Timu ya Sudan inatumai mafanikio katika michuano ya AFCON yanaweza kumaliza vita

Sudan ina matumaini kuwa ushindi dhidi ya Senegal katika Kombe la Mataifa ya Afrika siku ya Jumamosi unaweza kuchochea usitishaji wa mapigano nchini humo, au hata kuleta amani ya muda mrefu, alisema kocha Kwesi Appiah siku ya Ijumaa.
2 Januari, 2026
AFCON 2025: Mchakamchaka wa kutafuta nafasi za robo fainali

Mechi za robo fainali zinatarajiwa kufanyika tarehe 9 na 10 Januari, huku fainali zikifanyika Januari 18,
2 Januari, 2026
Shughuli za kuwaokoa waathirika waliokwama ndani ya jengo refu lililoporomoka Nairobi zaendelea

Jengo la ghorofa nyingi lililokuwa katika hatua ya ujenzi limeporomoka katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, huku idadi ya watu isiyojulikana wakiwa wamekwama chini ya kifusi.
2 Januari, 2026
Mshauri wa kamanda wa RSF na wasaidizi wake ‘wauawa’ katika shambulio la droni Sudan

Kikosi cha RSF kimesema kuwa mshauri mkuu wa usalama wa kiongozi wake ameuawa pamoja na wasaidizi kadhaa katika shambulio la ndegee isiyo na rubani ‘droni’ karibu na mji wa Zalingei.
2 Januari, 2026

Somalia kuongoza Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

Sudan Yaanza Kurejesha Umeme Khartoum Baada ya Uharibifu Mkubwa wa Vita

DRC Yaituhumu Rwanda kwa Mauaji ya Zaidi ya Raia 1,500 Mashariki mwa Nchi

‘Hatutaki Israel ituletee matatizo,’ rais wa Somalia anasema

Kiongozi wa Sudan Burhan aapa ushindi dhidi ya RSF, anasema upatanishi unawezekana
1 Januari, 2026
Bondia Anthony Joshua aruhusiwa kutoka hospitali
Imethibitishwa kwamba, afya ya bingwa wa zamani wa ngumi za uzito wa juu iko imara, kuruhusiwa kutoka hospitali na kufuatilia maendeleo ya afya yake akiwa nyumbani.

1 Januari, 2026
Madagascar Yathibitisha Visa 5 vya Mpox, Hatua za Dharura Zaanzishwa Mahajanga
Serikali ya Madagascar imethibitisha visa vitano vya ugonjwa wa mpox vilivyogunduliwa katika mji wa Mahajanga kaskazini magharibi mwa nchi.

31 Desemba, 2025
Jeshi la Sudan lachukua udhibiti wa miji miwili kutoka RSF Kordofan Kaskazini
Jeshi la Sudan limefanikiwa kurejesha udhibiti wa miji ya Kazgeil na Riyadh katika jimbo la Kordofan Kaskazini baada ya mapigano na wanamgambo wa RSF, vyanzo vya kijeshi vilisema Jumatano.

31 Desemba, 2025
Rais wa Somalia Aishtumu Israel: Kutambua Somaliland ni Mpango wa Kijeshi na Kuwahamisha Wapalestina
“Israel haipo katika eneo la Pembe ya Afrika kwa ajili ya amani, bali kwa maslahi ya kijeshi na mipango ya kuwahamisha Wapalestina,” amesema Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamud.

31 Desemba, 2025
Mahakama ya Marekani Yasitisha Mpango wa Trump wa Kufuta Ulinzi kwa Wahamiaji wa Sudan Kusini
Mahakama ya Marekani imesitisha kwa muda mpango wa Rais Trump wa kuwafukuza wahamiaji wa Sudan Kusini.

31 Desemba, 2025
Burkina Faso na Mali Zajibu Marufuku ya Usafiri ya Marekani kwa Kuweka Vikwazo vya Viza kwa Wamarekani
“Kwa kuzingatia kanuni ya uwiano, Burkina Faso imeamua kutumia masharti sawa ya viza kwa raia wa Marekani kama hatua ya kulinda usawa katika mahusiano ya kimataifa,” ilisema Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo.

31 Desemba, 2025
Marekani Yapitia Upya Uraia wa Baadhi ya Wasomali kwa Tuhuma za Udanganyifu
Serikali ya Marekani inaanza kupitia upya kesi za uraia wa raia wenye asili ya Somalia ili kubaini iwapo kulikuwa na udanganyifu wakati wa kuomba uraia.

31 Desemba, 2025
Umoja wa Afrika Yasifu Uchaguzi wa Utulivu Jamhuri ya Afrika ya Kati
“Uchaguzi nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati umefanyika kwa amani kwa ujumla na ni hatua chanya kuelekea demokrasia,” ujumbe wa waangalizi wa Umoja wa Afrika ulisema.

31 Desemba, 2025
Mwendo wa Kasi na Tairi Kupasuka Vyatajwa Chanzo cha Ajali Mbaya ya Anthony Joshua Nigeria
“Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa gari lilikuwa likiendeshwa kwa kasi kubwa kabla ya tairi ya mbele kupasuka,” alisema msemaji wa Shirika la Udhibiti wa Trafiki la Nigeria.

30 Desemba, 2025
Rais wa Somalia awasili Uturuki kwa mazungumzo na Rais Erdogan
Majadiliano hayo yanatarajiwa kuangazia uhusiano baina ya nchi hizo mbili katika sekta mbalimbali na mivutano ya hivi punde iliyosababishwa na Israel kulitambua kwa upande mmoja eneo lililojitenga la Somalia la Somaliland.




