5 Novemba, 2025

Zohran Mamdani mazaliwa Uganda achaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York

Zohran Mamdani,mwenye umri wa miaka 34 na anayejitambulisha kama msoshalisti, amechaguliwa kuwa Meya wa mji wa New York.

1762326939778 wmb8v9 2c18532ce48008d676aef43e0df13937166d0c1e057c8538f9cd3b3e747c20fd

5 Novemba, 2025

Mwalimu Mkenya aripotiwa kuuwawa Tanzania

John Okoth Ogutu, Mkenya mwenye umri wa miaka 33 aliyeishi Tanzania kwa zaidi ya miaka kumi, ameripotiwa kuuawa kwa risasi wakati wa machafuko yaliyotokea Dar es Salaam baada ya uchaguzi.

e3b0be332ad039c7d69110a728ee9a0ff2c7e8a9359477b9300da645da0035ad

4 Novemba, 2025

Tanzania: Chama Cha Mapinduzi (CCM) chatangaza nafasi za kuwania Uspika bara na visiwani

Hatua hiyo inakuja siku moja baada ya kuapishwa wa Samia Suluhu Hassan kama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kufuatia ushindi wake wa kiti hicho katika uchaguzi wa Oktoba 29, 2025.

4aab2a3b0db3e2e6ad2c1e6fea59204e5394fd939b70426120ab5505f4522326

4 Novemba, 2025

Hemed Suleiman ‘Morocco’ kutoipeleka Tanzania AFCON Morocco

Nafasi ya kocha huyo kwa sasa inachukuliwa na mzawa Miguel Gamondi, raia wa Argentina ambaye alikuwa akiifundisha Singida Big Stars ya nchini Tanzania.

53951f1fc2f13f4850b23988e67b2534e7ef9be7f3abcc8c22c85afb5c872674

4 Novemba, 2025

Kiongozi wa kijeshi Guinea atangaza kugombea urais

Kiongozi wa utawala wa kijeshi nchini Guinea amewasilisha rasmi jina lake kugombea urais katika uchaguzi wa Disemba, akibatilisha ahadi yake ya awali kwamba hatagombea baada ya kuongoza mapinduzi miaka minne iliyopita.

7bab15cec9ac1b776600564f0af695efe340736a8fcad977d406de315fd2b1db main

4 Novemba, 2025

Huduma za Intaneti zarejea tena nchini Tanzania

Samia Suluhu Hassan alitangazwa mshindi katika uchaguzi wa urais wa Tanzania na kupata muhula mwingine licha ya ghasia zilizoshuhudiwa nchini humu.

14fa50f5584698e49e9e5dc0e919e70e8b0ccd2292566537f840b3809d814359

2 Novemba, 2025

RSF iliwaua wanawake 300, kubaka 25 katika saa 48 za kwanza Al Fasher: waziri wa Sudan

Wanawake ”wamedhalilishwa kingono, vurugu, na mateso” na RSF, ikiwemo waandishi wa habari wa kike, waziri wa nchi masuala ya jamii amesema.

cc236da71a9f054a5e6d305be1c7b5a50cd9a3395fe785f6766fcb2ba1241e59

1 Novemba, 2025

Jeshi la Guinea-Bissau lasema limetibua jaribio la mapinduzi lilohusisha maafisa kadhaa

Maafisa waliokamatwa kwa madai ya kuhusiska na jaribio hilo, wanahojiwa kwa sawa, naibu mkuu wa majeshi amesema

a37692f1fd44bc9e5278787a3747802c592df50d5f63ea0fe8580a9f30a93709

31 Oktoba, 2025

Umoja wa Afrika yamchagua Rais wa Uganda kuwa mpatanishi wa amani Sudan

Vita nchini Sudan vimekuwepo tangu Aprili 2023 na kusababisha maelfu kuhama makazi yao na wengine kukimbilia nchi za nje.

b770194a062ed913056165f86612fdb65bb8e9c6f7122037ce3a8b0cbde105d8

30 Oktoba, 2025

Hussein Mwinyi atangazwa mshindi wa Urais Zanzibar

Mpinzani wake wa chama cha ACT Wazalendo Othman Masoud Othman ameshika nafasi ya pili.

958c731f6ce49b1ab646ef0d6eb1e5150ac144605a4528b3830a17c7a12e8856
Inapakia...