Motsepe: AFCON 2027 itafanyika Afrika Mashariki na si kwingineko

Michuano hiyo inaandaliwa kwa pamoja na Tanzania, Kenya na Uganda.
13 Februari, 2026
Serikali ya DRC yakubali kumaliza mapigano na waasi wa M23

Hata hivyo, hapakuwa na taarifa yoyote kuhusu jambo hilo kutoka kambi ya AFC/M23.
13 Februari, 2026
Ajali ya barabarani yawajeruhi mawaziri wa Ghana

Msafara wa serikali wagongana njiani kuelekea sherehe ya Tumu College of Education
13 Februari, 2026
Nigeria yaweka tarehe ya uchaguzi wa urais Februari 2027

INEC yatangaza ratiba mpya ya uchaguzi na mageuzi ya uwazi
13 Februari, 2026

Afrika Kusini yaimarisha vita dhidi ya magenge ya uhalifu

AU yafurahishwa na makubaliano ya kusitisha mapigano DRC

Waziri Mkuu wa Tanzania Mwigulu Nchemba ataka mikakati ya kulinda viwanda vya ndani

Wasioendeleza ardhi kwa miaka mitatu Tanzania kunyang’anywa na serikali

Wataka uwajibikaji kwa familia zilizoathirika migodini
12 Februari, 2026
DR Congo yakana kutoa rasilimali zake za madini katika makubaliano ya amani ya Trump
Makubaliano hayo yanawezesha upatikanaji wa shaba, cobalt, coltan na Lithium kwa kampuni za Marekani, lakini Waziri wa Madini wa Congo amesema nchi yake haijauza chochote mpaka sasa.

11 Februari, 2026
Mchungaji Mackenzie wa Shakahola matatani tena kwa kusababisha vifo vingine 52
Mackenzie alijipatia umaarufu kwa kuwahubiria waumini wake, washinde njaa, na baada ya kufa wakutane na Yesu.

11 Februari, 2026
Shirika la misaada la Uturuki laanzisha mradi wa ufugaji kuku kwa wanawake wa Tanzania
Shirika la TIKA linalenga kuboresha vipato vya wanawake, na kuwajengea uwezo wa kupata vyenye virutubisho vya protini.

11 Februari, 2026
Takriban watu tisa wafariki baada ya kimbunga Gezani kupiga Madagascar
Wakazi wa maeneo hayo ya Toamasina walielezea athari ya kimbunga hicho.

11 Februari, 2026
Wanajeshi wa Marekani kutoa mafunzo ya kupambana na ugaidi kwa vikosi vya Nigeria
Jeshi la Marekani linasema litawapa Nigeria taarifa za kijasusi kwa ajili ya mashambulizi ya angani na kuwasaidia katika ununuzi wa silaha.

11 Februari, 2026
Misri yapitisha mabadiliko ya baraza la mawaziri
Mabadiliko hayo yanaonekana kuweka kipaombele katika uchumi, huku mchumi mwandamizi kutoka Benki ya Dunia Ahmed Rostom akiteuliwa Waziri wa Mipango, na mwenyekiti wa Mamlaka ya Udhibiti wa Fedha Mohamed Farid Saleh akiteuliwa Waziri wa Uwekezaji.

10 Februari, 2026
Mpango wa Marekani kuvuna madini kutoka DRC wapingwa
Rais Felix Tshisekedi alitoa ofa kwa makampuni ya Marekani kuchimba na kuvuna madini yenye thamani ya Dola Trilioni 24, kama sehemu ya mpango wa Marekani kuisaidia DRC kupambana na waasi.

10 Februari, 2026
Baraza la Mawaziri la Zimbabwe lamuongezea muda wa kukaa madarakani Rais Emmerson Mnangagwa
Mabadiliko hayo yanakuja miezi mitano baada ya chama cha Zanu-PF, kupitisha maazimio ya kumuweka madarakani kiongozi huyo mwenye miaka 83 madarakani, hadi 2030.

10 Februari, 2026
Mahakama ya ufisadi nchini Zambia yataifisha mali za mtoto wa Edgar Lungu
Kati ya mali zitakazotaifishwa ni pamoja na magari 79, vipande 23 vya ardhi, biashara za nyumba, nyumba za makazi pamoja na vituo vya mafuta.

10 Februari, 2026
Somalia yaripoti kumuua mshirika wa kiongozi wa Al Shabab, Ahmed Diriye
Serikali ya Somalia imeripoti kumuua kiongozi wa kigaidi aliyekuwa mshirika wa karibu wa kiongozi wa Al Shabab, Ahmed Diriye.


