12 Februari, 2026

DR Congo yakana kutoa rasilimali zake za madini katika makubaliano ya amani ya Trump

Makubaliano hayo yanawezesha upatikanaji wa shaba, cobalt, coltan na Lithium kwa kampuni za Marekani, lakini Waziri wa Madini wa Congo amesema nchi yake haijauza chochote mpaka sasa.

1770830207256 0ifa1q 1ed891e354294a12ee899609520ae3628fa339143ace023135c68af56e4063d1

11 Februari, 2026

Mchungaji Mackenzie wa Shakahola matatani tena kwa kusababisha vifo vingine 52

Mackenzie alijipatia umaarufu kwa kuwahubiria waumini wake, washinde njaa, na baada ya kufa wakutane na Yesu.

bb673e1cfc44e46376a587e074e0e05a6978f12edde7b627d137c635945b133d

11 Februari, 2026

Shirika la misaada la Uturuki laanzisha mradi wa ufugaji kuku kwa wanawake wa Tanzania

Shirika la TIKA linalenga kuboresha vipato vya wanawake, na kuwajengea uwezo wa kupata vyenye virutubisho vya protini.

8f84513833c897f642a9edfc731fec9062f4afc62561109298761aee5b4ccbb2

11 Februari, 2026

Takriban watu tisa wafariki baada ya kimbunga Gezani kupiga Madagascar

Wakazi wa maeneo hayo ya Toamasina walielezea athari ya kimbunga hicho.

9b0fa43a2001179c4855576a39d1dd9c46b1003c736116c572ade80440aa38d4

11 Februari, 2026

Wanajeshi wa Marekani kutoa mafunzo ya kupambana na ugaidi kwa vikosi vya Nigeria

Jeshi la Marekani linasema litawapa Nigeria taarifa za kijasusi kwa ajili ya mashambulizi ya angani na kuwasaidia katika ununuzi wa silaha.

9c1499253e23a590384a070568a4ca146939c86bc3f73fe59614fac96611b288

11 Februari, 2026

Misri yapitisha mabadiliko ya baraza la mawaziri

Mabadiliko hayo yanaonekana kuweka kipaombele katika uchumi, huku mchumi mwandamizi kutoka Benki ya Dunia Ahmed Rostom akiteuliwa Waziri wa Mipango, na mwenyekiti wa Mamlaka ya Udhibiti wa Fedha Mohamed Farid Saleh akiteuliwa Waziri wa Uwekezaji.

27c897b683d364ae32c72a785dddd7ed40335be8f0dcb0ac2e128d81f19f3b5d

10 Februari, 2026

Mpango wa Marekani kuvuna madini kutoka DRC wapingwa

Rais Felix Tshisekedi alitoa ofa kwa makampuni ya Marekani kuchimba na kuvuna madini yenye thamani ya Dola Trilioni 24, kama sehemu ya mpango wa Marekani kuisaidia DRC kupambana na waasi.

8a16f3ed597b56b9b4045080832d4c56ebe6cb741b4c8836e93dcdde078c1cf3

10 Februari, 2026

Baraza la Mawaziri la Zimbabwe lamuongezea muda wa kukaa madarakani Rais Emmerson Mnangagwa

Mabadiliko hayo yanakuja miezi mitano baada ya chama cha Zanu-PF, kupitisha maazimio ya kumuweka madarakani kiongozi huyo mwenye miaka 83 madarakani, hadi 2030.

ecaca8b486468c3487918d6beacd583a42a71824bce4d920751bf26b5548a744

10 Februari, 2026

Mahakama ya ufisadi nchini Zambia yataifisha mali za mtoto wa Edgar Lungu

Kati ya mali zitakazotaifishwa ni pamoja na magari 79, vipande 23 vya ardhi, biashara za nyumba, nyumba za makazi pamoja na vituo vya mafuta.

a3f7645b6b663abad3e33a9c48fa9d0bd1063b8dc8aaa089ffbffadf39789aab

10 Februari, 2026

Somalia yaripoti kumuua mshirika wa kiongozi wa Al Shabab, Ahmed Diriye

Serikali ya Somalia imeripoti kumuua kiongozi wa kigaidi aliyekuwa mshirika wa karibu wa kiongozi wa Al Shabab, Ahmed Diriye.

cba5828215aa75af5fb874123d719965e0e123d61612e5870486055e3e4b9c73
Inapakia...