17 Oktoba, 2025

Kiongozi wa kijeshi Madagascar kuapishwa huku akiahidi mazungumzo na AU

“Uamuzi huo ulitarajiwa. (Lakini) kuanzia sasa, kutakuwa na majadiliano. Tutaona jinsi mambo yataendelea,” Koloneli Michael Randrianirina anasema.

3b6ba5d556bdd950b7bb134c2ccfaff6947abcba9a1758ac66e77442ecd9e8df

16 Oktoba, 2025

Watu wanne wafariki dunia kufuatia majaribio ya vikosi vya usalama kuwatawanya waombolezaji wa Raila

Watu wanne wamefariki dunia jijini Nairobi, Kenya, siku ya Alhamisi baada ya vikosi vya usalama kufyatua risasi na kurusha mabomu ya gesi kuwatawanya maelfu ya watu waliokusanyika kwenye uwanja wa Kasarani kuuaga mwili wa Raila Odinga.

61c1c06b499bf0f2e53779e1674cc268b0bf62e1ab9ee11eedb1d85cb7a173e7

16 Oktoba, 2025

Cyril Ramaphosa amsimamisha kazi Mkuu wa Idara ya Usalama ya Afrika Kusini

Kusimamishwa kwa Fazel kunakuja katikati ya sakata la tuhuma mbalimbali zinazolikabili jeshi la polisi la nchi hiyo pamoja na idara ya usalama hususani zile zinazomkabili kamishna wa Polisi wa eneo la KwaZulu-Natal, Nhlanhla Mkhwanazi mwezi Julai.

cb2d70b11cb16437bda72b9f9448c6362cb76267fad4df4cb5886a255b383d8c

16 Oktoba, 2025

Umoja wa Afrika waifungia kwa muda Madagascar baada ya mapinduzi

Mwenyekiti wa Tume ya AU Mahamoud Ali Youssouf anasema kuwa kusimamishwa huko kutakuwa na athari mara moja.

3b6ba5d556bdd950b7bb134c2ccfaff6947abcba9a1758ac66e77442ecd9e8df

16 Oktoba, 2025

Bunge la Afrika Mashariki lachagua wajumbe maalumu wa kupambana na ufisadi, kukuza uwajibikaji

Uchaguzi huo umefanyika katika kikao cha bunge hilo kilichofanyika katikati ya wiki jijini Arusha, Tanzania.

d75175b23e80aa38fab61861aa8abbae1bf869a9c5a07ef0c1c33f8d716370e2

15 Oktoba, 2025

Kiongozi wa mapinduzi ya kijeshi Madagascar asema ‘anachukua nafasi ya urais’

Ofisi ya Rais aliyeondolwa madarakani wa Madagascar imelaani “hatua haramu” iliyotolewa na kikosi cha kijeshi kuhusu kusimamishwa kutumika kwa katiba.

f391321e4f23c5a74c90c46bfe9c8b5033c959ca06a9a872c0cdbc53d510edb8 main

15 Oktoba, 2025

Safari ya Luhaga Mpina kuwania Urais wa Tanzania yafikia mwisho

Hata hivyo, ACT Wazalendo imesisitiza kuwa itachukua hatua zaidi dhidi ya maamuzi hayo, ikiwemo kukata rufaa na kuwashirikisha wadau mbalimbali, ndani na nje ya nchi.

50991a01cdeb1c0f0a9886d1d63eab13126d458952d928a97fcecc22b9aa9efd

15 Oktoba, 2025

Afrika yamuomboleza waziri mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga

Raila Odinga alikuwa akipata matibabu nchini India

2025 10 15t093011z 1 lynxnpel9e0fp rtroptp 3 kenya odinga

15 Oktoba, 2025

Waziri Mkuu wa zamani Kenya, Raila Odinga, 80, afariki

Kulingana na familia yake, Raila odinga amekuwa akipokea matibabu nchini India kwa siku kadhaa kabla ya habari za kifo chake kutangazwa mapema Jumatano.

8ea6691dd2e79df9a969f5776096cfed02719a06416c375d22d300c790a7fb4a

15 Oktoba, 2025

Takriban watu saba wauawa kwenye mashambulizi ya ndege zisizo na rubani za RSF nchini Sudan

Angalau watu saba wmeuawa Jumanne kutokana na mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yaliyotekelezwa na Kikosi cha Wanamgambo wa RSF, nchini Sudan, kwa mujibu wa mamlaka za eneo hilo na wahudumu wa afya.

2025 04 15t181858z 2060998340 rc2dydarvg3k rtrmadp 3 sudan politics anniversary displaced
Inapakia...