inayolenga chombo hicho cha kimataifa cha mahakama.

80774bad fdfd 466a bc79 2c979c753a75 1784030613359

14 Julai, 2026

Aliyekuwa Rais wa Iran Ahmadinejad akanusha ripoti ya kuajiriwa na Israel

Ofisi ya Mahmoud Ahmadinejad ilitaja madai kuhusu mawasiliano na Mossad pamoja na kuwekwa kizuizini nyumbani kuwa ya uongo mtupu, na kuishutumu gazeti hilo kwa kuchapisha taarifa za uzushi.

ccf61520 f2b6 4277 9974 5b3885108959 1784022348793

13 Julai, 2026

Usafiri katika Mlango Bahari wa Hormuz umezidi kupungua katika kipindi cha wiki tano

Usafiri wa meli kupitia njia ya maji ya kimkakati unashuka kwa sababu ya mapigano mapya ya Marekani-Iran na mashambulizi dhidi ya meli yanayoongeza wasiwasi wa usalama katika Ghuba.

26d2af5c 9713 45fb be0e 1d8c6326d88e 1783895672208

12 Julai, 2026

Iran yaifunga Hormuz, yashambulia mataifa ya Ghuba baada ya mashambulizi ya Marekani

Pentagon inasema ilishambulia Iran baada ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kulishambulia meli iliyosajiliwa na GCA katika Lango la Hormuz.

7569990a 8c07 4ece 81d9 c6d34b5e58d8 1780916193111

12 Julai, 2026

Aliyekuwa Amir wa Qatar, Sheikh Hamad bin Khalifa Al Thani, 74 , afariki

Chini ya utawala wa miaka 18 wa Sheikh Hamad, Qatar ilipanda kutoka kuwa taifa la kawaida la Ghuba na kuwa nguvu kubwa ya kimataifa katika nyanja za diplomasia, vyombo vya habari na uchumi.

19f963bf b3c7 437c 8bb6 527de7697f6f 1783835281761
Inapakia...