Mchungaji Mackenzie wa Shakahola matatani tena kwa kusababisha vifo vingine 52

Mackenzie alijipatia umaarufu kwa kuwahubiria waumini wake, washinde njaa, na baada ya kufa wakutane na Yesu.
11 Februari, 2026
Shirika la misaada la Uturuki laanzisha mradi wa ufugaji kuku kwa wanawake wa Tanzania

Shirika la TIKA linalenga kuboresha vipato vya wanawake, na kuwajengea uwezo wa kupata vyenye virutubisho vya protini.
11 Februari, 2026
Takriban watu tisa wafariki baada ya kimbunga Gezani kupiga Madagascar

Wakazi wa maeneo hayo ya Toamasina walielezea athari ya kimbunga hicho.
11 Februari, 2026
Wanajeshi wa Marekani kutoa mafunzo ya kupambana na ugaidi kwa vikosi vya Nigeria

Jeshi la Marekani linasema litawapa Nigeria taarifa za kijasusi kwa ajili ya mashambulizi ya angani na kuwasaidia katika ununuzi wa silaha.
11 Februari, 2026

Misri yapitisha mabadiliko ya baraza la mawaziri

Mpango wa Marekani kuvuna madini kutoka DRC wapingwa

Baraza la Mawaziri la Zimbabwe lamuongezea muda wa kukaa madarakani Rais Emmerson Mnangagwa

Mahakama ya ufisadi nchini Zambia yataifisha mali za mtoto wa Edgar Lungu

Somalia yaripoti kumuua mshirika wa kiongozi wa Al Shabab, Ahmed Diriye
10 Februari, 2026
Moto wateketeza kambi ya wakimbizi Sudan Kaskazini mwa Darfur, wawili wafariki dunia
Moto huo ulikumba makazi ya muda huko Tawila huku msongamano wa watu na uhaba wa misaada ukizidisha mzozo wa kibinadamu wa Sudan.

10 Februari, 2026
Umoja wa wanafunzi Afrika Kusini wataka shule zifungwe kufuatia mgomo wa usafiri wa wanafunzi
Mgogoro wa usafiri wa wanafunzi unakuja huku kukiwa na wasiwasi kuhusu usalama.

10 Februari, 2026
Watu watano wafariki katika ajali ya helikopta nchini Libya
Helikopta hiyo ilianguka katika kambi ya al-Sarra baada ya zoezi la uokoaji kutoka Kufra.

9 Februari, 2026
Sudan yarejea tena IGAD baada ya kuwa nje kwa miaka miwili
Uamuzi wa kurejea IGAD, unafuatia kikao cha mwezi Januari kati ya Katibu Mtendaji wa IGAD, Workneh Gebeyehu, na Waziri Mkuu wa Sudan, Kamil Idris.

9 Februari, 2026
21 wauwawa katika shambulio la waasi mashariki mwa DRC
Katika tukio hilo, wanamgambo walishambulia vijiji vitatu vya Boti, Isigo na Mambimbi vilivyo Kaskazini mwa Kivu na kuharibu mali pamoja na kuua watu.

9 Februari, 2026
Sudan yarudi kuwa mwanachama wa IGAD baada ya kujiondoa kwa miaka miwili
Khartoum inasema hatua hiyo inakuja baada ya kupata uhakika ya kutoingiliwa na kuheshimiwa kwa mamlaka yake kutoka kwa Shirika la Maendeleo la Serikali za Nchi (IGAD).

9 Februari, 2026
Zaidi ya wahamiaji 40 wafariki katika ajali ya boti pwani ya Libya
IOM inataka kuongezeka kwa ushirikiano wa kimataifa na hatua za ulinzi thabiti, ikijumuisha upanuzi wa njia salama na za kisheria za uhamiaji, ili kupunguza vifo.

9 Februari, 2026
Ghana yamrudisha Balozi wake kutoka Nigeria kwa tuhuma za udanganyifu katika uchaguzi
Uamuzi huo unatokana na madai ya uingizaji wa wapiga kura wakati wa uchaguzi wa Bunge.

9 Februari, 2026
Somalia na Saudia Arabia zafanya makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi
Makubaliano hayo ni ya kuimarisha ushirikiano wa ulinzi na kijeshi wa pande mbili, imesema Wizara ya Ulinzi ya Somalia

8 Februari, 2026
Tanzania: Dkt. Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumuombea Rais Samia
Kwa namna ya pekee, amewataka viongozi wa dini kumuombea Rais Samia apate wasaidizi waaminifu na wakweli na waendelee kumuomba Mungu afunge mageti ya ikulu dhidi ya ‘watu wabaya’.



