12 Mechi, 2026

Idadi ya Vifo vya Mafuriko Kenya Yafikia 50

Serikali ya Kenya imethibitisha kuwa watu 50 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa.

01000000 0aff 0242 4ea7 08dc6b645e87 w650 r1 s

12 Mechi, 2026

Serikali ya DRC Yaahidi Ushirikiano na UN Katika Uchunguzi

DRC imesema itashirikiana na Umoja wa Mataifa na washirika wake kubaini ukweli kuhusu tukio lililotokea.

e0143d50 dd36 11ef ab2b a3972f3ce35a.jpg

12 Mechi, 2026

Tanzania: Zoezi la kuhama eneo la hifadhi ya Ngorongoro halijafanikiwa

Serikali ya nchi hiyo imekuwa ikihamisha jamii kwenda maeneo yaliyotengwa, kama vile Handeni mkoani Tanga, ili kupunguza mgongano kati ya binadamu na wanyamapori na kuimarisha uhifadhi.

cc09ed887f81ce55fff10c2ea783fd81c7d6738ecd9d7797716229e29a74b38a

12 Mechi, 2026

Uganda Yaruhusu Raia wa Mataifa 40 Kuingia Bila Viza

Serikali ya Uganda imetangaza mpango mpya unaoruhusu raia wa mataifa 40 kuingia nchini humo bila viza kwa muda wa miezi mitatu kwa utalii au biashara.

474

12 Mechi, 2026

Mvutano wa Kidiplomasia: Afrika Kusini Yamuita Balozi wa Marekani

Afrika Kusini imemuita balozi mpya wa Marekani kutoa ufafanuzi kuhusu kauli iliyokosolewa kuhusu sera za ubaguzi wa rangi na mahakama.

636737551 1381989267300787 3535548848641947462 n

11 Mechi, 2026

Vikosi vya Somalia Vyatwaa Ngome ya Al Shabab Kusini

Jeshi la Somalia limesema limefanikiwa kutwaa ngome ya kundi la Al Shabab baada ya operesheni ya kijeshi kusini mwa nchi.

aca801699c840b2a7b5ef83423b54dab48500a97cf058187457497bc6a08c9fa

11 Mechi, 2026

Jeshi laingia mitaani Johannesburg kukabiliana na magenge ya uhalifu

Hii ni mara ya kwanza kwa idadi kubwa ya wanajeshi kutumwa tangu Rais Cyril Ramaphosa aliposema kuwa magenge ya wahalifu ni tishio kubwa kwa demokrasia Afrika Kusini na maendeleo ya kiuchumi.

19e24384583fae5d5edfffea167b3e5e7d712ecf63a9176acae52226116e6178

11 Mechi, 2026

Mvua Kubwa Yasababisha Mafuriko na Vifo Ethiopia

Hali kama hiyo imeshuhudiwa katika mataifa mengine katika ukanda wa Afrika Mashariki katika siku za hivi karibuni.

03f564a56a0bf6d0828df57f8fe4366160787d1b4b7d65f906c47be2dd24e59c

11 Mechi, 2026

Tanzania: Bado kuna akiba ya kutosha ya mafuta

Hali hiyo inatokana na uwepo wa akiba ya kutosha ya mafuta nchini ambayo inaweza kukidhi mahitaji kwa miezi kadhaa ijayo.

3f11691c4d387d79442feb1837e0dbce388e8f421be0b94996204d89a80c3882

11 Mechi, 2026

Congo Yajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu, Sassou Nguesso Awania Tena Urais

Rais wa sasa wa Republic of the Congo, Denis Sassou Nguesso, anawania muhula mwingine katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Machi 15, 2026.

469
Inapakia...