Rais wa Misri, afisa mkuu wa usalama wa Urusi kujadili ushirikiano wa kijeshi

Rais wa Misri Abdel Fattah Al Sisi na Katibu wa Baraza la Usalama la Urusi Sergei Shoigu walifanya mazungumzo mjini Cairo ili kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na kiufundi.
11 Novemba, 2025
Maelfu ya wananchi wanashikiliwa katika hali mbaya sana katika Al Fasher, Sudan: madaktari

Maelfu ya raia wa Sudan wanazuiliwa katika “hali mbaya” na Wanajeshi wa Msaada wa Haraka (RSF) huko Al Fasher, mji mkuu wa Darfur Kaskazini, kikundi cha matabibu cha ndani kilisema.
11 Novemba, 2025
Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance aghairi ziara iliyopangwa nchini Kenya

Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance amesitisha ziara yake nchini Kenya iliyopangwa kufanyika baadaye mwezi huu baada ya safari yake aliyotarajia kwenda kwenye mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini kufutwa na Rais Donald Trump.
11 Novemba, 2025
‘Mauaji ya waandamanaji ni chukizo mbele za Mungu’

Askofu Ruwa’ichi ametoa kauli hiyo wakati wa homilia yake ya Novemba 10, 2025 katika Ibada ya Misa ya kuwaombea waliofariki wakati wa vurugu baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, nchini Tanzania.
10 Novemba, 2025

Jeshi la Sudan lazima shambulio la RSF katika mji wa Babnousa huko Kordofan Magharibi

Majeshi ya Somalia yawaua viongozi watatu wakuu wa Al Shabaab

Rwanda, DRC zaanzisha mfumo wa ushirikiano wa kiuchumi huku kukiwa na mazungumzo ya amani

RSF yazika miili katika makaburi ya halaiki, inachoma wengine ili ‘kuficha ushahidi wa mauaji

Wananchi katika Al Fasher, Sudan, wanakabiliwa na ukatili ‘wa kiwango kisichoweza kuaminika’ — UN
9 Novemba, 2025
Chama tawala nchini Djibouti kimemteua Rais Guelleh kwa muhula wa sita
Rais Ismail Omar Guelleh amekuwa madarakani tangu 1999, na hakuna vikwazo vya kisheria vinavyomzuia kugombea tena.

8 Novemba, 2025
Amaan Golugwa akamatwa huku polisi Tanzania ikiwasaka viongozi wa upinzani kufuatia maandamano
Tayari mamia ya wananchi wamefunguliwa mashtaka kwa makosa ya jinai huku viongozi wa upinzani wakiwekwa kwenye orodha mpya ya watakaokamatwa na kushtakiwa

8 Novemba, 2025
Wafanyakazi waokolewa baada ya maharamia kushambulia meli ya mafuta kutoka Somalia
Maharamia hao waliiacha meli ya mfanyabiashara baada ya “kuonyeshwa nguvu”, taarifa ya Jeshi la Wanamaji la Umoja wa Ulaya ilisema.

8 Novemba, 2025
Mwanajeshi wa Uingereza akamatwa kwa mauaji ya mwanamke wa Kenya mwaka 2012
Robert James Purkiss aliyekamatwa huko Tidworth, Wiltshire mnamo 6 Novemba na alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu ya Westminster siku ya Ijumaa na huenda akarejeshwa Kenya kujibu mashtaka

8 Novemba, 2025
Trump aapa hakuna afisa wa Marekani atakayehudhuria Mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini
Trump anasema anatarajia kuandaa Mkutano wa G20 wa 2026 huko Miami.

7 Novemba, 2025
Raia wa Sudan Kusini kurejeshwa nyumbani kutoka US
Awali Sudan Kusini iliorodheshwa miongoni mwa mataifa ambayo yangefaidika kwa muda mnamo Oktoba 13, 2011, kulingana na mapigano nchini humo kati ya serikali ya rais Salva Kiir na makamu wake wa wakati huo Riek Machar.

7 Novemba, 2025
Tanzania yawashtaki watu 98 kwa uhaini
Miongoni walioshikwa ni mfanyabiashara, Jenifer Bilikwiza Jovin almaarufu Niffer amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo Ijumaa.

7 Novemba, 2025
Rais Ruto atoa wito wa kuachiliwa kwa Wakenya wanaoshikiliwa Ukraine
Rais wa Kenya William Ruto atoa wito wa kuachiliwa kwa Wakenya wanaoshikiliwa nchini Ukraine baada ya kufanya maongezi ya simu na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky.

7 Novemba, 2025
Paul Biya, kiongozi mkongwe zaidi duniani, aapishwa kuwa Rais wa Cameroon
Paul Biya, kiongozi mkongwe zaidi duniani, mwenye umri wa miaka 92 ameapishwa kuwa Rais wa Cameroon kwa muhula wa nane.

7 Novemba, 2025
Kenya yathibitisha kuuwawa kwa mwalimu Mkenya Tanzania
John Okoth Ogutu, Mkenya mwenye umri wa miaka 33 aliyeishi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi, amethibitishwa kuuwawa kwa risasi wakati wa machafuko yaliyotokea Dar es Salaam baada ya uchaguzi.


