Rwanda kuongeza kutumia dhahabu kama hazina

Ulimwenguni, benki kuu zimekuwa zikiongeza ununuzi wa dhahabu katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, kwani wasiwasi juu ya mfumko wa bei, kuyumba kwa sarafu, na kuhama kwa ushirikiano wa kisiasa wa kijiografia kumechochea mahitaji ya rasilimali.
16 Mei, 2025
Mkuu wa Umoja wa Mataifa atoa wito wa mazungumzo Libya baada ya kusitishwa mapigano mji mkuu

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameeleza kuridhishwa kwake na kusitishwa kwa mapigano nchini Libya baada ya vita kuzuka kati ya makundi yenye silaha maeneo ya mji mkuu wa Tripoli.
15 Mei, 2025
Mfumo wa afya wa Sudan Kusini ‘unasambaratika’: Madaktari Wasio na Mipaka

Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limesema kuwa mashambulizi kwa vituo vya afya yanaongezeka nchini Sudan Kusini.
15 Mei, 2025
Sudan Kusini yakanusha uzushi kuhusu kifo cha Rais Kiir

Wizara ya mambo ya nje ya Sudan Kusini imetoa taarifa ikisema kuwa “inakanusha na kukataa kabisa taarifa za kupotosha na uchochezi zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii”.
15 Mei, 2025

Waasi wa RSF waendelea kulenga miundombinu muhimu Sudan

Naibu rais wa zamani Kenya aanzisha chama chake

Gabon yamhamishia kifungo cha nyumbani mke na mtoto wa Rais wa zamani Bongo

Uturuki inatoa wito kwa pande zote Libya kuanza majadiliano ya kutafuta suluhu

Jaji wa Mali anatarajiwa kuruhusu kufunguliwa tena kwa mgodi wa Barrick chini ya usimamizi mpya
14 Mei, 2025
Mali yapiga marufuku shirika la Televisheni la Ufaransa TV5 Monde kwa taarifa za maandamano
TV5 Monde imekuwa televisheni ya Ufaransa ya hivi karibuni kupigwa marufuku kupeperusha matangazo yake katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

14 Mei, 2025
Wazungu wa Afrika Kusini wakimbilia Marekani, kanisa lakataa kuwapokea
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema Waafrikaner waliondoka kwa sababu wanapinga sera zinazolenga kushughulikia tatizo la ubaguzi wa rangi.

14 Mei, 2025
Serikali ya Kenya yakana kuuza makampuni ya sukari
Ufafanuzi huo umekuja huku kukiwa na ongezeko wa malalamiko kutoka kwa wananchi, viongozi wa kisiasa kuhusu ukodishaji wa viwanda vya sukari vinavyomilikiwa na Serikali, baadhi ya viongozi wakiibua wasiwasi juu ya uwazi na ushirikishwaji wa wananchi.

14 Mei, 2025
Mshukiwa akamatwa kwa mauaji ya mbunge Kenya
Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

13 Mei, 2025
Kampeni za uchaguzi zaanza rasmi nchini Burundi kwa wabunge, serikali za mitaa
Upigaji kura unatarajiwa kufanyika tarehe tano mwezi Juni, 2025

13 Mei, 2025
Watu zaidi 84,000 wameathiriwa na mafuriko Somalia tangu mwezi Aprili: Umoja wa Mataifa
Watu zaidi 84,000 wameathiriwa na mafuriko nchini Somalia tangu katikati mwa mwezi Aprili, Umoja wa Mataifa umesema, huku idadi ya waliofariki ikifikia 17.

13 Mei, 2025
Mahakama ya Kenya yaidhinisha kusafirishwa Marekani kwa naibu spika wa zamani wa Afghanistan
Mwanasiasa wa Afghanistan Abdul Zahir Qadir anakabiliwa na mashtaka kuhusu dawa za kulevya na silaha nchini Marekani lakini mawakili wake wanapinga kuwa ushahidi uliowasilishwa dhidi yake umechochewa kisiasa.

13 Mei, 2025
Uganda yasimamisha kwa muda mabasi za kampuni ya YY Coaches kutoa huduma
Katika wiki mbili mabasi ya kampuni hiyo yameripotiwa kufanya ajali mara mbili, ya hivi karibuni ilikuwa Mei 5 iliyoua abiria watatu.

13 Mei, 2025
Kenya yahitaji ufadhili zaidi kwa vyombo vya usalama
Mkurugenzi Mkuu wa Huduma ya Kitaifa ya Ujasusi nchini Kenya amesema vikosi vya usalama vimekuwa na changamoto ya kifedha kwa muda mrefu na haviwezi kupata vifaa vya kisasa vya ulinzi.

13 Mei, 2025
Wazalishaji Uganda wataka nafaka isiuzwe nje ya nchi
Wazalsihaji wanadai kuwa uuzaji wa nafaka kwa nchi nyengine zimesababisha viwanda kufungwa na madalali kupata faida badala ya wakulima.



