30 Aprili, 2025

Baraza la mawaziri Kenya lapitisha Muswada wa Fedha 2025

Mabadiliko muhimu ni pamoja na kurahisisha urejeshaji wa kodi, kuimarisha sheria za migogoro ya kodi, na kurekebisha sheria kuu za kodi ili kupunguza ukwepaji.

cabinet 20meeting 202

30 Aprili, 2025

Afrika yaadhimisha wiki ya chanjo wataalam wakihimiza uwekezaji zaidi

Takwimu zinaonyesha kuwa Afrika inachangia asilimia 58 ya vifo duniani kutokana na magonjwa yanayozuilika kwa chanjo.

1745927350997 lhq8b rs55244 030 gavi uganda 50epi 20 jju28152

27 Aprili, 2025

Kenya Airways ya Nairobi- Dar es Salaam ililazimika kurudi JKIA kutokana na dharura ya kiafya

Ndege hiyo ya KQ484 ilirudishwa uwanja wa Jomo Kenyatta lakini baada ya itifaki za kiafya kutimizwa iliruhusiwa kuendelea na safari yake saa mbili baadaye.

2020 08 01t112030z 848632208 rc2z health coronavirus kenya airways

27 Aprili, 2025

London Marathon: Assefa wa Ethiopia avunja rekodi ya dunia ya mbio za wanawake

Mwanariadha wa Ethiopia Tigst Assefa ameweka rekodi mpya ya dunia katika mbio za marathon za wanawake baada ya kushinda mbio za London Marathon kwa saa 2 dakika 15 na sekunde 50 siku ya Jumapili.

2025 04 27t102525z 915606206 up1e 0sybph rtrmadp 3 athletics london

27 Aprili, 2025

Wafungwa 4,887 wasamehewa katika sherehe za maadhimisho ya 61 ya Muungano, Tanzania

Hata hivyo kwa mujibu wa vigezo vilivyowekwa, hakuna msamaha kwa watuhumiwa wa hujuma ya uchumi wa nchi, ujambazi wa kutumia silaha, mauaji ya watoto wachanga, ugaidi, biashara ya dawa za kulevya na uhalifu wa mtandaoni.

gettyimages 1246353377

27 Aprili, 2025

Tanzania yaondoa marufuku ya uagizaji bidhaa kutoka Afrika Kusini, Malawi kuruhusu mazungumzo

Maafisa wa Tanzania wanasema kuwa nchi hizo mbili ziliwasiliana kivyake kutafuta suluhu ya mzozo wa kibiashara kwa njia ya mazungumzo.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab

26 Aprili, 2025

Uganda yatangaza kumalizika mlipuko wa hivi punde wa Ebola

Tangazo la kumalizika kwa mlipuko huo lilifuata siku 42 “bila maambukizi mapya tangu mgonjwa wa mwisho aliyethibitishwa kuruhusiwa kwenda nyumbani.”

uganda 20trial

26 Aprili, 2025

Viongozi wa Afrika watoa wito kwa walinda amani zaidi Somalia kukabiliana na al-Shabab

Viongozi hao waliokutana nchini Uganda walipendekeza kuwa wanajeshi zaidi wanaweza kutumwa kutoka Misri

fab 1

26 Aprili, 2025

DRC na Rwanda zatia saini njia ya kufikia amani katika makubaliano yaliyosimamiwa na Marekani

Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab

25 Aprili, 2025

Burkina Faso yaipa kampuni ya Urusi Nordgold leseni ya uchimbaji dhahabu

Mgodi wa Niou unatarajiwa kupata tani 20.22 ya dhahabu katika kipindi cha zaidi ya miaka minane, maafisa wamesema

burk 20russia
Inapakia...