Hospitali ya mwisho Al Fasher, Darfur yashambuliwa; mamia wahofiwa kufariki – Umoja wa Mataifa

Hospitali ya mwisho inayofanya kazi katika mji wa Al Fasher, Sudan, imeshambuliwa na mamia ya watu wanahofiwa kufariki baada ya wanamgambo kuudhibiti mji huo wiki hii, Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) na afisa wa Sudan wamesema.
30 Oktoba, 2025
Wataalamu waonya kuhusu uwezekano wa vita vya kikabila Sudan

Wapiganaji wa RSF waliwapiga risasi wanaume waliokuwa wakitoroka mji wa al Fasher uliozingirwa kwa muda mrefu baada ya kuuteka, kulingana na mmoja wa walioshuhudia na kufanikiwakutoroka, taarifa iliyothibitishwa na wafanyakazi wa mashirika ya misaada
30 Oktoba, 2025
Misri yatoa wito wa kusitishwa mapigano kwa misingi ya kibinadamu Al Fasher, Sudan

Mwanadiplomasia mkuu wa Misri afanya mazungumzo na mwenzake wa Sudan kujadili hali katika mji wa Al Fasher.
29 Oktoba, 2025
Tanzania yatangaza amri ya kutotoka nje Dar es Salaam kufuatia maandamano ya kupinga uchaguzi

Polisi nchini Tanzania wametangaza amri ya kutotoka nje katika mji wa Dar es Salaam kuanzia saa kumi na mbili jioni.
29 Oktoba, 2025

Raia wa Tanzania wapiga kura katika Uchaguzi Mkuu wa 2025

Wafanyakazi watano wa kujitolea wauawa Sudan wakiwa wanasambaza chakula, kulingana na IFRC

Viongozi wa upinzani Cameroon wapinga matokeo ya uchaguzi

Watalii kutoka Ujerumani na Hungaria wafariki dunia katika ajali ya ndege Kenya

Upigaji kura wa mapema Zanzibar
27 Oktoba, 2025
Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara ashinda uchaguzi
Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara, 83, amechaguliwa tena kwa muhula wa nne katika uchaguzi uliokumbwa na idadi ndogo ya wapiga kura, kwa mujibu wa matokeo ya awali.

27 Oktoba, 2025
RSF yashutumiwa kwa kutekeleza mauaji ya kikabila huku mashambulizi mapya yakiripotiwa Darfur, Sudan
Kundi la Madaktari la Sudan pia limeishutumu wapiganajai wa RSF kwa kuwaua raia kutokana na asili zao za kikabila na kupora vituo vya afya katika mji wa El-Fasher.

27 Oktoba, 2025
Paul Biya wa Cameroon, 92, achaguliwa tena, matokeo rasmi yaonesha
Rais mwenye umri mkubwa zaidi duniani Paul Biya ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa Oktoba 12, ikiwa ni muhula wake wa nane ambao huenda akawepo madarakani hadi karibu miaka 100.

27 Oktoba, 2025
Kampeni za Uchaguzi Mkuu Tanzania kukamilika
Pazia la kampeni hatimae linafungwa nchini Tanzania, hii ikiashiria miezi miwili ya heka heka za wanasiasa kutoka vyama mbalimbali kuomba ridhaa ya wananchi Ili kupewa nafasi za uongozi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

27 Oktoba, 2025
Djibouti yaondoa ukomo wa umri kwa wagombea urais
Hii inafungua mlango kwa Ismail Omar Guelleh kuwania muhula wa sita licha ya kuwa sasa hivi ana umri wa miaka 77.

26 Oktoba, 2025
Kenya yakamata meli na raia wa Iran wanaoshukiwa kusafirisha dawa za kulevya
Raia sita wa Iran wamekamatwa kwenye pwani ya Kenya mjini Mombasa wakiwa na dawa za kulevya zenye thamani ya dola milioni 63

26 Oktoba, 2025
Rais wa Malawi atangaza hali ya dharura kwa ukosefu wa chakula
Takriban watu milioni 4 wako katika hatari ya kukumbwa na uhaba mkubwa wa chakula mwaka huu na mapema mwaka ujao.

25 Oktoba, 2025
Oauttara wa Côte d’Ivoire awania muhula wa nne
Kuna wapiga kura zaidi ya milioni nane waliosajiliwa na wagombea uraisa watano.

24 Oktoba, 2025
Watoto watatu hufa kila siku El-Fasher nchini Sudan kutokana na utapiamlo: Ripoti
“Kwa zaidi ya mwezi mmoja, hali ya kibinadamu mjini El-Fasher imezidi kuwa mbaya sana,” Kundi la Madaktari la Sudan limesema katika taarifa.

24 Oktoba, 2025
Rais Tinubu awabadilisha viongozi wakuu wa jeshi la Nigeria
Mabadiliko hayo ni ya “kuimarisha usalama wa taifa”, kulingana na msemaji wa Rais, na pia yanakuja siku chache baada ya kitengo cha ulinzo nchini humo kukana madai ya njama ya mapinduzi.


