Waziri Mkuu wa Libya aamuru kufungwa kwa balozi 25

Ofisi ya Waziri Mkuu inasema serikali itapitia upya kiwango cha wafanyakazi na mazingira ya kazi katika balozi zilizobaki.
1 Mei, 2025
Kiongozi wa Sudan al-Burhan amteua Al-Haj kama waziri mkuu wa serikali ya mpito

Al-Burhan pia ameidhinisha uteuzi wa mawaziri wengine wapya
1 Mei, 2025
Mlima Kilimanjaro wang’ara kati ya maeneo ya kuvutia kwa picha ulimwenguni

Jumla ya wapandaji 50,000 hukwea mlima huo kila mwaka, huku ukivutia watumiaji wa mitandao zaidi ya milioni 5.5 kila mwaka.
30 Aprili, 2025
Kenya: Watu wasiojulikana wammiminia risasi na kumuua mbunge wa Kasipul Charles Were

Dereva wa mbunge huyo hakupata madhara yoyote kwenye tukio hilo.
30 Aprili, 2025

Uzalishaji wa madini ya shaba waongezeka kwa 30% Zambia

Rwanda kuongeza uwezo wake wa kuhifadhi mafuta

Umoja wa Mataifa yasafirisha wanajeshi na polisi wa DRC waliokimbia vituo

Twiga nchini Kenya wahamishwa maeneo bora

Maiti za wafanyakazi 5 wa timboni waliouawa na al Shabaab zasafirishwa Nairobi
30 Aprili, 2025
Baraza la mawaziri Kenya lapitisha Muswada wa Fedha 2025
Mabadiliko muhimu ni pamoja na kurahisisha urejeshaji wa kodi, kuimarisha sheria za migogoro ya kodi, na kurekebisha sheria kuu za kodi ili kupunguza ukwepaji.

30 Aprili, 2025
Afrika yaadhimisha wiki ya chanjo wataalam wakihimiza uwekezaji zaidi
Takwimu zinaonyesha kuwa Afrika inachangia asilimia 58 ya vifo duniani kutokana na magonjwa yanayozuilika kwa chanjo.

27 Aprili, 2025
Kenya Airways ya Nairobi- Dar es Salaam ililazimika kurudi JKIA kutokana na dharura ya kiafya
Ndege hiyo ya KQ484 ilirudishwa uwanja wa Jomo Kenyatta lakini baada ya itifaki za kiafya kutimizwa iliruhusiwa kuendelea na safari yake saa mbili baadaye.

27 Aprili, 2025
London Marathon: Assefa wa Ethiopia avunja rekodi ya dunia ya mbio za wanawake
Mwanariadha wa Ethiopia Tigst Assefa ameweka rekodi mpya ya dunia katika mbio za marathon za wanawake baada ya kushinda mbio za London Marathon kwa saa 2 dakika 15 na sekunde 50 siku ya Jumapili.

27 Aprili, 2025
Wafungwa 4,887 wasamehewa katika sherehe za maadhimisho ya 61 ya Muungano, Tanzania
Hata hivyo kwa mujibu wa vigezo vilivyowekwa, hakuna msamaha kwa watuhumiwa wa hujuma ya uchumi wa nchi, ujambazi wa kutumia silaha, mauaji ya watoto wachanga, ugaidi, biashara ya dawa za kulevya na uhalifu wa mtandaoni.

27 Aprili, 2025
Tanzania yaondoa marufuku ya uagizaji bidhaa kutoka Afrika Kusini, Malawi kuruhusu mazungumzo
Maafisa wa Tanzania wanasema kuwa nchi hizo mbili ziliwasiliana kivyake kutafuta suluhu ya mzozo wa kibiashara kwa njia ya mazungumzo.

26 Aprili, 2025
Uganda yatangaza kumalizika mlipuko wa hivi punde wa Ebola
Tangazo la kumalizika kwa mlipuko huo lilifuata siku 42 “bila maambukizi mapya tangu mgonjwa wa mwisho aliyethibitishwa kuruhusiwa kwenda nyumbani.”

26 Aprili, 2025
Viongozi wa Afrika watoa wito kwa walinda amani zaidi Somalia kukabiliana na al-Shabab
Viongozi hao waliokutana nchini Uganda walipendekeza kuwa wanajeshi zaidi wanaweza kutumwa kutoka Misri

26 Aprili, 2025
DRC na Rwanda zatia saini njia ya kufikia amani katika makubaliano yaliyosimamiwa na Marekani
Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

25 Aprili, 2025
Burkina Faso yaipa kampuni ya Urusi Nordgold leseni ya uchimbaji dhahabu
Mgodi wa Niou unatarajiwa kupata tani 20.22 ya dhahabu katika kipindi cha zaidi ya miaka minane, maafisa wamesema



