25 Novemba, 2025

Wasichana wa shule waliotekwa Nigeria wameachiwa huru

Wasichana 24 waliotekwa katika shule kaskazini-magharibi mwa Nigeria wiki iliyopita wameachiwa huru, msemaji wa gavana wa jimbo la Kebbi alisema siku ya Jumanne.

380f676a0a49d88a00f529d6ef5b11f8385374e872a445160c95761b6bfc3b32 main

25 Novemba, 2025

Watu 10 zaidi watekwa nyara Nigeria

Watekaji nyara wamewateka wanawake na watoto 10 katika tukio jipya la utekaji nyara nchini Nigeria, polisi wamesema siku ya Jumanne.

fe0efa58585fc9ee6826de4662f58d76abebcf0ff972cebeaffd28d1e558dac9

25 Novemba, 2025

Wafuasi 300 wa upinzani wamekamatwa wakati wa kampeni nchini Uganda

Vyombo vya usalama nchini Uganda vimewakamata wafuasi na maafisa zaidi ya 300 kutoka chama cha mgombea wa urais wa upinzani Bobi Wine tangu kampeni za uchaguzi wa Januari kuanza mwezi uliopita, alisema msemaji wa chama hicho Jumanne.

2aca7458998ef2bd59e19f7f2e275cf6b4ffb3b40af20e1bad991c66e972766f main

25 Novemba, 2025

Ndege iliyobeba msaada wa chakula yaanguka Sudan Kusini, watatu wafariki

Ndege iliyokuwa ikisafirisha msaada wa chakula kwa shirika la kimataifa la Samaritan Purse ilianguka katika Jimbo la Unity nchini Sudan Kusini siku ya Jumanne, wafanyakazi wake wote watatu wamefariki, afisa wa shirika hilo amesema.

307c008c3bf4c3cfe9281a150090ce322054616f1bdafa473d4734dfce59b11e main

25 Novemba, 2025

Mwanajeshi wa zamani wa Uingereza anayesakwa nchini Kenya kwa mauaji anyimwa dhamana

Mwili wa Wanjiru ulipatikana kwenye tanki la maji taka katika Hoteli ya Lion’s Court katika mji wa Nanyuki nchini Kenya mnamo Juni 2012. Wanjir alionekana mara ya mwisho akiwa na kundi la wanajeshi wa Uingereza usiku wa Machi 31 na Aprili 1, 2012.

60522c5bf3a6e891a05c627809e8bbc6b4b6657cdb1505700773f93518353e48

25 Novemba, 2025

Marekani yaondoa ushuru wa 15% kwa kakao ya Ghana, mauzo ya nje

Ghana imepata uthibitisho rasmi kutoka Marekani kwamba Washington imeondoa kikamilifu ushuru wa asilimia 15 uliowekwa kwa mauzo ya nje ya kakao na mazao mengine katika taifa hilo la Afrika Magharibi.

2025 10 14t045126z 1912746654 rc2dbhaal9wm rtrmadp 3 china ghana main

25 Novemba, 2025

Volcano ya Ethiopia yalipuka baada ya utulivu wa miaka 12,000

Volcano katika eneo la kaskazini mashariki mwa Ethiopia ililipuka kwa mara ya kwanza katika takriban miaka 12,000, na kurusha moshi mwingi hadi kilomita 14 angani.

ethiopia volcano 51523 main

25 Novemba, 2025

Jukumu la Afrika kama ‘mzalishaji wa malighafi litafikia kikomo hivi karibuni,’ mkuu wa AU anasema

Umoja wa Afrika (AU) Jumatatu ulitoa wito wa kuwepo kwa uwakilishi wa kudumu wa Afrika kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa pamoja na uwakilishi sawa katika taasisi za fedha za kimataifa.

635f2a30bef16e2a8064c9232a77803542df7f53af33092592598d7ea1aedecb main

25 Novemba, 2025

RSF ya Sudan yatangaza kwa upande mmoja kusitisha mapigano kwa muda wa miezi mitatu

Mkuu wa Kikosi cha Haraka cha Sudan (RSF), Mohamed Dagalo, alisema Jumatatu kwamba wanamgambo wake wataingia mara moja katika mapatano ya kusitisha vita kwa miezi mitatu ili kuruhusu misaada ya kibinadamu.

21dbc9df4102fd95e13c5bd798e0a04c9f83218fa89f18bcbabeb0cd64275fcb main

25 Novemba, 2025

RSF ya Sudan yatangaza usitishaji vita kwa miezi mitatu bila ya makubaliano ya pamoja

Kiongozi wa wapiganji wa RSF alisema Jumatatu jioni kwamba wapiganaji wake watasitisha mapigano kwa kipindi cha miezi mitatu kwa misingi ya kibinadamu.

c37dd512c47db57c48376c8dc319b95aa991d5390e363c4a5e2cd63851f6fdaf
Inapakia...