22 Mei, 2025

Umoja wa Afrika ‘hauwezi kuwa na furaha’ kuhusu kuwafukuza Wapalestina: Angola

“Kwa hakika tunatetea suluhisho la serikali mbili,” Waziri wa Mambo ya Nje wa Angola Tete Antonio anasema.

whatsapp 20image 202025 05 12 20at 2013 57 49

22 Mei, 2025

Kenya yaitaka Tanzania kumuachia mwanaharakati Boniface Mwangi

Boniface Mwangi wa Kenya na mwanaharakati mwenzake wa Uganda Agather Atuhaire walikamatwa na mamlaka za Tanzania siku ya Jumatatu walipokwenda nchini humo wakitaka kuhudhuria kesi ya kiongozi wa upinzani Tundu Lissu.

2025 05 21t121441z 1 lynxmpel4k0lt rtroptp 3 tanzania politics 1 2

21 Mei, 2025

Waziri wa zamani wa madini nchini Senegal ashitakiwa kwa ufisadi

Gladima anakuwa kiongozi wa tatu katika uongozi uliopita wa Macky Sall kushitakiwa kwa tuhuma za ufisadi.

emmanuel chukwu of nigeria challe match between nigeria and senegal

21 Mei, 2025

Uganda yapitisha sheria ya raia kushtakiwa katika mahakama ya kijeshi

Bunge la Uganda limepitisha sheria iliyofanyiwa marekebisho ambayo sasa inayoruhusu mahakama za kijeshi kusikiliza kesi za raia, na kutoa hukumu, jambo lililosababisha maandamano kutoka kwa upinzani.

uganda military trials 00726

21 Mei, 2025

DRC yamhukumu waziri mkuu wa zamani miaka 10 ya kazi ngumu kutokana na ufisadi

Waziri Mkuu wa zamani wa DRC Augustin Matata Ponyo amehukumiwa kifungo cha miaka kumi na kazi ngumu kwa kosa la “kufuja” dola milioni 247 za serikali.

augustine

21 Mei, 2025

Serikali ya Trump yawapeleka wahamiaji wa Asia Sudan Kusini, yakiuka agizo la mahakama

Wanasheria wa masuala ya wahamiaji wanasema wanaume wote wawili wamesafirishwa kutoka Marekani pamoja na watu wengine 10 katika ‘mataifa mengine’

south 20sudan

20 Mei, 2025

Kenya: Gachagua na siasa zake

Rigathi Gachagua anasema kuwa alipokea taarifa za kijasusi akidai kuwa rais wa nchi hiyo aligiza vyombo vya usalama kumuwekea sumu kupitia kemikali ambazo zitafanya ubongo wake kupooza katika muda wa miezi mitatu.

2025 05 15t122810z 611303276 rc26ieaefafc rtrmadp 3 kenya politics

20 Mei, 2025

Tume ya Uchaguzi Tanzania yasema hakuna muda wa ziada uandikishaji Daftari la Kudumu

Zoezi hilo pia linahusisha kuwaondoa wasio na sifa kwenye Daftari hilo.

1747748313698 mpohc7 inec7763

20 Mei, 2025

Kongamano la amani Rwanda lajadili mustakbali wa Afrika

Rwanda imeandaa mkutano wa kujadili amani na usalama, wenye kuendesha mijadala ya kina juu ya changamoto za usalama za Afrika na kuhimiza suluhisho endelevu.

isca

20 Mei, 2025

Baadhi wapongeza hatua ya Tanzania kuwatimua wanaharakati wa Kenya

Ingawa baadhi wamekosowa hatua ya Rais Samia Suluhu wa Tanzania kuwatimua wanaharakati wa Kenya waliokwenda kushuhudia kesi ya Tundu Lissu, wengine wameipongeza

2025 05 19t103035z 1908986671 rc2pkea9tv2i rtrmadp 3 tanzania politics 1
Inapakia...