21 Aprili, 2025

Tanzania yatishia kupiga marufuku uingizaji wa bidhaa za Malawi

Waziri Bashe amewashauri wasafirishaji wote wa Kitanzania kuacha kupakia bidha hizo mpaka mgogoro huo wa kibiashara utakapopata utatuzi.

q

21 Aprili, 2025

Mali yafunga ofisi za kampuni ya madini ya Canada kufuatia mvutano kuhusu kodi

Barrick Gold inasema ilitia saini makubaliano yaliyowasilishwa na serikali ya Mali mwezi Februari, lakini serikali ikashindwa kutekeleza.

barrick

21 Aprili, 2025

Maelfu ya watu waondolewa Darfur huku wapiganaji wakichukua udhibiti wa kambi ya Zamzam

Mapigano karibu na kambi na maeneo mengine yamesababisha vifo vya raia zaidi ya 300, ikiwemo wafanyakazi 10 wa shirika la misaada la Relief International.

zamzam 20mom

21 Aprili, 2025

Kundi la kigaidi la al-Shabaab ladhibiti mji muhimu nchini Somalia

Miji wa Adan Ayabaal, ulioko kilomita 245 kutoka Mogadishu, ni mji wa kimkakati unaounganisha jimbo la Hirshabelle na jimbo la kati la Galmudug, ulikombolewa kutoka kwa magaidi wakati wa operesheni ya kijeshi ya 2022

som 20shab

21 Aprili, 2025

Mchungaji wa Marekani Josh Sullivan aliyetekwa aokolewa baada ya ufyatulianaji risasi Afrika Kusini

Josh Sullivan alipatikana akiwa “hana madhara yoyote” ndani ya gari moja wakati wa operesheni hiyo ya Jumanne usiku, polisi wamesema.

sa 20police

21 Aprili, 2025

Ufaransa yashtumu timua timua ya Algeria, yataka kuanzishwa tena kwa ’mazungumzo ya dhati’

‘Ni wazi kuwa majadiliano hayajapewa nafasi kutokana na maamuzi yasiyo na msingi,’ anasema waziri wa mambo ya nje

french 20fm 20barrot

21 Aprili, 2025

Mkutano wa London unataka ‘hatua madhubuti’ kutatua mgogoro wa Sudan

Mkutano wa Sudan uliofanyika London, Uingereza, kwa kushirikian na Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya umejikita kutatua athari za vita ambavyo vimesababisha mauaji ya maelfu huku mamilioni wakikosa makazi nchini Sudan.

sudan 20pic

21 Aprili, 2025

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania kimetaja marufuku ya uchaguzi kuwa ni kinyume cha katiba

Mwenyekiti wa tume huru ya taifa ya Uchaguzi, Jaji Jacobs Mwambegele amesema kuwa wao kama tume wametafsiri sheria hiyo wanavyojua wao, na iwapo CHADEMA wana tafsiri tofauti ni haki yao, ila waachie uamuzi wa mwisho mahakama.

vote

21 Aprili, 2025

Kiongozi wa wanamgambo wa Sudan Hemedti atangaza kuanzishwa kwa serikali mbadala

Mohamed Hamdan Daglo anasema serikali pinzani “inaakisi sura halisi ya Sudan” katika hatua inayokuja wakati mawaziri wa mambo ya nje na viongozi wa masuala ya kibinadamu wakikusanyika kuadhimisha miaka miwili ya mzozo wa Sudan.

thumbs b c 8b762b78ae18d152e6b17b17f1fa8fab

21 Aprili, 2025

Ufaransa yamrejesha nyumbani balozi wake wa Algeria huku wasiwasi ukiongezeka

Haya yanatokea siku kadhaa baada ya Algeria kuwapa maafisa 12 wa Ufaransa saa 48 kuondoka nchini humo.

france 20algeria
Inapakia...