29 Januari, 2026

ECOWAS yaiondolea vikwazo Guinea

Jumuiya hiyo iliiwekea Guinea vikwazo kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 2021.

690166d22ba016917fe307955c8ce9df30341fbaa696c4276c71b5c8de851b32

29 Januari, 2026

CAF yashusha rungu zito kwa Morocco na Senegal baada ya fujo za katika Fainali ya AFCON 2025

Kupitia Kamati yake ya Nidhamu CAF imetangaza adhabu kali dhidi ya timu za taifa za Morocco na Senegal kufuatia matukio yaliyotokea katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 uliyofanyika Januari 18, 2026.

cb55df153151007f9475b3f9a2a2220a6dddc97d3d0da09030362d139228f9cd

29 Januari, 2026

Milipuko na risasi zatetemesha Niamey karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa

Mashuhuda: milio ya risasi ilidumu kwa takriban saa mbili.

371

29 Januari, 2026

Misri yajitayarisha kupokea majeruhi kutoka Gaza na kusambaza misaada kupitia Rafah

Misri: “Tuko tayari kwa 100% kupokea majeruhi na kupeleka misaada Gaza.”

370

28 Januari, 2026

Al Fasher ya Sudan yageuka mahame baada ya RSF kuchukua udhibiti

MSF: Al Fasher umeharibiwa na sasa ni mahame.

364

28 Januari, 2026

Waziri Mkuu Abiy Ahmed akutana na maafisa waandamizi wa Marekani kujadili usalama na ushirikiano

Abiy Ahmed akutana na maafisa waandamizi wa Marekani kujadili usalama na ushirikiano.

365

28 Januari, 2026

Watu wenye silaha wauwa polisi watatu Katsina, Nigeria

Polisi watatu wauawa, wawili wajeruhiwa katika shambulio Katsina.

367

28 Januari, 2026

Ghana yampa uraia IShowSpeed baada ya ziara ya Afrika

Ghana yampa uraia IShowSpeed, mtengeneza maudhui maarufu wa YouTube.

366

28 Januari, 2026

13 wafa baada ya mgodi kuporomoka Sudan

Hata hivyo, maofisa nchini humo wamelalamikia utoroshwaji wa madini nje ya mipaka ya nchi hiyo, ikiwemo Chad, Sudan Kusini na Misri, kabla ya kufika Umoja wa Falme za Nchi ya Kiarabu, ambayo ni nchi ya pili kwa uzalishaji mkubwa wa dhahabu.

34dc19e93ad24a5a661df2b23f42e4c4424ad98ba826d7524607db00c73b2b73

28 Januari, 2026

Malawi yaomba msaada wa kimataifa kupambana na mafuriko

Mafuriko nchini humo yameua watu wapatao 40, na kuwaacha wengine bila makazi

18e55da301872237065944a290a8e087432ee9ea050c3053b37b5a404f4e30df
Inapakia...