Waasi wa M23 nchini DRC wakanusha kuiba dhahabu

Kampuni inayofanya kazi katika jimbo la Kivu Kusini, ambayo sehemu kubwa iko chini ya udhibiti wa M23, ilisema wiki hii kwamba M23 “imesafirisha dhahabu kwa njia ya siri.”
24 Oktoba, 2025
Jeshi la Nigeria lawaua zaidi ya wanamgambo 50 wa Boko Haram

Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limewaua wanamgambo zaidi ya 50 wa kundi la Boko Haram baada ya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani kutekelezwa na kundi hilo dhidi ya kambi za kijeshi katika kaskazini-mashariki mwa nchi hiyo.
23 Oktoba, 2025
Mkenya aliyeshinda mbio za Marathon apigwa marufuku kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu

Sampuli yake ya mkojo iliyochukuliwa mwezi Machi ilionyesha kiwango cha dawa hiyo kilichozidi kiwango kinachoruhusiwa mara 190.
23 Oktoba, 2025
Djibouti yajipanga kwa mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi wa urais 2026

Marekebisho yanayopendekezwa ya katiba bado hayajawekwa wazi kwa umma, lakini muda wa kutangazwa mabadiliko umeibua uvumi kuhusu athari zake katika uchaguzi wa urais wa mwaka 2026.
23 Oktoba, 2025

Mgombea wa upinzani Cameroon Tchiroma atoa wito wa maandamano kabla ya matokeo

Kiongozi wa Mali awafuta kazi makamanda waandamizi huku kukiwa na matatizo ya usalama

Jeshi la Uganda lakana kuwateka raia wawili wa Kenya

Uwanja wa ndege wa Khartoum, Sudan, wapokea ndege ya kwanza ya baada ya zaidi ya miaka miwili

Mashambulizi ya droni katika mji mkuu wa Sudan yachelewesha kufunguliwa upya kwa uwanja wa ndege
22 Oktoba, 2025
Kenya yaanza mitihani ya kitaifa ya sekondari
Watahiniwa 996,078 wamesajiliwa kufanya mitihani ya KCSE katika zaidi ya vituo 10,000 kote nchini.

22 Oktoba, 2025
Misri inahimiza hatua za haraka za Umoja wa Mataifa kuidhinisha ujumbe wa kulinda amani wa Gaza
Maoni ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Badr Abdelatty yanakuja huku kukiwa na hofu kubwa kwamba Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu anaweza kusitisha mpango huo na kuanzisha tena vita vya Gaza.

21 Oktoba, 2025
Watu zaidi ya milioni moja warejea katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum
Watu zaidi ya milioni moja wamerejea katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum, katika kipindi cha miezi 10 iliyopita licha ya hali ya ukosefu wa usalama, shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limesema siku ya Jumanne.

21 Oktoba, 2025
Ajali ya treni mashariki mwa Ethiopia yaua watu 14, wengine 29 wajeruhiwa
Watu wasiopungua 14 wamefariki dunia na wengine 29 kujeruhiwa baada ya treni ya abiria kupata ajali mashariki mwa Ethiopia, kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa Jumanne na vyombo vya habari vya serikali.

21 Oktoba, 2025
Uchaguzi mkuu wa Uganda kufanyika Januari 15
Tume ya Uchaguzi ya Uganda imetangaza rasmi kuwa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo utafanyika tarehe 15 Januari. Katika uchaguzi huo, Rais Yoweri Museveni, mwenye umri wa zaidi ya miaka 80, atawania muhula wa saba madarakani.

21 Oktoba, 2025
RSF yashambulia Uwanja wa ndege wa Khartoum wakati kukifanyika maandalizi ya ufunguzi
Shambulizi hilo linakuja siku moja kabla ya kufunguliwa tena kwa uwanja huo wa Sudan kwa ajili ya safari za ndege za nyumbani baada ya kufungwa kwa zaidi ya miaka miwili.

21 Oktoba, 2025
Mashirika ya ndege ya Qatar na Kenya kushirikiana
Qatar Airways na Kenya Airways wametia saini makubaliano yatakayowezesha abiria kusafiri katika maeneo mbalimbali duniani.

21 Oktoba, 2025
Raia katika eneo la al-Fashir nchini Sudan wajificha mashambulio ya ndege zisizo na rubani
Jeshi limekuwa likipata nguvu mahali pengine nchini Sudan, lakini Darfur ni ngome ya RSF ambapo inalenga kuweka serikali sambamba, ambayo inaweza kuimarisha mgawanyiko wa kijiografia wa nchi.

21 Oktoba, 2025
Chama cha DA cha Afrika Kusini kinapendekeza mswada wa kufuta sheria zinazozingatia rangi
Chama cha Democratic Alliance, chama cha pili kwa ukubwa katika serikali ya mseto ya Afrika Kusini, kinataka kuweka sheria za kikabila zinazolenga kukuza ajira za watu Weusi katika uchumi ambao bado unatawaliwa na watu weupe.

20 Oktoba, 2025
Rais wa mpito wa Madagascar amemteua waziri mkuu mpya kufuatia mapinduzi ya kijeshi
Uteuzi huo unakuja baada ya siku kadhaa za maandamano ambayo yalimlazimu Rais aliyeondolewa madarakani Andry Rajoelina kutoroka nchi, huku jeshi likichukua mamlaka.


