21 Aprili, 2025

Watu zaidi ya 40 wauawa katika mashambulio ya usiku kaskazini-kati mwa Nigeria

Jamii iliyoshambuliwa imekuwa ikikabiliwa na matukio ya vurugu katika wiki za hivi karibuni

nigeria 20maktaba 1

21 Aprili, 2025

Afrika Kusini: Serikali yaanzisha upya uchunguzi wa kifo cha Albert Luthuli

Luthuli atakumbukwa kwa kukiongoza chama tawala cha ANC cha nchi hiyo kumaliza utawala wa wazungu wachache mwaka 1994.

luthuli

21 Aprili, 2025

Afrika Kusini yamteua mjumbe maalum wa Marekani baada ya balozi Ebrahim Rasool kufukuzwa

Mcebisi Hubert Jonas ni mwanaharakati mkongwe na mtumishi wa umma wa muda mrefu katika siasa na maendeleo ya Afrika Kusini.

sa 20new 20us 20ambo

21 Aprili, 2025

Hisia mchanganyiko baada ya Tanzania kuorodheshwa Kundi A hatari ya CAF U20

Wenyeji Misri, mabingwa mara tatu wa kundi A, watamenyana na Zambia, Sierra Leone, Afrika Kusini na Tanzania katika kundi gumu.

ngrongoro

21 Aprili, 2025

Wanariadha wa Ethiopia na Kenya washinda mataji katika mbio za Paris Marathon

Bedatu Hirpa wa Ethiopia ameshinda mbio za wanawake katika mbio za Paris Marathon, huku Mkenya Benard Biwott akiibuka kidedea katika mbio za wanaume.

1744542304476 a0k2ee 2025 04 13t085622z 1645452065 up1 d0otwg3 rtrmadp 3 athletics paris

21 Aprili, 2025

Kiongozi wa mapinduzi Gabon Nguema ashinda uchaguzi wa Rais

Brice Oligui Nguema alishinda uchaguzi wa urais Jumamosi kwa 90.35% ya kura zilizopigwa, kulingana na matokeo ya awali.

fab 1

21 Aprili, 2025

RSF ya Sudan yadai udhibiti wa kambi kuu ya Darfur, raia wakimbia

Mashirika y misaada yamelaani shambulio hilo kuwa ni shambulio lililolenga raia walio hatarini, wakiwemo wanawake, watoto na wazee, ambao tayari wanakabiliwa na njaa.

2015 02 04t120000z 468445455 gm1e 250hm701 rtrmadp 3 sudan violence
Inapakia...