6 Juni, 2026

Mali yamfunga jela mwanadiplomasia wa Ufaransa kwa madai ya njama ya kuvuruga utulivu

Mfaransa huyo alituhumiwa kufanyia kazi idara ya ujasusi ya Ufaransa ili kuyumbisha nchi.

2026 04 27t165442z 1471508492 rc2dwkaj6vez rtrmadp 3 mali security 1

5 Juni, 2026

Watu wasiopungua 49 wafariki kwa kiu katika jangwa la Sahara baada ya gari kuharibika Niger

Waliofariki, wote ni raia wa Niger, waliokuwa wanarudi nyumbani kutoka katika hafla ya dini nchini Mali wakati gari lao lilipoharibika.

98a9e0a1fda25f2e5c3555e99da63c50d7013af02bc8973b273d42a2ef5262f9

5 Juni, 2026

Nigeria kuwasafirisha raia wake zaidi 1,000 kutoka Afrika Kusini

Muda wa mwisho uliotangazwa na kundi la wazawa wanaopinga uhamiaji haramu wa Juni 30 umezua hofu baada ya maandamano dhidi ya wahamiaji wiki kadhaa zilizopita kusababisha vifo vya watu kadhaa.

5db3932c6088dba5574b47cc01b0a2268e63a0ef0c491bf71f88e115d0bf61ef

5 Juni, 2026

Kiwanda cha mafuta cha Dangote Nigeria chaongeza uwezo, chasafisha mapipa 700,000

Kiwanda cha kusafisha mafuta cha Dangote hivi karibuni kimekuwa msambazaji mkubwa huku kukiwa na tatizo la bidhaa hiyo kutokana na mgogoro Mashariki ya Kati.

81e9e6eee428f00cbbf3f265a78221f7f4b65ece4f56581366be2eefd4e3059a

5 Juni, 2026

Waandamanaji wavamia ofisi ya UN Libya

Shirika la Umoja wa Mataifa nchini Libya (UNSMIL) limesema madai kuhusu mpango wa kuwahamisha au kuwapatia makazi mapya wahamiaji nchini Libya ni ya “uongo kabisa”.

f6b3defd1d314ca742a5f94bc49ac81c1d34339607f89968d68ede933d88e399

5 Juni, 2026

Mkuu wa Umoja wa Mataifa asikitishwa na ripoti za ghasia katika mji mkuu wa Somalia

Guterres atoa wito wa utulivu na kuwataka pande zote kuepuka vitendo vinavyoweza kuchochea vurugu zaidi.

2026 06 02t230949z 755976074 rc2qxkabllad rtrmadp 3 iran crisis lebanon peacekeeping

4 Juni, 2026

Uturuki, Niger watia saini makubaliano ya ushirikiano baada ya mazungumzo ngazi ya urais

Uturuki na Niger wametia saini makubaliano kadhaa ya ushirikiano siku ya Alhamisi mbele ya Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan na Rais wa Niger Abdourahamane Tiani.

2e930dc7bd9ed221facd293d85b4ab183f4381f0a1497d4b154c34ddddba5f3b

4 Juni, 2026

Afrika kuwa na mabilionea 10 tu zaidi katika kipindi cha miaka mitano ijayo

Afrika itakuwa na mabilionea 10 zaidi wa thamani ya dola ya Marekani kufikia 2031, Ripoti ya kukadiria Utajiri ya Shirika la Knight Frank ya 2026 imeonesha.

de7b0681755431a36f614d1b511458e3b19eb4a6b0fa475ab5bbd7ddc9a4de5f

4 Juni, 2026

Rais wa Niger Tchiani aanza ziara ya kikazi nchini Uturuki

Rais wa Niger anaanza ziara ya kikazi kufuatia mwaliko wa Rais mwenzake wa Uturuki.

1a08fa773b391bec31624a1fec2a7914b92001121fd1758ce42a601e1bbdb0f6

4 Juni, 2026

Wabunge watoro Tanzania, wapewa siku nne na Spika kujieleza

Spika Zungu pia amewaonya wabunge ambao wameonesha tabia ya utoro bunge na kuwataka waache mara moja tabia hiyo kabla hawajachukuliwa hatua za kinidhamu.

03d6ef7d69f6138dafc4fb8aaec01b398af8c242c20d8865dbb0a87a67ce4bf8 main
Inapakia...