DRC inakabiliwa na kuongezeka gharama za kijeshi, nakisi ya kodi katika ‘bajeti mpya ya vita’

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo inakabiliana na kupanda kwa gharama za kijeshi na kushuka kwa mapato ya kodi kutokana na mashambulizi ya waasi wa M23, bajeti iliyorekebishwa ya wakati wa vita inayozingatiwa na wabunge.
28 Mei, 2025
Utawala wa Trump waitaka mahakama kuruhusu kuhamishwa wahamiaji Sudan Kusini

Serikali ya kitaifa ilisema kwamba Jaji Murphy anasimamisha juhudi zake za kuwafukuza wahamiaji ambao hawawezi kurudishwa katika nchi zao
28 Mei, 2025
Rwanda yafanya makubaliano ya usafiri wa anga na nchi 12

Mikataba ya huduma za anga ya nchi mbili ni mikataba inayoruhusu huduma za kimataifa za usafiri wa anga za kibiashara kati ya maeneo yao.
27 Mei, 2025
Zaidi ya maafisa polisi 1000 wamekufa katika kipindi cha miaka mitatu Kenya

Kwa jumla, maafisa 4,569 waliacha huduma tangu 2022, zaidi ya nusu yao walitoka Huduma ya Polisi ya Kenya pekee.
27 Mei, 2025

Benki ya Dunia yashusha matarajio ya ukuaji wa uchumi wa Kenya 2025

Ujerumani inakanusha shutuma dhidi ya balozi wake baada ya jeshi la Uganda kukata uhusiano

Kenya inaunga mkono mpango wa mamlaka ya kujisimamia Sahara Magharibi chini ya ufalme wa Morocco

Nigeria yaondoa mswada unaotaka wasiopiga kura kufungwa hadi miezi sita

Salim Mvurya: Kenya iko tayari kuandaa michuano ya CHAN 2025
26 Mei, 2025
Kikundi cha M23 chafurahia Joseph Kabila kurejea nchini DRC
Kabila, mwenye umri wa miaka 53, alikuwa kiongozi wa DRC kutoka mwaka 2001 hadi 2019, aliporithiwa na Tshisekedi.

26 Mei, 2025
Mashirika binafsi ya matibabu Rwanda yataka mfumo wa ushuru kurekebishwa
Mashirika binafsi ya matibabu nchini Rwanda yanasema kutobadilishwa kwa ushuru tangu 2017 ni chnagamoto kwani kumekuwa na ongezeko kubwa la gharama za uendeshaji, ikiwa ni pamoja na mishahara kwa wafanyakazi wa sekta ya afya na bidhaa.

26 Mei, 2025
Serikali ya Kenya kuuza zaidi hisa zake Safaricom, waziri wa fedha amesema
Serikali ya Kenya inapanga kuuza hisa zaidi katika kampuni kubwa ya mawasiliano nchini humo Safaricom, Waziri wa Fedha John Mbadi alinukuliwa na gazeti moja nchini humo siku ya Jumatatu.

26 Mei, 2025
Uganda yasitisha ushirikiano wa kijeshi na Ujerumani
Uganda “imesimamisha” ushirikiano wote wa kijeshi na Ujerumani, huku jeshi likisema kuwa balozi wa Ujerumani mjini Kampala “anajishughulisha na vitendo vya uasi” katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

26 Mei, 2025
Ethiopia yathibitisha visa vya kwanza vya ugonjwa wa mpox kwa mtoto mchanga na mama
Chanzo cha maambukizi kinachunguzwa, lakini matokeo ya awali yanaonyesha maambukizi ya kuvuka mpaka wa kusini mwa mji wa Moyale.

25 Mei, 2025
DRC yalenga makubaliano ya madini ya Marekani kufikia mwisho wa Juni
Maafisa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wana matumaini wanaweza kufikia makubaliano na Washington mwezi ujao ili kupata uwekezaji wa Marekani katika madini muhimu.

25 Mei, 2025
Siku ya Afrika: Mwenyekiti wa Tume ya AU atoa wito nchi zote za Afrika kujiinua ili kuinua Afrika
Siasa za jiografia za kimataifa zinaendeshwa kwa gharama ya bara Afrika; mamlaka za kimataifa zenye ushawishi hazitoi umakini mzuri kwa matamanio ya bara hili..

25 Mei, 2025
Uturuki, Somalia wakubali kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na taarifa potofu
Nchi zote mbili zilisisitiza dhamira yao ya kukuza uhusiano wa karibu kati ya watu wa Somalia na Uturuki na kufanya kazi pamoja ili kupambana na taarifa potofu ambazo zinaweza kuathiri urafiki wao wa muda mrefu.

24 Mei, 2025
Lissu ateuliwa katika uongozi wa Muungano wa Kimataifa wa Demokrasia – IDU
Tundu Lissu amechaguliwa katika nafasi ya mojawapo ya Makamu Wenyeviti wa Muungano huo wa Kisiasa duniani wenye lengo la kupigania sera za kisiasa za vyama vya mrengo wa kulia, akiwa bado anazuiliwa gerezani Tanzania.

24 Mei, 2025
Kiongozi wa zamani wa DRC akashifu mfumo wa haki baada ya kuondolewa kwa kinga ya kushtakiwa
Rais huyo wa zamani anasema mfumo wa haki unatumiwa waziwazi kwa malengo ya kisiasa katika nchi ambayo anasakwa kwa madai ya uhalifu dhidi ya ubinadamu.



