18 Mei, 2025

Mali ya mamia ya milioni yateketea katika moto mkubwa wa soko la nguo kuu kuu la Gikomba, Kenya

Mpangilio duni na msongamano wa vibanda na maduka zimesababisha visa vingi vya moto katika soko hili kubwa zaidi nchini Kenya na hasara ya mamia ya milioni ya pesa.

fire

18 Mei, 2025

Naibu waziri wa mambo ya nje wa Uturuki azuru Burkina Faso ili kuimarisha uhusiano, kujadili usalama

Ziara ya Burhanettin Duran inaangazia kukabiliana na ugaidi, utulivu wa kikanda, na ushirikiano kati ya Uturuki na Burkina Faso.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab

17 Mei, 2025

Rais Bongo wa Gabon aliyeondolewa madarakani akimbilia Angola na familia yake

Familia hiyo iliyokuwa kizuizini tangu mapinduzo ya Agosti 2023, iliachiliwa kufuatia juhudi za kidiplomasia za serikali ya Angpla.

1747472761448 3qlyzd 2022 02 18t090801z 317979431 rc29 9z5gsx rtrmadp 3 eu africa summit

16 Mei, 2025

Mbunge wa pili wa upinzani afungwa jela Zambia kwa kauli za uchochezi

Maureen Mabonga amehukumiwa miezi minane jela kwa kuhusika na ‘mienendo ya uchochezi’ ikiwemo ‘kuchochea uasi’ kwa misingi ya kikabila.

zambia 1

16 Mei, 2025

Kiongozi anayetaka kujitenga kwa Biafra Nigeria ashtakiwa Ufini kwa kuchochea ugaidi

Mashtaka dhidi ya Simon Ekpa yanahusiana na juhudi zake za kutaka kujitenga kwa eneo la Biafra nchini Nigeria kama taifa huru, Ofisi ya waendesha mashtaka nchini Ufini imesema.

ekpa

16 Mei, 2025

Serikali ya kijeshi ya Guinea yachukua migodi 51 baada ya kufuta leseni zao

Kuna madini mengi ya bauxite nchini Guinea-Conakry yanayotumika kuzalisha alumini.

guinea 20reuters

16 Mei, 2025

Bunge la Uganda laidhinisha pendekezo la bajeti ya Dola Bilioni 20

Serikali imesema itaweka kipaumbele katika sekta ya kilimo-viwanda, utalii na madini.

bunge 20uganda

16 Mei, 2025

Chama cha TPLF Ethiopia chailalamikia AU baada ya kufutiwa usajili na Tume ya Uchaguzi

Tume ya Uchaguzi ya Ethiopia imedai kuwa TPLF imeshindwa kutekeleza “hatua za marekebisho” zinazotakiwa.

653a9d2c 0351 4ac6 b52d c8194d02ac1c

16 Mei, 2025

Rais wa zamani wa Gabon aelekea Angola na familia yake

Rais wa zamani wa Gabon Ali Bongo, aliyeondolewa madarakani katika mapinduzi mwaka 2023, amesafiri kwa ndege hadi Angola pamoja na mkewe na mwanae, ambao walihamishwa kutoka jela hadi kifungo cha nyumbani wiki iliyopita.

bango33

16 Mei, 2025

Mkuu wa Jeshi Uganda awatisha mabalozi wasiomuunga mkono baba yake

Rais wa Uganda Yoweri Museveni bado hajatamka lolote baada ya ujumbe wa mitandaoni ya mtoto wake ambaye anajulikana kwa kutoa matamko mara kwa mara yenye utata mtandaoni.

yoweri
Inapakia...