Afrika

Bunge la Zambia laidhinisha muswada tata wa kubadilisha sheria za uchaguzi

“Haya ni maagano na watu wa Zambia kuendeleza usawa,” alisema Waziri wa Haki, Princess Kasune.

Newstimehub

Newstimehub

15 Desemba, 2025

3ab5f7681fd94e0be3e366a38e2d91dafb3cf5a93f9ab51cce25b6eea9299fe2

Bunge la Zambia limeidhinisha kwa kishindo Muswada wa 7 unaobadilisha vipengele 13 vya katiba vinavyohusiana na uchaguzi, hatua ambayo upinzani unasema itanufaisha Rais Hakainde Hichilema katika uchaguzi wa 2026. Serikali imekanusha madai hayo, ikisisitiza kuwa mabadiliko hayo yanalenga usawa na manufaa ya muda mrefu kwa taifa. Muswada huo sasa unasubiri saini ya rais ili kuwa sheria.

CHANZO: TRT Afrika