7 Desemba, 2025

Wanajeshi watangaza kumng’oa Rais Talon, serikali ya Benin yasema hali iko chini ya udhibiti

Kundi dogo la wanajeshi lachukua televisheni ya taifa na kutangaza mapinduzi, huku ikulu ikisisitiza kuwa Talon yuko salama na jeshi kuu linarejesha amri.

453373049624d10c9fd9ed9e3a413623ebd409311bed10839534f36c79152fd8

6 Desemba, 2025

Serikali ya Tanzania yashangazwa na taarifa ya nchi za kigeni juu ya matukio ya Oktoba 29

Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema kuwa serikali imepokea kwa mshangao malalamiko ya kimataifa juu ya matukio ya Oktoba 29 licha ya mazungumzo ya wazi nao

f5eb1a15ade96cf6ab12db300e0cb98eee55270b61eae14011d62b32f3a7f9a7

6 Desemba, 2025

Mapigano yachacha Congo saa chache baada ya hafla ya kusaini makubaliano ya amani ya Trump

Kundi la waasi la AFC/M23 linaloungwa mkono na Rwanda, ambalo liliteka miji miwili mikubwa mashariki mwa Congo mwaka huu na halifungwi na makubaliano ya Washington, limesema vikosi vinavyoitii serikali vinaendesha mashambulizi mengi.

73e25bfb14467b5309048e6116cec394dd7f0b9f2c416703bc4ba622fc0c5571

6 Desemba, 2025

Watoto 43 kati ya 79 waliouawa katika shambulio la droni ya RSF huko Kordofan Kusini

Mamlaka zinasema kuwa makombora yalipiga shule ya chekechea, hospitali na maeneo ya makazi yenye watu wengi huko Kalogi huku Umoja wa Mataifa ukionya kuhusu kuzorota kwa usalama kote Kordofan.

5468ca7e0328eb5cac0f9a4438ee80882148b04b17ec52c9421c726dd8e79064

5 Desemba, 2025

Wasomali wakamatwa Minneapolis katika msako wa wahamiaji

Operesheni ya serikali kuu yafanyika baada ya matamshi makali ya Trump; viongozi wa jiji walaani.

84

5 Desemba, 2025

Makubaliano ya Rwanda na DRC yafungua nafasi ya Marekani kuchimba madini

Mnamo Machi 2025, Rais wa DRC Felix Tshisekedi alipendekeza kwa Marekani kuwezesha upatikanaji wa madini ya kimkakati ili kubadilishana na makubaliano rasmi ya usalama.

328c22c252c96315e515a0c915ea3e3a5ae93e4cb911e9ba9068e5bd8ac757d3

5 Desemba, 2025

Baadhi ya nchi za Magharibi zataka Tanzania ikabidhi maiti za waliouawa baada ya uchaguzi

Serikali ya Tanzania imetakiwa kukabidhi miili ya waliouawa baada ya uchaguzi mkuu kwa ndugu zao, pamoja na kuwaachia wafungwa wote wa kisiasa.

28c5d30ee192f83d52ceed945eae3c264a32686b9adb9ee1fc619374685a1799 main

5 Desemba, 2025

Trump ameipongeza Congo na Rwanda kwa kusaini mkataba wa amani unaosimamiwa na Marekani

Rais Donald Trump aliwapongeza viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Rwanda kwa ujasiri wao walipotia saini makubaliano siku ya Alhamisi yenye lengo la kumaliza mzozo wa mashariki mwa Congo na kutoa fursa ya uchimbaji madini kwa Marekani.

f4b451c8d615a7e39dc60b22ffa8ed6b45c53d6d435be8d534a9aa0da4895c6c main

4 Desemba, 2025

Marais Paul Kagame, Felix Tshisekedi watia saini mkataba wa kumaliza machafuko mashariki mwa DRC

Utiaji saini wa mkataba huo wa amani unakuja miezi mitano, baada ya mawaziri wa mambo ya nje wa Rwanda na DRC kukutana na Rais Trump, na kuonesha nia yao ya kumaliza mapigano.

1ebbce92c481c96126a6e57386e912ca3c5dbecfb36dd4c501d6ecc59e4b6b13

4 Desemba, 2025

Marekani ‘kupitia upya’ uhusiano wake na Tanzania

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inasema kuwa haiwezi kudharua matukio yenye kuhatarisha usalama wa raia wa Marekani waliopo nchini Tanzania

7cfe6aeb1dcea444bfa166cc521fdb24f37ad899c616f68a4159dce306807282
Inapakia...