6 Februari, 2026

Somalia yaidhinisha makubaliano ya baharini na Uturuki

Makubaliano haya ya baharini yanafungua ukurasa mpya wa ushirikiano kati ya Somalia na Uturuki, yakilenga kuimarisha bandari na biashara salama.

406

6 Februari, 2026

Kagame: Mgogoro na DRC si kwa ajili ya madini

Rwanda imekanusha tuhuma za Umoja wa Mataifa kwamba inaunga mkono kundi la M23.

405

5 Februari, 2026

Uturuki yalaani shambulio la kigaidi Nigeria

Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imetuma salamu za rambirambi kwa familia za waathirika na watu wa Nigeria.

404

5 Februari, 2026

Denis Sassou Nguesso atangaza kuwania tena urais Congo-Brazzaville

Marekebisho ya katiba ya mwaka 2015 yaliondoa kikomo cha umri wa wagombea urais na kuanzisha mfumo wa mihula mitatu ya miaka mitano.

403 1

5 Februari, 2026

Makamu wa Rais Nchimbi atoa wito wa mshikamano katika maadhimisho ya CCM

Maadhimisho ya miaka 49 ya CCM yamefanyika Februari 5, 2026 katika Wilaya ya Chemba, Dodoma.

402

5 Februari, 2026

Maseneta wa Marekani waonya kuhusu hali ya kibinadamu mashariki mwa DRC

Maseneta wa Marekani wameonesha wasiwasi kuhusu sehemu za mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuendelea kukaliwa na kundi la waasi wa M23.

401

4 Februari, 2026

Wake wa Marais wa Uturuki na Misri wakutana Cairo, wakisisitiza mshikamano wa kijamii

Wake hao wa marais walitembelea piramidi za Giza, ikiwa ni pamoja na Piramidi Kuu ya Khufu, mojawapo ya Maajabu Saba ya Dunia ya Kale.

400

4 Februari, 2026

Uturuki na Misri zakamilisha Jukwaa la Biashara jijini Cairo, zikilenga kuongeza ushirikiano wa kiuchumi

Rais Erdogan alisisitiza kuwa “lengo letu ni kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kufikia kiwango cha biashara cha dola bilioni 15 ifikapo 2028.”

399

4 Februari, 2026

ACT-Wazalendo yalaani hatua ya ZEC kuteketeza nyaraka za uchaguzi

ACT-Wazalendo: kuteketeza nyaraka ni uhujumu wa ushahidi.

843828d751573d7c87f04e720428967b5c439b013198903bb76cf41e31a2dfc7

4 Februari, 2026

Morocco kukata rufaa dhidi ya adhabu ya CAF, Senegal yakubali faini

CAF: imetoa faini na adhabu kwa wachezaji na makocha wa pande zote.

396
Inapakia...