4 Mei, 2025

Jeshi la Sudan lasema RSF imelenga miundombinu karibu na uwanja wa ndege Port Sudan

Msemaji wa jeshi la Sudan amesema vikosi vya RSF vimelenga kambi ya jeshi la anga na miundombinu mengine karibu na eneo la uwanja wa ndege uliopo Port Sudan

1746112210961 6ggstu 2025 04 18t130528z 249290311 rc26 9 rtrmadp 3 sudan politics zamzam 1

3 Mei, 2025

Idadi ya waliouawa katika shambulizi la Al-Nahud Sudan yafika 300: Tume ya haki

Tume ya kitaifa ya haki za binadamu nchini Sudan imeshtumu ‘ukiukwaji mkubwa uliotekelezwa na vikosi vya RSF dhidi ya raia huko Al-Nahud’

sudan

3 Mei, 2025

Gabon kumuapisha kiongozi aliyefanya mapinduzi Oligui kuwa rais

Brice Oligui Nguema alishinda uchaguzi wa mwezi uliopita akipata asilimia 95 ya kura baada ya kuongoza serikali ya mpito kwa miezi 19.

gabon 20presi

2 Mei, 2025

Mkuu wa Jeshi la Uganda adai kumshikilia mpinzani nyumbani kwake

Mkuu wa jeshi la Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ambaye pia ni mtoto wa Rais Yoweri Museveni, amefanya msururu wa machapisho kwa X kuhusu mlinzi wa kiongozi mkuu wa upinzani nchini aliyeripotiwa kutekwa

2025 03 28t151806z 1 lynxnpel2r0tr rtroptp 3 uganda politics

2 Mei, 2025

Kenya yachunguza mauaji ya mbunge Were

Mbunge Charles Were aliuawa jioni ya Aprili 30 jijini Nairobi na watu waliokuwa na silaha ambao inaaminika walikuwa wakimfuatilia, huku taarifa sasa zikisema kuwa alipigwa risasi nne.

2025 05 02t081149z 2098145184 rc2k9eaxqzoh rtrmadp 3 kenya crime

2 Mei, 2025

Raia 44 wa Ethiopia waokolewa Afrika Kusini

Kuna visa vya mara kwa mara za raia wa Ethiopia kuingia Afrika Kusini kwa njia zisizo halali hasa kupitia mawakala.

2014 10 27t120000z 376010863 gm1e ox02 rtrmadp 3 france immigration

2 Mei, 2025

Polisi watano wauawa Kenya katika makabiliano na kundi la al-Shabaab

Maafisa walikuwa wakiwafuatilia magaidi hao kwa siku mbili kutokana na taarifa za kijasusi kuwa walikuwa wamejificha katika moja ya misitu mikubwa pwani ya Kenya.

kenya 20police 20al 20shabaab 20

1 Mei, 2025

Serikali ya DRC yathibitisha mlipuko wa ugonjwa wa Kimeta

Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, kimeta ni ugonjwa wa mlipuko utokanao na vimelea vya bakteria vinavyojulikana kitaalamu kwa jina la ‘bacillus anthracis’.

who 1 2

1 Mei, 2025

Tanzania: Chama Cha Mapinduzi chalaani shambulio dhidi ya Padre Charles Kitima

Chama hicho kimeahidi kuendelea kushirikiana na taasisi zote za dini katika kujenga taifa lenye kulinda na kuendeleza misingi ya amani, umoja wa kitaifa, mshikamano, heshima na linaloheshimu haki za binadamu.

kitima

1 Mei, 2025

Wanamgambo wa RSF washambulia Ikulu ya Rais mjini Khartoum

Wanamgambo hao wamekuwa katika mapigano na jeshi la nchi hiyo toka Aprili 2023, katika machafuko yalioua maelfu ya watu na kuwaacha wengine takribani milioni 13 bila makazi.

rsf 20soldiers
Inapakia...