Paul Biya, kiongozi mkongwe zaidi duniani, aapishwa kuwa Rais wa Cameroon

Paul Biya, kiongozi mkongwe zaidi duniani, mwenye umri wa miaka 92 ameapishwa kuwa Rais wa Cameroon kwa muhula wa nane.
7 Novemba, 2025
Kenya yathibitisha kuuwawa kwa mwalimu Mkenya Tanzania

John Okoth Ogutu, Mkenya mwenye umri wa miaka 33 aliyeishi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi, amethibitishwa kuuwawa kwa risasi wakati wa machafuko yaliyotokea Dar es Salaam baada ya uchaguzi.
7 Novemba, 2025
Hamas warudisha mwili wa Mtanzania Joshua Loitu Mollel

Mwili wa Mollel ulikuwa ni sehemu ya miili mingine 22 iliyorudishwa kutoka kwa makubaliano ya kusitisha vita vya Gaza, yaliyofikiwa Oktoba 10.
6 Novemba, 2025
Malawi yapiga marufuku usafirishaji wa mazao kuimarisha usalama wa chakula

Hatua hiyo inafuatia nchi hiyo kukumbukwa na vimbunga vilivyoathiri uzalishaji wa chakula.
6 Novemba, 2025

Mahakama ya ICC yathibitisha mashitaka dhidi ya Joseph Kony wa Uganda

Kenya: Kampuni ya Safaricom yapata faida zaidi

Benki Kuu ya Sudan yaondoa marufuku ya dhahabu kutouzwa nje ya nchi

Tanzania: Bei ya Petroli yabakia pale pale

‘Karibuni Tanzania, ipo salama’, yasema Wizara ya Utalii
5 Novemba, 2025
Zohran Mamdani mazaliwa Uganda achaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York
Zohran Mamdani,mwenye umri wa miaka 34 na anayejitambulisha kama msoshalisti, amechaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York.

5 Novemba, 2025
Mwalimu Mkenya aripotiwa kuuwawa Tanzania
John Okoth Ogutu, Mkenya mwenye umri wa miaka 33 aliyeishi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi, ameripotiwa kuuawa kwa risasi wakati wa machafuko yaliyotokea Dar es Salaam baada ya uchaguzi.

4 Novemba, 2025
Tanzania: Chama Cha Mapinduzi (CCM) chatangaza nafasi za kuwania Uspika bara na visiwani
Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuapishwa wa Samia Suluhu Hassan kama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufuatia ushindi wake wa kiti hicho katika uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.

4 Novemba, 2025
Hemed Suleiman ‘Morocco’ kutoipeleka Tanzania AFCON Morocco
Nafasi ya kocha huyo kwa sasa inachukuliwa na mzawa Miguel Gamondi, raia wa Argentina ambaye alikuwa akiifundisha Singida Big Stars ya nchini Tanzania.

4 Novemba, 2025
Kiongozi wa kijeshi Guinea atangaza kugombea urais
Kiongozi wa utawala wa kijeshi nchini Guinea amewasilisha rasmi jina lake kugombea urais katika uchaguzi wa Disemba, akibatilisha ahadi yake ya awali kwamba hatagombea baada ya kuongoza mapinduzi miaka minne iliyopita.

4 Novemba, 2025
Huduma za Intaneti zarejea tena nchini Tanzania
Samia Suluhu Hassan alitangazwa mshindi katika uchaguzi wa urais wa Tanzania na kupata muhula mwingine licha ya ghasia zilizoshuhudiwa nchini humu.

2 Novemba, 2025
RSF iliwaua wanawake 300, kubaka 25 katika saa 48 za kwanza Al Fasher: waziri wa Sudan
Wanawake ”wamedhalilishwa kingono, vurugu, na mateso” na RSF, ikiwemo waandishi wa habari wa kike, waziri wa nchi masuala ya jamii amesema.

1 Novemba, 2025
Jeshi la Guinea-Bissau lasema limetibua jaribio la mapinduzi lilohusisha maafisa kadhaa
Maafisa waliokamatwa kwa madai ya kuhusiska na jaribio hilo, wanahojiwa kwa sawa, naibu mkuu wa majeshi amesema

31 Oktoba, 2025
Umoja wa Afrika yamchagua Rais wa Uganda kuwa mpatanishi wa amani Sudan
Vita nchini Sudan vimekuwepo tangu Aprili 2023 na kusababisha maelfu kuhama makazi yao na wengine kukimbilia nchi za nje.

30 Oktoba, 2025
Hussein Mwinyi atangazwa mshindi wa Urais Zanzibar
Mpinzani wake wa chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman ameshika nafasi ya pili.


