Rais wa Tanzania atangaza uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji katika uchaguzi

Rais Samia Suluhu Hassan pia ameviagiza vyombo vya usalama kuwa na subira kwa vijana waandamanaji ambao “walifuata tu umati” baada ya mamia kufunguliwa mashtaka ya uhaini.
15 Novemba, 2025
Wakimbizi 57,000 wamewasili kaskazini mwa Sudan baada ya mashambulizi ya RSF huko Darfur, Kordofan

Watu waliokimbia makazi yao walikumbwa na hali ‘mbaya’ wakati wa safari yao kuelekea Jimbo la Kaskazini, anasema kamishna wa misaada ya kibinadamu.
14 Novemba, 2025
Afrika Kusini yaruhusu kuingia kwa wakimbizi zaidi ya 150 kutoka Gaza, Palestina

Ndege hiyo ni ya pili kuwasafirisha Wapalestina wanaokimbia mauaji ya halaiki huko Gaza hadi Afrika Kusini
14 Novemba, 2025
Afrika yakumbwa na mlipuko wa kipindupindu mbaya zaidi katika miaka 25

Kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa Afrika (CDC) kimesema bara hilo linakabiliwa na mlipuko mbaya zaidi wa kipindupindu katika kipindi cha robo karne, hali inayochochewa na mifumo dhaifu ya maji na migogoro.
14 Novemba, 2025

Mataifa ya G7 walaani mashambulizi ya RSF dhidi ya raia Sudan, watoa wito wa kusitishwa mapigano

Wakenya zaidi ya 200 wajiunga na jeshi la Urusi

AU yakanusha tuhuma za Trump kuhusu mauaji ya halaiki Nigeria

Mwigulu Nchemba ateuliwa Waziri Mkuu Tanzania

Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amfuta kazi makamu wake
12 Novemba, 2025
Duma wa Botswana aipa India zawadi ya duma 8
Kulingana na Rais Boko Duma wa Botswana, uamuzi huo unalenga kuhuisha idadi ya wanyamapori hao nchini India.

12 Novemba, 2025
Kesi ya Roger Lumbala wa DRC yaanza kusikilizwa
Serikali ya DRC ilitoa hati yake ya kukamatwa kwake mwaka 2011 baada ya kuhusishwa na kukiunga mkono kikundi cha waasi cha M23, na kulazimika kukimbilia nchini Ufaransa.

12 Novemba, 2025
Kesi za ubakaji, watoto kupotea zaripotiwa Darfur, Sudan – Umoja wa Mataifa
Wanawake wanaokimbia mji wa al-Fashir nchini Sudan wameripoti mauaji, ubakaji wa kimfumo na kupotea kwa watoto wao baada ya mji huo kutekwa na wapiganaji wa RSF, kwa mujibu wa shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya wanawake.

12 Novemba, 2025
Libya yatakiwa kufunga vituo vya kuwazuilia wahamiaji katika mkutano wa Umoja wa Mataifa
Libya imetakiwa na Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne kufunga vituo vya kuwazuiliia wahamiaji ambapo mashirika ya haki za binadamu yanasema wahamiaji na wakimbizi wamekuwa wakiteswa, kunyanyaswa na wakati mwingine kuuawa.

12 Novemba, 2025
Rais Museveni aonya kuzuka kwa vita endapo nchi za Afrika zitashindwa kufikia Bahari ya Hindi
Katika kauli iliyotafsiriwa kama onyo lililolenga nchi jirani, Rais Yoweri Museveni ameonya kuhusu uwezekano wa kutokea kwa vita katika siku zijazo endapo nchi za Afrika ambazo hazina bandari zitaendelea kunyimwa haki ya kufikia Bahari ya Hindi.

12 Novemba, 2025
UN: Milioni 11 wanawake na wasichana wanabeba uzito mkubwa wakati njaa ya Sudan inaendelea kupamba moto
Takriban asilimia 73.7 ya wanawake “hawafikii kiwango cha chini cha utofauti wa lishe, inayoonyesha lishe duni na hatari kubwa ya utapiamlo,” shirika hilo linaripoti.

12 Novemba, 2025
Ethiopia yachagguliwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya hewa, COP32
Ethiopia inatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa kilele wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya hewa wa COP32 mwaka 2027 baada ya Kundi la Wapatanishi wa Afrika kuidhinisha hatua hiyo.

12 Novemba, 2025
Ghana yafichua sababu ya ajali ya helikopta iliyoua watu wanane, wakiwemo mawaziri, mwezi Agosti
Ajali ya helikopta ya kijeshi nchini Ghana iliyowaua watu wanane, wakiwemo mawaziri wa ulinzi na mazingira, ilisababishwa na hali mbaya ya hewa, kulingana na uchunguzi rasmi uliochapishwa Jumanne.

11 Novemba, 2025
Kenya kuanzisha balozi zake mpya Vatican City, Denmark na Vietnam
Kulingana na baraza hilo, uwepo wa ofisi ya ubalozi nchini Vatican, ni wa faida kwa Kenya, kutokana na fursa za maendeleo ya miradi ya kijamii kama vile elimu na dini.

11 Novemba, 2025
Mtoto wa Gaddafi aachiliwa huru baada ya miaka kumi gerezani
Hannibal Gaddafi, kitinda mimba wa aliyekuwa kiongozi wa Libya hayati Muammar Gaddafi, hatimaye ameachiliwa huru na mamlaka za nchini Lebanon.


