Kiongozi wa Upinzani Uganda Alaani Mashambulizi ya Maafisa wa Usalama

Bobi Wine adai kupigwa pamoja na wafuasi wake wakati wa kampeni, huku Umoja wa Mataifa ukionya kuhusu ukandamizaji unaoongezeka.
8 Desemba, 2025
Congo Yaituhumu Rwanda na M23 kwa Mashambulizi ya Mizinga, Kigali Yakanusha

DRC yasema mabomu yalirushwa kutoka Rwanda wakati makubaliano ya amani yakisainiwa Washington; Rwanda yaita madai hayo “kijinga.”
8 Desemba, 2025
Nigeria Yahakikisha Kuachiliwa kwa Watoto 100 Waliotekwa katika Shule ya Kanisa

Waathirika wa utekaji wa Papiri, jimbo la Niger, wanatarajiwa kukabidhiwa kwa serikali ya jimbo baada ya wiki za sintofahamu.
8 Desemba, 2025
Benin Yawakamata Watu 14 Kufuatia Jaribio la Mapinduzi Lililoshindikana

Wanajeshi watuhumiwa kutangaza kumuondoa Rais Talon madarakani kabla ya serikali kudhibiti hali; AU na ECOWAS zatoa lawama.
8 Desemba, 2025

Mkuu wa AU Awaonya Wanajeshi wa Benin Waliojaribu Mapinduzi: “Rudini Kambini Mara Moja”

Serikali ya Benin Yasema Jaribio la Mapinduzi Limezimwa

AU yalaani shambulizi la droni Sudan lililoua zaidi ya watu 100

ECOWAS yalaani jaribio la mapinduzi Benin, yaahidi msaada kamili kwa Rais Talon

Ikulu ya Benin yasema Rais Talon yuko salama licha ya wanajeshi kutangaza ‘mapinduzi’ na kudhibiti televisheni ya taifa
7 Desemba, 2025
Wanajeshi watangaza kumng’oa Rais Talon, serikali ya Benin yasema hali iko chini ya udhibiti
Kundi dogo la wanajeshi lachukua televisheni ya taifa na kutangaza mapinduzi, huku ikulu ikisisitiza kuwa Talon yuko salama na jeshi kuu linarejesha amri.

6 Desemba, 2025
Serikali ya Tanzania yashangazwa na taarifa ya nchi za kigeni juu ya matukio ya Oktoba 29
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema kuwa serikali imepokea kwa mshangao malalamiko ya kimataifa juu ya matukio ya Oktoba 29 licha ya mazungumzo ya wazi nao

6 Desemba, 2025
Mapigano yachacha Congo saa chache baada ya hafla ya kusaini makubaliano ya amani ya Trump
Kundi la waasi la AFC/M23 linaloungwa mkono na Rwanda, ambalo liliteka miji miwili mikubwa mashariki mwa Congo mwaka huu na halifungwi na makubaliano ya Washington, limesema vikosi vinavyoitii serikali vinaendesha mashambulizi mengi.

6 Desemba, 2025
Watoto 43 kati ya 79 waliouawa katika shambulio la droni ya RSF huko Kordofan Kusini
Mamlaka zinasema kuwa makombora yalipiga shule ya chekechea, hospitali na maeneo ya makazi yenye watu wengi huko Kalogi huku Umoja wa Mataifa ukionya kuhusu kuzorota kwa usalama kote Kordofan.

5 Desemba, 2025
Wasomali wakamatwa Minneapolis katika msako wa wahamiaji
Operesheni ya serikali kuu yafanyika baada ya matamshi makali ya Trump; viongozi wa jiji walaani.

5 Desemba, 2025
Makubaliano ya Rwanda na DRC yafungua nafasi ya Marekani kuchimba madini
Mnamo Machi 2025, Rais wa DRC Felix Tshisekedi alipendekeza kwa Marekani kuwezesha upatikanaji wa madini ya kimkakati ili kubadilishana na makubaliano rasmi ya usalama.

5 Desemba, 2025
Baadhi ya nchi za Magharibi zataka Tanzania ikabidhi maiti za waliouawa baada ya uchaguzi
Serikali ya Tanzania imetakiwa kukabidhi miili ya waliouawa baada ya uchaguzi mkuu kwa ndugu zao, pamoja na kuwaachia wafungwa wote wa kisiasa.

5 Desemba, 2025
Trump ameipongeza Congo na Rwanda kwa kusaini mkataba wa amani unaosimamiwa na Marekani
Rais Donald Trump aliwapongeza viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Rwanda kwa ujasiri wao walipotia saini makubaliano siku ya Alhamisi yenye lengo la kumaliza mzozo wa mashariki mwa Congo na kutoa fursa ya uchimbaji madini kwa Marekani.

4 Desemba, 2025
Marais Paul Kagame, Felix Tshisekedi watia saini mkataba wa kumaliza machafuko mashariki mwa DRC
Utiaji saini wa mkataba huo wa amani unakuja miezi mitano, baada ya mawaziri wa mambo ya nje wa Rwanda na DRC kukutana na Rais Trump, na kuonesha nia yao ya kumaliza mapigano.

4 Desemba, 2025
Marekani ‘kupitia upya’ uhusiano wake na Tanzania
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inasema kuwa haiwezi kudharua matukio yenye kuhatarisha usalama wa raia wa Marekani waliopo nchini Tanzania




