Tahadhari Afrika Kusini: Mamba na Viboko Waonekana Baada ya Mafuriko

Serikali ya Afrika Kusini imeonya wakazi wa mkoa wa Limpopo kuwa waangalifu kufuatia mvua kubwa zilizosababisha mafuriko.
13 Januari, 2026
Sudan Yarejesha Vito 570 Vilivyoporwa na Kufanya Sherehe Maalum

Serikali ya Sudan imefanya sherehe mjini Port Sudan kutangaza kurejeshwa kwa vito vya kale 570 vilivyoibiwa.
13 Januari, 2026
Sudan Yaanza Mpango wa Kufufua Khartoum Baada ya Serikali Kurudi Mjini

Serikali ya Sudan imeanza kupitia upya mikakati ya kujenga upya mji mkuu wa Khartoum na kurejesha huduma muhimu.
13 Januari, 2026
Morocco Yatangaza Mwisho wa Miaka Saba ya Ukame Baada ya Mvua Kubwa

Ukame wa miaka saba nchini Morocco umefikia kikomo baada ya mvua kubwa za msimu wa baridi.
13 Januari, 2026

Somalia yafuta mikataba ya usalama na ulinzi na UAE

AU yatoa tahadhari baada ya Marekani kutangaza mpango wa kujiondoa kutoka kwa mashirika ya UN

IShowSpeed ni nani, nyota wa mtandaoni aliyevuma Kenya?

China yapinga uingiliaji kati wa mataifa ya kigeni nchini Tanzania kutokana na uchaguzi wenye utata

Ethiopia yaanza ujenzi wa ‘uwanja wa ndege mkubwa zaidi barani Afrika’
10 Januari, 2026
Trump aonya mashambulizi zaidi ya anga ya Marekani Nigeria kufuatia mauaji ya Wakristo
Usalama hauchagui dini, magaidi huua wote bila ubaguzi.

9 Januari, 2026
Makundi ya waasi kuteka eneo la Uvira karibu na mpaka wa DRC na Burundi yatia hofu katika kanda
Jumuiya ya kikanda imetoa wito kwa wanachama kuchukua hatua ili kuepusha mapigano kuzidi huku mkutano ukianza kujadili ‘hali mbaya kwa watu na hatari ya usalama kwa mataifa jirani’

9 Januari, 2026
Rais Samia wa Tanzania afanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri ndani ya siku 54
Mabadiliko hayo ambayo yamefanyika ndani ya siku 54 tangu kutangazwa kwa Baraza la Kwanza la Mawaziri wa kipindi cha pili cha serikali ya Awamu ya Sita.

8 Januari, 2026
Somalia yachunguza madai ya kutumika kwa anga yake na kiongozi wa Yemen anayetaka kujitenga
Somalia inaunga mkono wito wa Saudi Arabia wa kutaka majadiliano mjini Riyadh kama ‘mchakato sahihi wa kisiasa’ wa kutatua matatizo nchini Yemen, inasema idara ya Uhamiaji ya Somalia

8 Januari, 2026
Bobi Wine kutathmini mikataba ya mafuta iwapo atachaguliwa kuwa rais Uganda
Mgombea wa urais wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema kuwa iwapo atapata ridhaa wa wananchi ya kuliongoza taifa hilo, basi atapitia upya mikataba ya mafuta ya nchi hiyo.

8 Januari, 2026
Mshambuliaji wa Algeria awaomba radhi mashabiki wa DRC
Mshambuliaji wa Algeria, Mohamed Amoura, ameomba radhi kufuatia ishara tata aliyoifanya wakati wa kusherehekea ushindi wa timu yake dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025.

7 Januari, 2026
Rais Touadera amualika Putin wa Urusi kutembelea Jamhuri ya Afrika ya Kati
Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Faustin-Archange Touadera, amemualika Rais wa Urusi Vladimir Putin kutembelea nchi yake, shirika la habari la serikali la Urusi TASS liliripoti siku ya Jumatano.

7 Januari, 2026
Waziri wa zamani wa sheria Nigeria Malami apewa dhamana katika kesi ya fedha zilizoibwa
Waendesha mashtaka wanasema Abubakar Malami alitakatisha fedha za umma kati ya 2015 na 2023 kupitia washirika wake.

7 Januari, 2026
Trump aongeza Uganda, na mataifa mengine 11 ya Afrika kwenye orodha ya dhamana ya visa ya Marekani
Marekani imeongeza mara tatu idadi ya nchi zinazotakiwa raia wake kulipa dhamana ya hadi $15,000 ili kutuma maombi ya visa.

6 Januari, 2026
Jeshi la Benin lawaua ‘magaidi’ 45 kaskazini mwa nchi
Siku ya Jumanne jeshi la Benin limesema limewaua “magaidi” 45 katika kipindi cha miezi mitatu ya operesheni dhidi ya ugaidi kaskazini mwa Benin.




