22 Novemba, 2025

Vita vya Sudan: Zaidi ya watoto 20 wanakufa kwa utapiamlo katika mwezi mmoja

Vifo vya watoto hao katika miji chini ya kizuizi ambacho “huzuia kuingia kwa chakula na dawa na kuweka maisha ya maelfu ya raia hatarini.”

sudan voices of war 36731

22 Novemba, 2025

Mkutano wa viongozi wa G20 unaanza nchini Afrika Kusini

Viongozi wa dunia wakutana kwa siku mbili za mazungumzo katika mkutano wa kwanza wa kilele wa G20 uliofanyika barani Afrika, chini ya mada ya “mshikamano, usawa na uendelevu”.

2025 11 22t090848z 1196325001 rc2k1iadphq1 rtrmadp 3 g20 summit opening

22 Novemba, 2025

Polisi wa Tanzania waonya dhidi ya maandamano yaliyopangwa ya ‘Siku ya Uhuru’

Wanaharakati na upinzani wametoa wito wa kufanyika maandamano ya amani Desemba 9 ili kuendana na siku ya uhuru wa Tanzania.

2025 10 30t175630z 1 lynxmpel9t12i rtroptp 3 tanzania election

22 Novemba, 2025

Guterres anatoa wito kwa G20 kushinikiza kusitishwa mapigano Sudan, kusitisha mtiririko wa silaha

“Tunahitaji amani nchini Sudan,” mkuu wa Umoja wa Mataifa anasema, akitoa wito “kukomeshwa kwa mtiririko wa silaha na wapiganaji nchini Sudan na vyama vya nje.”

850ec0792c601ed9e3fe07abdbfae3107cf96e5a2bff31c44a2e17820b45d76e

21 Novemba, 2025

Afrika Kusini yakataa kumpokeza Balozi baada ya Marekani kuamua kutoshiriki ‘rasmi’ G20

Afrika Kusini ni nchi ya kwanza ya Afrika kuongoza mkutano wa G20, ikiwa ni urais wa kupokezana kila mwaka tangu mwezi Disemba na inatarajiwa kuwapokeza Marekani.

2595c583878fcbd4d6d9ddca12abcc0356d4699737f4b949c421a635a0aae332

20 Novemba, 2025

Kiongozi wa harakati za kujitenga ahukumiwa kifungo maisha kwa mashtaka ya ugaidi nchini Nigeria

Mahakama ya Nigeria Alhamisi imemhukumu Nnamdi Kanu, kiongozi wa harakati za kujitenga za Indigenous People of Biafra (IPOB), yaani Watu wa Asili wa Biafra, kifungo cha maisha jela baada ya kumhukumu kwa mashtaka yote saba yanayohusiana na ugaidi.

07e7d0b6b11cb7cf573ea37ab2a59e3d23de500e42694724c9762a71c64a8dd0

20 Novemba, 2025

Kamanda wa jeshi la Sudan atoa wito wa kuhamasisha umma dhidi ya RSF

Kamanda mwandamizi wa jeshi la Sudan ametoa wito kwa raia kuitikia ombi la kiongozi wa jeshi Abdel Fattah al-Burhan wa kutaka waungane nchini nzima dhidi ya wapiganaji wa RSF.

6a6206c5dc916516e5aefc3e15115e19663fc680b19349c2970902c7c435ecb1

19 Novemba, 2025

Trump kuanza jitihada za kusitisha vita Sudan

Rais wa Marekani Donald Trump alisema Jumatano kuwa ataanza “kufanyia kazi” vita vya Sudan, baada ya Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, aliyekuwa ziarani Marekani, kumwomba kusaidia kumaliza mgogoro huo.

b610e68ec706cb48305033bba8baa60dbddc5c7b2f817f30c122093e61045460 main

19 Novemba, 2025

Maafisa 2 wa Kenya wamefariki baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa na kundi la al-Shabab

Maafisa wawili wa Kikosi cha Ulinzi wa Mipakani nchini Kenya wamefariki siku ya Jumatano baada ya gari lao kukanyaga bomu lililotegwa ardhini (IED) na wanamgambo wa al-Shabab wanaotoka Somalia, kwa mujibu wa polisi wa Kenya.

84ab8e3a99de7df0646fc86f2dd16b08d2eaed6b823616ba247564eeda3597a6

19 Novemba, 2025

Arsenal kusitisha ushirikiano wake na Visit Rwanda

Baada ya miaka nane ya nembo ya Visit Rwanda kupamba bega la jezi za Arsenal, klabu hiyo ilitangaza kuwa itasitisha mkataba wa udhamini na Visit Rwanda ifikapo mwezi Juni 2026.

f520b4c3953356b07910e8b0e702671410a173625d5cffe8fe2be55c2a17bfca main 1
Inapakia...