Mfanyabiashara wa Namibia auawa na simba jike akiwa safari mbugani na mkewe

Bernd Kebbel, mfanyabiashara wa Namibia na mfadhili anayejulikana ambaye aliunga mkono uhifadhi wa wanyamapori, ameuawa na simba jike alipokuwa safari mbugani.
1 Juni, 2025
Raila Odinga amtaka Rais Ruto kutoa fidia kwa waliouawa wakati wa maandaman ya Gen Z Kenya

Raila, ambaye ni kiongozi wa upinzani na Waziri Mkuu wa zamani, alikua akihutubia umati uliokusanyika kwa maadhimisho ya Madaraka jijini Kisumu Magharibi mwa Kenya.
1 Juni, 2025
Uturuki yatuma salamu za rambirambi kwa Nigeria kutokana na maafa ya mafuriko

Idadi ya vifo nchini Nigeria imepanda hadi vifo 151, huku zaidi ya watu 3,018 wakiwa wameyahama makazi yao, mamlaka zilisema.
1 Juni, 2025
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa laidhinisha tena vikwazo vya silaha Sudan Kusini

Sudan Kusini ilikuwa imepinga vikwazo vya silaha na wajumbe sita wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hawakupiga kura, ikimaanisha kuwa ilipita kwa kura tisa za ndio, ambazo ni kiwango cha chini zaidi kupitishwa.
31 Mei, 2025

Marekani yataka kesi ya Boeing mahakamani itupiliwe mbali

Shirika la WFP kupunguza msaada kwa watu Ethiopia

Serikali ya Kenya kununua mchele wote wa wakulima

Naibu rais wa zamani wa Kenya ataka fidia kwa kutimuliwa

Rais wa zamani wa DRC akutana na viongozi wa kidini mjini Goma
30 Mei, 2025
Wabunge Uganda waidhinisha mkopo wa dola milioni 568 kwa serikali ya Rais Museveni
Deni la jumla la umma nchini Uganda limeongezeka kwa 18% hadi dola bilioni 29.1 mwaka jana kutokana na kuongezeka kwa ukopaji wa ndani, kulingana na wizara ya fedha.

29 Mei, 2025
Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila arudi nchini humo kupitia Goma
Licha ya kuondoka nchini humo mwaka 2023, kiongozi huyo bado ana ushawishi mkubwa nchini DRC.

29 Mei, 2025
Maadhimisho ya walinda amani duniani
Operesheni za Umoja wa Mataifa za kulinda amani huidhinishwa na Baraza la Amani na Usalama la UN.

29 Mei, 2025
Bei ya matibabu ya saratani Kenya kupungua kwa zaidi ya mara tatu
Serikali inasema kuwa vipindi vya matibabu sasa vitagharimu dola 309 ( shilingi 40,000) badala ya bei ya awali ya zaidi ya dola 900 ( shilingi 120,000).

29 Mei, 2025
Mwanamke wa Afrika Kusini afungwa maisha kwa kumuuza binti yake
Racquel Smith na wenzake wawili wameshtakiwa kifungo cha maisha kwa usafirishaji wa binadamu kinyume cha sheria na miaka 10 ya utekaji

28 Mei, 2025
Mwanafasihi maarufu Afrika Mashariki Ngugi Wa Thiong’o afariki dunia
Kulingana Wanjikũ wa Ngũgĩ, ambaye ni binti wa mwanafasihi huyo mahiri barani Afrika, amefariki dunia asubuhi ya Mei 28, 2025, akiwa na umri wa miaka 87.

28 Mei, 2025
Tanzania kujenga kituo kikubwa cha upandikizaji wa figo Dodoma
Tanzania inatarajiwa kujenga kituo kikubwa cha upandikizaji wa figo katika hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma.

28 Mei, 2025
Rais wa Afrika Kusini asema wananchi wote nchini mwake wana haki sawa
Rais huyo amesema serikali imeanzisha sheria katika maeneo kama vile umiliki wa ardhi, usawa wa ajira na uwezeshaji wa kiuchumi kwa ajili ya kuhakikisha kila mtu anapata haki sawa.

28 Mei, 2025
Ethiopia yaadhimisha miaka 34 tangu kuanguka kwa uongozi wa Derg
Derg haikuwa maarufu kwa sababu ya sera mbaya na mauaji ya watu wengi, ambayo yalisababisha mshtuko kote nchini.

28 Mei, 2025
Kipindipindu chaongezeka katikati ya vita Sudan
Taarifa ya Wizara imesema kuwa watu 2,700 walipata ugonjwa huo ndani ya wiki moja tu, kati yao 172 walikufa.



