31 Januari, 2026

Umoja wa Afrika waapa kuunga mkono Niger baada ya shambulio la uwanja wa ndege

“Vitendo hivi vya kikatili ni sehemu ya kampeni ya ugaidi inayofanywa na vikundi vya itikadi kali vinavyolenga raia na miundombinu ya umma kwa makusudi,” anasema mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika.

1769755625744 sy0dx ca5d685bfb19d5c9791f79bb4407fbe090ff78017020590ac69e8bcfaaebb52c

30 Januari, 2026

Israel yamfukuza balozi wa Afrika Kusini Palestina

Inafuatia uamuzi wa Afrika Kusini kumfukuza Balozi mdogo wa Israel, na kuzidisha mvutano wa kidiplomasia unaohusiana na kesi ya mauaji ya halaiki ya Gaza

17563154305f3d254fa8dd2ff3783fc2b1a7e2e27bc7c5dc41c1907b218bf94f

30 Januari, 2026

Serikali za Afrika zinaangazia mifumo ya fedha ya Kiislam baada ya mafanikio ya sukuk nchini Benin

Hatifungani za Sukuk za 2026 kufikia sasa ni zaidi ya dola milioni 580, kiwango kikubwa kikiwa ni cha nchini Benin cha dola milioni 500, kulingana na wataalamu.

096c21f53063102dc3836e6e4f0ddaac0ab4f0b004558d6f7c9d5a2672897006

30 Januari, 2026

Afrika Kusini yamfukuza mjumbe wa Israel kwa kumkashifu Rais Ramaphosa

Afrika Kusini imetangaza kuwa mjumbe wa Israel Ariel Seidman, ni mtu asiyekaribishwa nchini humo, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo siku ya Ijumaa.

d1dc13a1d3a2849b828c558649f3ae9a4764fb42a822333e80959f8ef47b73bc

30 Januari, 2026

Air Tanzania yazindua safari za Ghana

Katika tukio hilo, ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania, ilitua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kotoka jijini Accra, na kukaribishwa na salamu ya maji, maarufu kama ‘Water Salute’.

07156fc89060a0fecf65caa028d83aa306273ef35544869640655559dd1c4e93

30 Januari, 2026

Somalia yazuia ndege ya Israel kupita katika anga yake

Somalia imekataa kuhuisha kibali cha kuruka juu ya anga lake kwa kampuni ya ndege ya Arkia Israeli Airlines, ambayo kwa kawaida hutumia anga la Somalia katika safari zake za moja kwa moja kati ya Tel Aviv na Bangkok.

981062871b4fd97e1b072f9175ce7176ed274e90fe0609435d1db69594b35e67

30 Januari, 2026

Mkuu wa Majeshi wa Uganda aiomba radhi Marekani

Mkuu wa Majeshi nchini Uganda, Muhoozi Kainerugaba aiomba radhi Marekani kufuatia ‘tweets’ zake za awali.

2026 01 26t151928z 1 lynxmpem0p0w1 rtroptp 3 uganda politics succession

30 Januari, 2026

Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa DRC Patrice Emery Lumumba afariki dunia

Kifo chake kinakuja wakati kesi za mauaji ya Patrice Lumumba zikiwa bado zinaendelea nchini Ubelgiji.

bb4f5a1526c4b89dcc1eb526ac31c285d4655e2c0c49623e25c9108168054ec0

30 Januari, 2026

Kiongozi wa Guinea-Bissau N’Tam apandishwa cheo cha juu zaidi cha jeshi

Meja Jenerali N’Tam sasa ana nyota nne badala ya mbili.

c1e5d188656450ee8ebb76d8530f98081afc2d63578fd2a6471dc7928fd8db99

30 Januari, 2026

Burkina Faso yafuta vyama vyote vya kisiasa kwa madai ya Kusababisha ‘mgawanyiko’

Waziri wa Utawala Emile Zerbo alisema upigaji marufuku wa vyama hivyo ni baada ya mamlaka kubaini kuwa vyama vimekiuka miongozo iliyowaanzisha.

00c83474af090eeb0c88be3dc51dedae8abd4c840568cf64b6cf5668796a6695
Inapakia...