22 Aprili, 2025

Rais Ruto kuongoza kongamano la biashara nchini China

Ni katika ziara yake ya kiserikali ya siku nne nchini humo, ambapo mbali na hiyo, pia atajadiliana masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa na mwenyeji wake Xi Jinping.

2024 09 05t101152z 590141888 rc23 gv4 rtrmadp 3 china africa summit

22 Aprili, 2025

Raia wasiopungua 33 wameuawa kwenye mashambulizi ya RSF katika mji wa El-Fasher,jeshi linasema

Wapiganaji wa RSF hawajuzungumzia chochote kuhusu tukio hilo

darfur

22 Aprili, 2025

Mamia wafariki wakati Angola ikipambana na mlipuko wa kipindupindu

Zaidi ya visa 14,000 vya kipindupindu na vifo 505 vimeripotiwa tangu mlipuko huo uanze Januari 2025.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab

22 Aprili, 2025

Jeshi la Sudan Kusini lauteka tena mji muhimu kutoka kwa wanamgambo wa White Army

Wasemaji wa jeshi na jeshi la White Army, ambalo chama cha Machar kinakanusha kuunga mkono, walisema mji wa Nasir ulitekwa tena siku ya Jumapili bila mapigano

2024 11 22t170211z 739599175 rc2d ocf rtrmadp 3 southsudan violence

21 Aprili, 2025

Sudan Kusini kutuma ujumbe Marekani kujadili kurejeshwa nyumbani raia wake

Haya yanajiri baada ya Makula Kintu, aliyejitambulisha kwa jina la Nemeri Garang, awali kunyimwa kuingia katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Juba baada ya kufukuzwa kutoka Marekani, na kusababisha mzozo wa kidiplomasia

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab

21 Aprili, 2025

Pasaka: Kanisa la Afrika Kusini lafungisha ndoa 3,000 katika harusi kubwa

Wakati wa sherehe hizo, baadhi ya wanaume walioa wake zao wa sita au wa saba huku wachumba wengine wakioa wachumba wawili kwa pamoja , kanisa linasema.

fab 202

21 Aprili, 2025

DRC imekifuta chama cha rais wa zamani Kabila kwa madai ya kuwa na uhusiano na waasi wa M23

Joseph Kabila aliongoza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutoka 2001 hadi 2019.

kabila 20reuters

21 Aprili, 2025

Vita vya Sudan: Familia zahangaika kusaidia waliojeruhiwa katika mji uliozingirwa wa El-Fasher

Huku kukiwa na uhaba mkubwa wa mahitaji muhimu huko El-Fasher, familia na majirani wanatumia maarifa kupata huduma ya kwanza kwa walioathiriwa na vita.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab

21 Aprili, 2025

CHADEMA: Tumethibitisha Lissu anazuiliwa gereza la Ukonga

Duru kutoka ndanxi ya Chama zinasema kuwa viongozi wawili wa chama hicho pamoja na wanafamilia wachache wameruhusiwa kumuona kupitia kizuizi cha glasi na wamezungumza kwa simu naye.

2025 01 22t145227z 867001758 rc2p 6 rtrmadp 3 tanzania politics 20 1

21 Aprili, 2025

Idadi ya waliofariki katika ajali ya boti DRC imeongezeka hadi 148

Zaidi ya wathiriwa wengine 150 waliokolewa wakiwa na viwango tofauti vya kuungua huku miili kadhaa iliyoteketea ikipatikana kutoka kwenye boti, asema afisa.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab
Inapakia...