10 Februari, 2026

Moto wateketeza kambi ya wakimbizi Sudan Kaskazini mwa Darfur, wawili wafariki dunia

Moto huo ulikumba makazi ya muda huko Tawila huku msongamano wa watu na uhaba wa misaada ukizidisha mzozo wa kibinadamu wa Sudan.

204b5411a116276dda393db7a640f74173c21e68a47a7342d41009401a73ffca

10 Februari, 2026

Umoja wa wanafunzi Afrika Kusini wataka shule zifungwe kufuatia mgomo wa usafiri wa wanafunzi

Mgogoro wa usafiri wa wanafunzi unakuja huku kukiwa na wasiwasi kuhusu usalama.

27e3ca49fbc6f195f2e2cf835a1a4eb4131603c4a081e3c060858f97ef3abbe5

10 Februari, 2026

Watu watano wafariki katika ajali ya helikopta nchini Libya

Helikopta hiyo ilianguka katika kambi ya al-Sarra baada ya zoezi la uokoaji kutoka Kufra.

b0fad5c8920e53d72dc7c8f1502aa73b7985284142a93327fff8bfcf5afbe135

9 Februari, 2026

Sudan yarejea tena IGAD baada ya kuwa nje kwa miaka miwili

Uamuzi wa kurejea IGAD, unafuatia kikao cha mwezi Januari kati ya Katibu Mtendaji wa IGAD, Workneh Gebeyehu, na Waziri Mkuu wa Sudan, Kamil Idris.

d19b24031a8096ac5d96d4f6d776a4c34f620742823cbafa4b4dd94dfb794a24

9 Februari, 2026

21 wauwawa katika shambulio la waasi mashariki mwa DRC

Katika tukio hilo, wanamgambo walishambulia vijiji vitatu vya Boti, Isigo na Mambimbi vilivyo Kaskazini mwa Kivu na kuharibu mali pamoja na kuua watu.

6fc827c63f5c74482b10cc83af926c2dbbbddf4da777cf0925cda2f117737f4b

9 Februari, 2026

Sudan yarudi kuwa mwanachama wa IGAD baada ya kujiondoa kwa miaka miwili

Khartoum inasema hatua hiyo inakuja baada ya kupata uhakika ya kutoingiliwa na kuheshimiwa kwa mamlaka yake kutoka kwa Shirika la Maendeleo la Serikali za Nchi (IGAD).

473c9629b37524c7a9edfc0ec67159b4ca281ea8ef8130d31b0afd59fb0360fe

9 Februari, 2026

Zaidi ya wahamiaji 40 wafariki katika ajali ya boti pwani ya Libya

IOM inataka kuongezeka kwa ushirikiano wa kimataifa na hatua za ulinzi thabiti, ikijumuisha upanuzi wa njia salama na za kisheria za uhamiaji, ili kupunguza vifo.

d82f046ecd3039ead30377ea01407e031d0ef24da1d01cd596bee3e4a61dcff1

9 Februari, 2026

Ghana yamrudisha Balozi wake kutoka Nigeria kwa tuhuma za udanganyifu katika uchaguzi

Uamuzi huo unatokana na madai ya uingizaji wa wapiga kura wakati wa uchaguzi wa Bunge.

5921d8d40f9c7b66e4d8882b32f3d83c0367c79d9ef40ccba86893cd4853e517

9 Februari, 2026

Somalia na Saudia Arabia zafanya makubaliano ya ushirikiano wa kijeshi

Makubaliano hayo ni ya kuimarisha ushirikiano wa ulinzi na kijeshi wa pande mbili, imesema Wizara ya Ulinzi ya Somalia

856d110d1b9c388ce4e3e78ba238e46887e5b8f264c3327128d6c76c3fc076e7

8 Februari, 2026

Tanzania: Dkt. Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumuombea Rais Samia

Kwa namna ya pekee, amewataka viongozi wa dini kumuombea Rais Samia apate wasaidizi waaminifu na wakweli na waendelee kumuomba Mungu afunge mageti ya ikulu dhidi ya ‘watu wabaya’.

fdeb7f756cabcb3b3d238b780d8d6a479c726447c4575fc6fb027868d8cbcfed
Inapakia...