Matumizi ya vitambulisho zaidi ya 600,000 kusitishwa Tanzania

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa nchini Tanzania (NIDA) imesema kuwa itasitisha matumizi ya namba za vitambulisho 634,124 kuanzia tarehe 1 Mei kwa wale ambao hawatakuwa wamechukua vitambulisho hivyo.
21 Aprili, 2025
Shirika la wakimbizi la UN laonya kuhusu ‘mzozo juu mzozo’ Congo mafuriko yakiwa kero kwa maelfu

UNHCR imetoa wito wa msaada wa dharura huku watu wengi zaidi wakihama makazi yao, na kukiwa na hatari ya magonjwa, pamoja na ukosefu wa fedha za kutosha
21 Aprili, 2025
Upinzani Sudan Kusini waitisha uchunguzi wa kimataifa wa madai ya dhulma ya serikali

Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.
21 Aprili, 2025
Kongamano la kimataifa laandaa misaada kwa Sudan baada ya miaka 2 ya vita, lakini amani haipatikani

Waliohudhuria ni pamoja na maafisa kutoka mataifa ya Magharibi, taasisi za kimataifa na nchi jirani – lakini hakuna hata mmoja kutoka Sudan. Jeshi la Sudan wala wapiganaji wa RSF hawakualikwa
21 Aprili, 2025

Kenya: Watu 4 wakamatwa wakijaribu kutorosha siafu kupitia uwanja wa ndege

Afrika Kusini yamteua mjumbe maalum wa Marekani baada ya balozi wake kufukuzwa

Mkuu wa UN asema mauaji ya mamia ya watu Sudan ishara ya kutowajibika kwa jumuiya ya kimataifa

SADC yakanusha madai ya M23 kuwa ilihusika katika operesheni ya kijeshi nchini DRC

Jeshi la wanamaji la India lazindua mazoezi ya pamoja na nchi 10 za Afrika
21 Aprili, 2025
Watu zaidi ya 40 wauawa katika mashambulio ya usiku kaskazini-kati mwa Nigeria
Jamii iliyoshambuliwa imekuwa ikikabiliwa na matukio ya vurugu katika wiki za hivi karibuni

21 Aprili, 2025
Afrika Kusini: Serikali yaanzisha upya uchunguzi wa kifo cha Albert Luthuli
Luthuli atakumbukwa kwa kukiongoza chama tawala cha ANC cha nchi hiyo kumaliza utawala wa wazungu wachache mwaka 1994.

21 Aprili, 2025
Afrika Kusini yamteua mjumbe maalum wa Marekani baada ya balozi Ebrahim Rasool kufukuzwa
Mcebisi Hubert Jonas ni mwanaharakati mkongwe na mtumishi wa umma wa muda mrefu katika siasa na maendeleo ya Afrika Kusini.

21 Aprili, 2025
Hisia mchanganyiko baada ya Tanzania kuorodheshwa Kundi A hatari ya CAF U20
Wenyeji Misri, mabingwa mara tatu wa kundi A, watamenyana na Zambia, Sierra Leone, Afrika Kusini na Tanzania katika kundi gumu.

21 Aprili, 2025
Wanariadha wa Ethiopia na Kenya washinda mataji katika mbio za Paris Marathon
Bedatu Hirpa wa Ethiopia ameshinda mbio za wanawake katika mbio za Paris Marathon, huku Mkenya Benard Biwott akiibuka kidedea katika mbio za wanaume.

21 Aprili, 2025
Kiongozi wa mapinduzi Gabon Nguema ashinda uchaguzi wa Rais
Brice Oligui Nguema alishinda uchaguzi wa urais Jumamosi kwa 90.35% ya kura zilizopigwa, kulingana na matokeo ya awali.

21 Aprili, 2025
RSF ya Sudan yadai udhibiti wa kambi kuu ya Darfur, raia wakimbia
Mashirika y misaada yamelaani shambulio hilo kuwa ni shambulio lililolenga raia walio hatarini, wakiwemo wanawake, watoto na wazee, ambao tayari wanakabiliwa na njaa.



