Marekani yatoa tahadhari kwa raia wake Tanzania

Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania, umetoa tahadhari kwa raia wake walioko nchini Tanzania kuwa makini kufuatia maandamano dhidi ya serikai yaliyopangwa kufanyika tarehe 9 Disemba.
1 Desemba, 2025
Rais Museveni Hathudhurii Mdahalo wa Wagombea Urais Uganda

Rais Museveni, anayeingia madarakani kwa awamu ya 7, hatashiriki mdahalo wa wagombea urais ambapo angekabiliana moja kwa moja na mpinzani wake mkuu, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine.
1 Desemba, 2025
Vita vya Sudan: Wakimbizi wa El-Fasher Wanieleza Ukimbizi wa Kutisha

Mimi niliwaona wakikanyaga watu waliojeruhiwa kwa magari yao,” anasema Abdulqadir Abdullah Ali, aliyeathirika vibaya na uharibifu wa mguu wake kutokana na mgogoro wa Sudan.
1 Desemba, 2025
Ramaphosa apuuzilia mbali tishio la Trump la kuizuia Afrika Kusini kushiriki mkutano wa G20 wa 2026

Ramaphosa alibainisha kuwa licha ya mpasuko wa kidiplomasia, wafanyabiashara wa Marekani na mashirika ya kiraia yalishiriki kikamilifu katika matukio yanayohusiana na G20 mjini Johannesburg mwezi Novemba.
1 Desemba, 2025

Jeshi la Sudan limeteka maeneo kadhaa huko Kordofan Kusini baada ya makabiliano makali na RSF

Misri inatoa mafunzo kwa mamia ya Wapalestina watakaohudumu kama jeshi la polisi la baadaye la Gaza

Serikali ya Sudan inaonyesha utayari wa kufanya kazi na Umoja wa Mataifa ili kuhakikisha amani

Watawala wa kijeshi wa Guinea-Bissau wateua maafisa watano wa jeshi kwa serikali

Marais wa DRC, Rwanda kutia saini mkataba wa amani mjini Washington wiki ijayo
30 Novemba, 2025
KWS imekanusha madai kuwa ujenzi wa hoteli umevuruga uhamaji wa nyumbu katika Maasai Mara
Hoteli hii ndiyo kielelezo cha hivi punde zaidi katika mpasuko mpana zaidi wa sekta ya utalii wa wanyamapori Afrika Mashariki.

30 Novemba, 2025
Takriban watu 20 wanahofiwa kufariki baada ya boti kupinduka kaskazini magharibi mwa DRC
Takriban watu 20 wamefariki na wengine kadhaa hawajulikani waliko baada ya mashua kupinduka kaskazini magharibi mwa Congo, kulingana na wakaazi wa eneo hilo.

30 Novemba, 2025
Watu saba wauawa nchini Kenya, wakiwemo askari polisi wa akiba, katika tukio la wizi wa ng’ombe
Watu saba, wakiwemo askari wa akiba wa Huduma ya Kitaifa ya Polisi, waliuawa siku ya Jumamosi katika mashambulizi yaliyopangwa ya wizi wa mifugo ambayo yalikumba vijiji vingi vya kaskazini Mashariki ya Kenya, mamlaka ilisema.

28 Novemba, 2025
Umoja wa Afrika umesitisha uanachama wa Guinea-Bissau kufuatia mapinduzi ya kijeshi
Jeshi la Guinea-Bissau limemteua Jenerali Horta Inta-A kama Rais wa mpito wa nchi hiyo siku ya Alhamisi.

28 Novemba, 2025
RSF nchini Sudan watuhumiwa kuigeuza hospitali ya Kordofan Magharibi kuwa kambi ya kijeshi
Kundi la Madaktari nchini Sudan limesema kwamba wapiganaji wa RSF wameigeuza Hospitali ya Al-Nuhud kuwa kituo cha kijeshi, hatua iliyowalazimu wahudumu wa afya kukimbia na kuwaacha raia bila huduma muhimu.

28 Novemba, 2025
Binti wa Zuma ajiuzulu ubunge Afrika Kusini
Zuma-Sambudla hajatoa ufafanuzi wowote hadharani kuhusu madai ya kuwarubuni watu kuenda kupigana nje ya nchi.

28 Novemba, 2025
Mwanasiasa Adolf Hitler ashinda kwa mara ya 5 mfululizo Namibia
Mwanasiasa huyo mwenye umri wa miaka 59 anasema yeye ni tofauti kabisa na dikteta huyo wa Ujerumani, na anapenda atambuliwe kwa jina lake la asili

28 Novemba, 2025
Wabunge wa Afrika Mashariki wapongeza ushindi wa Rais Samia
Pongezi hizo zinakuja wiki moja kabla ya wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) hawajakutana jijini Nairobi.

28 Novemba, 2025
Rais wa Guinea-Bissau awasili Senegal baada ya jeshi kufanya mapinduzi
Senegal imethibitisha kuwa Embalo aliwasili mjini Dakar “akiwa salama” baada ya mapinduzi kuzuia kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi nchini Guinea-Bissau.

27 Novemba, 2025
Umoja wa Afrika wataka Rais wa Guinea-Bissau aachiwe mara moja
Umoja wa Afrika umetoa wito wa kuachiliwa “mara moja na bila masharti” kwa Rais wa Guinea-Bissau, Umaro Sissoco Embaló, baada ya jeshi kuchukua mamlaka ya nchi hiyo kwa nguvu.


