8 Februari, 2026

Young Africans ya Tanzania njia panda kutinga Robo Fainali ya CAF

Matokeo hayo, yanaifanya Young Africans kufikisha alama 5, ikishuka hadi nafasi ya tatu kwenye msimamo wa kundi B kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika.

7b48b1fd0845c52a63791315fd99dc052b8df03f559c3913918385e300984e6d

8 Februari, 2026

Wanousky Montana: Ucheshi kama daraja la mshikamano

Msanii wa vichekesho wa Niger aeleza nafasi ya ucheshi katika jamii.

diger e1770585938433

8 Februari, 2026

Ousmane Majo apaza sauti ya matumaini kwa vijana wa Sahel

Mahojiano ya KayiTV yaangazia ndoto na uthubutu

MAJO

8 Februari, 2026

Abel Zamani: Muziki kama sauti ya vijana wa Niger

Msanii apaza sauti yake kupitia KayiTV nchini Uturuki

Abel

7 Februari, 2026

Wapiganaji wa Sudan RSF wafanya mashambulizi ya droni, kuwaua watu kadhaa ikiwemo watoto

Mashambulizi ya ndege zisizokuwa na rubani yamezidisha hali mbaya kwa watu nchini Sudan, kuwaua ambao walikuwa wameondoka katika makazi yao Kordofan Kaskazini na kuongeza idadi ya waliofariki kwenye vita vinavyoendelea.

63b2f7524e04073b95f94fc295635c3c916681f3f4c21ebbe8a805f7a4f26f36

7 Februari, 2026

Uingereza yaagizwa kuwalipa fidia dola milioni $572 wachimba migodi wa Nigeria waliouawa 1949

Serikali ya kikoloni ya Uingereza ilipatikana na hatia ya kuwaua wachimba migodi wa Mkaa wa Iva Valley jimbo la Enugu wakati wakiandamana kupinga mazingira mabaya ya kazi.

73d793b1abaf4fdf332d151f12aea321c87a4575725678db463d710e7633cfe1

7 Februari, 2026

UNICEF inasema watoto wasiopungua 20 wameuawa mwezi Januari nchini Sudan

Shirika hilo linaonya kuwa mamilioni ya watu wanahitaji msaada huku njaa kali ikienea maeneo mengine yanayokabiliwa na mapigano

6fde6393c348c432cd29c337669be7c7753c648d53778acbb7728a14cd880785

7 Februari, 2026

Watu 13 wauawa katika shambulio lingine la kigaidi kaskazini mwa Nigeria

Walishambulia sehemu moja iliyokuwa na shughuli nyingi sokoni, kusababisha taharuki miongoni mwa wafanyabiashara, wakazi, anasema afisa mmoja

9d7292235817253b9913ce288904340e90d0fcea9e385932577382669748687f

6 Februari, 2026

Maelfu ya Walibya wajitokeza kumzika mtoto wa Gaddafi

Maelfu ya Walibya walijitokeza kwa ajili ya mazishi ya mtoto wa Gaddafi ambaye alipigwa risasi na kuuawa wiki hii.

1770389204068 4tqkr c4c37caa9cbc25b22f50a07b8bff8205256d52d438b913f4b13df0b3b75fb87f

6 Februari, 2026

AU: Shambulizi la M23 kwenye uwanja wa ndege ni ‘tukio la kigaidi’

Tume ya Umoja wa Afrika imeliita shambulio la hivi karibuni katika uwanja mmoja wa ndege nchini DRC , kama “tukio la kigaidi”.

8e44c3a7fc03c8dee90d57121fc389518800f7ae36d6f1a63b98c605b0726d0e
Inapakia...