17 Novemba, 2025

Rais Samia amteua waziri mpya wa fedha, awaacha mawaziri wa mambo ya nje na madini madarakani

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Jumatatu alimteua balozi wa nchi hiyo nchini China, Khamis Mussa Omar, kuwa waziri wa fedha katika baraza lake jipya la mawaziri kufuatia uchaguzi uliokumbwa na utata mwezi uliopita.

aa49ccd0980be1021d5a23719777da797da86203cadb4936f67f3f5905f4f9b2 main

17 Novemba, 2025

Tovuti za taasisi za serikali ya Kenya zashambuliwa

Mashambulizi hayi yalilenga baadhi ya mashirika ya serikali yanayotoa huduma muhimu.

6697f6d87c35c109124ad7eba814897e5fa0eeac88e9803f4251a3b51d815be3

17 Novemba, 2025

Mgodi waporomoka DRC na kuua watu wasiopungua 32

Daraja lililoporomoka katika mgodi wa cobalt kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kuua wachimba migodi 32, afisa wa serikali ya mkoa alisema Jumapili.

2025 11 13t171214z 1 lynxmpelac0yo rtroptp 3 cobalt congo traceability main

16 Novemba, 2025

Wahamiaji 4 wafariki baada ya boti mbili zilizokuwa zimebeba makumi ya watu kuzama pwani ya Libya

Wahamiaji wanne walifariki baada ya boti mbili zilizokuwa zimebeba karibu watu 100 kupinduka katika pwani ya Al-Khums kaskazini magharibi mwa Libya, Shirika la Hilali Nyekundu la Libya lilisema Jumamosi jioni.

2025 11 16t062839z 1 lynxmpelaf02n rtroptp 3 libya migration main

16 Novemba, 2025

Kikundi cha matabibu kinaripoti visa ya ubakaji wa wasichana wa Al Fasher baada ya RSF kuteka

Mtandao wa Madaktari wa Sudan unasema ubakaji “ni sawa na uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu.”

27a726c13ba48613d292a9c6b582758789b39559657f934641c14aed0c89ad92

16 Novemba, 2025

Mlipuko wa virusi vya Marburg umethibitishwa kusini mwa Ethiopia

Ugonjwa wa virusi uliogunduliwa unaonyesha kufanana na wale waliotambuliwa hapo awali Afrika Mashariki, CDC ya Afrika ilisema.

a0e067efd49308c67fede9a283a061d77dc02b15389b8317f0a5725045d50be7

15 Novemba, 2025

DR Congo, M23 wasaini makubaliano ya amani ‘ya kihistoria’ nchini Qatar

Qatar imeandaa vikao vya moja kwa moja kadhaa kati ya serikali ya DRC na M23.

1763213306800 3zote8 06b84e089fa55f6246cf8272e2daef0c775b52dddc38201a2a0ecabb257dc832

15 Novemba, 2025

Baraza la Maaskofu Tanzania lataka uwajibikaji kwa waliohusika na mauaji ya waandamanaji

Maaskofu wa Tanzania wamelaani mauaji hayo na kuitisha uchunguzi unaoshirikisha wadau wa ndani na wa nje huku wakiiomba serikali iwe tayari kutekeleza ripoti itakayotolewa

728f16311cd2b0b11c7b1d1d0758989324538dbb7e0ca05a54c48cc83510668b

15 Novemba, 2025

Baraza la usalama la UN laongezea mwaka mmoja ujumbe wa amani wa Abyei

Azimio, lililoandikwa na Marekani, lilipata kura 12 huku mataifa mengi wanachama yakiibua wasiwasi kuhusu lugha mpya ya mamlaka ya ujumbe huo

ffda11f4a01e8d67aa8f2b8d72e43b3e88b9787521e568994eeb47e90ef733af

15 Novemba, 2025

Kiongozi wa zamani wa waasi wa DRC anayeshtakiwa Paris kwa uhalifu wa kivita aanza mgomo wa kula

Roger Lumbala, aliyekuwa kiongozi wa waasi ameshtakiwa kwa “njama ya uhalifu kuandaa uhalifu dhidi ya ubinadamu” na “ushirikiano wa uhalifu dhidi ya ubinadamu” wakati wa vita kutoka 1998 hadi 2003.

92fb03967f1a4a5fbb0445fee5c07fe9ded712a6f09397e692e4c097a3f3bdfb
Inapakia...