Wabunge 40 Kenya wafungiwa ofisi kwa kushindwa kulipa kodi

Wabunge na wafanyakazi wa Tume ya Huduma za Bunge (PSC) walifungiwa nje ya ofisi zao katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) kwa madai ya kutolipa kodi kwa muda mrefu.
13 Mei, 2025
Kiongozi wa upinzani Côte d’Ivoire Thiam ajiuzulu kufuatia utata wa uraia wa Ufaransa

Kwa miezi kadhaa, kampeni ya Tidjane Thiam ya kuwania urais imekumbwa na wasiwasi kuhusu uraia wake.
12 Mei, 2025
Waafrika weupe wa Afrika Kusini wahamia Marekani kama wakimbizi

Kutoa hadhi ya ukimbizi kwa Wazungu wa Afrika Kusini kumekumbwa na hisia tofauti kutoka mamlaka za Afrika Kusini, ambazo zinasema utawala wa Trump umeingia katika suala la kisiasa la ndani ambalo halielewi.
12 Mei, 2025
Polisi Uganda yamkamata mhalifu sugu

Mhalifu aliyekamatwa anaitwa Imanantireganya Alfadudu, maarufu kama “ MCongo”.
12 Mei, 2025

Mafuriko yasababisha vifo zaidi DRC

Wakuu wa nchi, Maafisa Watendaji Wakuu wakutana Abidjan kuzungumzia uchumi wa bara la Afrika

Traore wa Burkina Faso ataka ushirikiano zaidi na Urusi

Mvua kubwa yaleta uharibu Mogadishu, Somalia

Viongozi zaidi wajivua uanachama Chadema, kunani?
10 Mei, 2025
Kiongozi wa upinzani Uganda, Bobi Wine kuwania urais
Katika uchaguzi uliopita wa mwaka 2021, Wine alikuwa wa pili, lakini alikataa matokeo, na kudai kulikuwa na wizi wa kura. Tuhuma ambazo serikali na Tume ya Uchaguzi ilizikana.

10 Mei, 2025
Mashambulizi ya anga Darfur yaua 14 kutoka familia moja
Watu hao wa familia moja wameuliwa baada ya kushambuliwa kwa kambi ya Abu Shouk na vikosi vya RSF Ijumaa jioni, vikosi vya uokoaji vimesema.

10 Mei, 2025
Jamhuri ya Afrika ya Kati yamshikilia kiongozi wa waasi Sayo kwa uhalifu wa kivita
Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya ndani, alikamatwa nchini Cameroon tangu Januari alipokuwa akijaribu kupanda ndege na kuelekea nchini Ufaransa.

9 Mei, 2025
Waasi DRC waamuru wachimba migodi kusitisha uchimbaji kufuatia utata wa kodi
Serikali mpya ya gavana wa M23 kwenye mkoa wa Kivu ya Kusini inasema kampuni ya uchimbaji madini ya Twangiza Mining lazima ifuate sheria mpya na kulipa kodi ambazo zinadaiwa walikuwa hawalipi.

9 Mei, 2025
Zambia yawasimamisha kazi maafisa wakuu wa serikali kufuatia uwizi wa dawa
Haya yanajiri baada ya Marekani kusitisha msaada wa dola milioni 50 wa kila mwaka kwa masuala ya matibabu kutokana na uwizi wa dawa na usaidizi mwingine, dawa ambazo zilitakiwa kutolewa bure

9 Mei, 2025
Erastus Edung Ethekon Mwenyekiti mteule wa tume huru ya uchaguzi Kenya ni nani?
Rais wa Kenya, William Ruto, amemteua Erastus Edung Ethekon kuwa Mwenyekiti mpya wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka – IEBC, pamoja na makamishna sita wapya.

9 Mei, 2025
Vita vya Sudan: Mashambulizi zaidi ya ndege zisizo na rubani yaikumba Port Sudan
Mashambulizi hayo mapya yamezua hofu ya uhaba wa mafuta na kuzorota kwa hali mbaya ya kibinadamu.

9 Mei, 2025
Trump anapanga ‘kuwachukua Marekani’ wakimbizi wa Afrika Kusini
Maafisa wa Marekani wanasema wakulima Wazungu wanaodaiwa kuathiriwa na sheria mpya ya unyakuzi wa ardhi ya Afrika Kusini watawasili wiki ijayo.

9 Mei, 2025
Tanzania yalitaka Bunge la Ulaya kuheshimu uhuru, sheria na maadili ya Taifa
Kauli hiyo ya Tanzania imekuja kufuatia mjadala uliofanyika katika Bunge la Ulaya kuhusu masuala ya ndani ya Tanzania.

8 Mei, 2025
Rais wa Kenya ateua makamishna wa tume huru ya uchaguzi
Rais wa Kenya William amemteua Erastus Edung Ethekon kuwa mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi nchini humo.



