Mawaziri watakaoshindwa kuweka wazi mali wanazomiliki kufikia Jumatano watafutwa: Mahama

Rais wa Ghana amewaonya zaidi ya mawaziri wake 40 na wateule wengine kwa kushindwa kuweka wazi mali wanazomiliki, huku muda wa mwisho wa kufanya hivyo ukitarajiwa kuwa Jumatano, 7 Mei.
6 Mei, 2025
Mahakama ya kimataifa ya ICJ yakataa kesi ya Sudan dhidi ya UAE kuhusu mauaji ya halaiki

Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imetupilia mbali kesi ya Sudan dhidi ya UAE ya madai ya kuhusika katika mauaji ya halaiki kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Sudan.
6 Mei, 2025
Rwanda inasema inafanya mazungumzo na Marekani ili ipokee wahamiaji

Kigali ilitia saini makubaliano na Uingereza mwaka 2022 kuchukua maelfu ya waomba hifadhi kutoka Uingereza kabla ya mkataba huo kufutiliwa mbali mwaka jana na Waziri Mkuu mteule wa wakati huo Keir Starmer.
6 Mei, 2025
Walanguzi kadhaa wa dawa za kulevya wakamatwa Malawi

‘Tunashkuru serikali ya Marekani kwa operesheni hii ya usalama iliyofanikiwa,’ alisema waziri wa mambo ya ndani
5 Mei, 2025

Umoja wa Afrika walaani mashambulizi ya Port Sudan

Uganda yamkamata anayeshukiwa kuwateka nyara watalii baada ya miaka sita

Benki Kuu Tanzania yakazia matumizi ya fedha za nchi kwa biashara za ndani

M23 yadhibiti mji wa kimkakati wa wavuvi mashariki mwa DRC licha ya makubaliano ya amani

Watatu mbaroni baada ya Rais Ruto kurushiwa kiatu
4 Mei, 2025
Jeshi la Sudan lasema RSF imelenga miundombinu karibu na uwanja wa ndege Port Sudan
Msemaji wa jeshi la Sudan amesema vikosi vya RSF vimelenga kambi ya jeshi la anga na miundombinu mengine karibu na eneo la uwanja wa ndege uliopo Port Sudan

3 Mei, 2025
Idadi ya waliouawa katika shambulizi la Al-Nahud Sudan yafika 300: Tume ya haki
Tume ya kitaifa ya haki za binadamu nchini Sudan imeshtumu ‘ukiukwaji mkubwa uliotekelezwa na vikosi vya RSF dhidi ya raia huko Al-Nahud’

3 Mei, 2025
Gabon kumuapisha kiongozi aliyefanya mapinduzi Oligui kuwa rais
Brice Oligui Nguema alishinda uchaguzi wa mwezi uliopita akipata asilimia 95 ya kura baada ya kuongoza serikali ya mpito kwa miezi 19.

2 Mei, 2025
Mkuu wa Jeshi la Uganda adai kumshikilia mpinzani nyumbani kwake
Mkuu wa jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ambaye pia ni mtoto wa Rais Yoweri Museveni, amefanya msururu wa machapisho kwa X kuhusu mlinzi wa kiongozi mkuu wa upinzani nchini aliyeripotiwa kutekwa

2 Mei, 2025
Kenya yachunguza mauaji ya mbunge Were
Mbunge Charles Were aliuawa jioni ya Aprili 30 jijini Nairobi na watu waliokuwa na silaha ambao inaaminika walikuwa wakimfuatilia, huku taarifa sasa zikisema kuwa alipigwa risasi nne.

2 Mei, 2025
Raia 44 wa Ethiopia waokolewa Afrika Kusini
Kuna visa vya mara kwa mara za raia wa Ethiopia kuingia Afrika Kusini kwa njia zisizo halali hasa kupitia mawakala.

2 Mei, 2025
Polisi watano wauawa Kenya katika makabiliano na kundi la al-Shabaab
Maafisa walikuwa wakiwafuatilia magaidi hao kwa siku mbili kutokana na taarifa za kijasusi kuwa walikuwa wamejificha katika moja ya misitu mikubwa pwani ya Kenya.

1 Mei, 2025
Serikali ya DRC yathibitisha mlipuko wa ugonjwa wa Kimeta
Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, kimeta ni ugonjwa wa mlipuko utokanao na vimelea vya bakteria vinavyojulikana kitaalamu kwa jina la ‘bacillus anthracis’.

1 Mei, 2025
Tanzania: Chama Cha Mapinduzi chalaani shambulio dhidi ya Padre Charles Kitima
Chama hicho kimeahidi kuendelea kushirikiana na taasisi zote za dini katika kujenga taifa lenye kulinda na kuendeleza misingi ya amani, umoja wa kitaifa, mshikamano, heshima na linaloheshimu haki za binadamu.

1 Mei, 2025
Wanamgambo wa RSF washambulia Ikulu ya Rais mjini Khartoum
Wanamgambo hao wamekuwa katika mapigano na jeshi la nchi hiyo toka Aprili 2023, katika machafuko yalioua maelfu ya watu na kuwaacha wengine takribani milioni 13 bila makazi.



