Wanousky Montana: Ucheshi kama daraja la mshikamano

Msanii wa vichekesho wa Niger aeleza nafasi ya ucheshi katika jamii.
8 Februari, 2026
Ousmane Majo apaza sauti ya matumaini kwa vijana wa Sahel

Mahojiano ya KayiTV yaangazia ndoto na uthubutu
8 Februari, 2026
Abel Zamani: Muziki kama sauti ya vijana wa Niger

Msanii apaza sauti yake kupitia KayiTV nchini Uturuki
8 Februari, 2026
Wapiganaji wa Sudan RSF wafanya mashambulizi ya droni, kuwaua watu kadhaa ikiwemo watoto

Mashambulizi ya ndege zisizokuwa na rubani yamezidisha hali mbaya kwa watu nchini Sudan, kuwaua ambao walikuwa wameondoka katika makazi yao Kordofan Kaskazini na kuongeza idadi ya waliofariki kwenye vita vinavyoendelea.
7 Februari, 2026

Uingereza yaagizwa kuwalipa fidia dola milioni $572 wachimba migodi wa Nigeria waliouawa 1949

UNICEF inasema watoto wasiopungua 20 wameuawa mwezi Januari nchini Sudan

Watu 13 wauawa katika shambulio lingine la kigaidi kaskazini mwa Nigeria

Maelfu ya Walibya wajitokeza kumzika mtoto wa Gaddafi

AU: Shambulizi la M23 kwenye uwanja wa ndege ni ‘tukio la kigaidi’
6 Februari, 2026
Somalia yaidhinisha makubaliano ya baharini na Uturuki
Makubaliano haya ya baharini yanafungua ukurasa mpya wa ushirikiano kati ya Somalia na Uturuki, yakilenga kuimarisha bandari na biashara salama.

6 Februari, 2026
Kagame: Mgogoro na DRC si kwa ajili ya madini
Rwanda imekanusha tuhuma za Umoja wa Mataifa kwamba inaunga mkono kundi la M23.

5 Februari, 2026
Uturuki yalaani shambulio la kigaidi Nigeria
Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imetuma salamu za rambirambi kwa familia za waathirika na watu wa Nigeria.

5 Februari, 2026
Denis Sassou Nguesso atangaza kuwania tena urais Congo-Brazzaville
Marekebisho ya katiba ya mwaka 2015 yaliondoa kikomo cha umri wa wagombea urais na kuanzisha mfumo wa mihula mitatu ya miaka mitano.

5 Februari, 2026
Makamu wa Rais Nchimbi atoa wito wa mshikamano katika maadhimisho ya CCM
Maadhimisho ya miaka 49 ya CCM yamefanyika Februari 5, 2026 katika Wilaya ya Chemba, Dodoma.

5 Februari, 2026
Maseneta wa Marekani waonya kuhusu hali ya kibinadamu mashariki mwa DRC
Maseneta wa Marekani wameonesha wasiwasi kuhusu sehemu za mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuendelea kukaliwa na kundi la waasi wa M23.

4 Februari, 2026
Wake wa Marais wa Uturuki na Misri wakutana Cairo, wakisisitiza mshikamano wa kijamii
Wake hao wa marais walitembelea piramidi za Giza, ikiwa ni pamoja na Piramidi Kuu ya Khufu, mojawapo ya Maajabu Saba ya Dunia ya Kale.

4 Februari, 2026
Uturuki na Misri zakamilisha Jukwaa la Biashara jijini Cairo, zikilenga kuongeza ushirikiano wa kiuchumi
Rais Erdogan alisisitiza kuwa “lengo letu ni kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kufikia kiwango cha biashara cha dola bilioni 15 ifikapo 2028.”

4 Februari, 2026
ACT-Wazalendo yalaani hatua ya ZEC kuteketeza nyaraka za uchaguzi
ACT-Wazalendo: kuteketeza nyaraka ni uhujumu wa ushahidi.

4 Februari, 2026
Morocco kukata rufaa dhidi ya adhabu ya CAF, Senegal yakubali faini
CAF: imetoa faini na adhabu kwa wachezaji na makocha wa pande zote.



