Boko Haram yawateka wanafunzi waliokuwa wakifanya mitihani kaskazini mashariki mwa Nigeria

Wanamgambo waliovaa sare bandia za jeshi na za walinzi wa misitu washambulia shule ya sekondari, wakazi waeleza shirika la habari la Anadolu.
29 Juni, 2026
DRC yapiga marufuku mikusanyiko mikubwa ili kudhibiti kuenea kwa Ebola

DRC imepiga marufuku mikusanyiko ya watu wengi katika mji mkuu wa Kinshasa, na majimbo mengine matatu ili kupunguza kuenea kwa virusi vya Ebola, Wizara ya Mambo ya Ndani imesema siku ya Jumapili.
29 Juni, 2026
Afrika CDC, WHO yazindua jukwaa la pamoja kusaidia kukabiliana na Ebola

Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (Africa CDC) kilitangaza uzinduzi wa jukwaa jipya Jumapili kusaidia dharura ya afya ya bara la janga la Ebola katika eneo hilo.
29 Juni, 2026
TANESCO yaomba radhi baada ya kukatika umeme maeneo mengi nchini Tanzania

Hali hiyo, ilisababisha kukosekana kwa huduma ya umeme katika maeneo mbalimbali nchini humo.
29 Juni, 2026

Mkuu wa jeshi la Uganda aamuru kufungwa kwa mashirika mawili ya habari na kuzingira ofisi zao

Ufaransa inazingatia hatua baada ya Burkina Faso kuvunja uhusiano

Kenya, Afrika Kusini zajumuishwa katika mpango wa ‘Viza unapowasili’ na UAE

EU yaweka vikwazo vya viza kwa Wasomali huku kukiwa na mkanganyiko wa kurejea kwa wahamiaji

Marekani kupeleka matibabu ya majaribio ya Ebola nchini DRC kukabiliana na virusi vya Bundibugyo
27 Juni, 2026
Polisi nchini Kenya watoa tahadhari kuhusu ongezeko la vijana wanaosajiliwa na walanguzi wa dawa
Kurugenzi ya Upelelezi DCI lilisema wasafirishaji haramu pia walikuwa wakigeukia dawa mpya za kutibu maradhi ya kichwa NPS iliyoundwa kuiga athari za mihadarati inayodhibitiwa

27 Juni, 2026
Burkina Faso yamaliza uhusiano wa kidiplomasia na Ufaransa
Burkina Faso ilisema uamuzi huo ulianza Juni 26 na kufuatia mapitio ya uhusiano na Paris.

27 Juni, 2026
Tanzania yapiga marufuku mikutano ya kisiasa kwa sababu ya tishio kwa usalama
Maandamano yamepangwa kufanyika Julai 7, sikukuu ya umma, ili kutoa wito wa mageuzi ya kidemokrasia na haki kwa watu waliouawa katika ghasia za uchaguzi mwaka jana.

27 Juni, 2026
Côte d’Ivoire yafuzu hatua ya mtoano kwa mara ya kwanza Kombe la Dunia
Côte d’Ivoire walipata magoli yao kupitia Nicolas Pepe akifunga moja katika kila kipindi na kufuzu kwa hatua ya mtoano Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza baada ya timu hiyo ya Afrika Magharibi kuifunga Curacao 2-0 siku ya Alhamisi.

26 Juni, 2026
Tanzania kushuhudia punguzo la bei ya mafuta ifikapo mwezi Julai
Hali hiyo inatokana na kushuka kwa bei ya mafuta ghafi katika soko la dunia kufuatia kusitishwa kwa mapigano ya Mashariki ya Kati.

25 Juni, 2026
Wanigeria 12 watupwa jela nchini Ujerumani kwa kuendesha mtandao wa utapeli wa kimapenzi
Raia hao wa Nigeria wanadaiwa kupatikana na hatia ya kuendesha mtandao huo wa kimataifa wenye kuwalaghai watu kimapenzi na baadaye kuwatapeli fedha.

25 Juni, 2026
Polisi nchini Kenya wafunga sehemu ya Nairobi kutokana na mikusanyiko ya kuadhimisha maandamano
Polisi waliweka vizuizi katika barabara kadhaa na kuzuia magari kuingia katika baadhi ya barabara za jiji la Nairobi.

25 Juni, 2026
Zimbabwe: Bunge la Seneti lapitisha muswada wa kumbakisha Mnangagwa madarakani hadi 2030
Jumla ya maseneta 75 walipiga kura ya ndio, kuunga mkono muswada huo ambao utasogeza mbele uchaguzi ujao kutoka mwaka 2028 hadi 2030, na hivyo kumuongezea Mngangagwa miaka miwili zaidi ya kukaa madarakani.

24 Juni, 2026
Polisi nchini Kenya wadai hawajapokea notisi ya maandamano ya GenZ ya June 25
Kamanda wa polisi Issa Mohamud alionya kwamba wakati Wakenya wana haki ya kikatiba ya kukusanyika na kuandamana kwa amani, mamlaka hazitavumilia vitendo vya uhalifu kama vile uporaji au uharibifu wa mali kama inavyotokea awali.

24 Juni, 2026
Niger yawasilisha ombi la kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ICC
Lengo la Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ni kuwashtaki wahusika wa uhalifu mkubwa zaidi.



