Afrika Kusini yamfukuza mjumbe wa Israel kwa kumkashifu Rais Ramaphosa

Afrika Kusini imetangaza kuwa mjumbe wa Israel Ariel Seidman, ni mtu asiyekaribishwa nchini humo, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo siku ya Ijumaa.
30 Januari, 2026
Air Tanzania yazindua safari za Ghana

Katika tukio hilo, ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania, ilitua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kotoka jijini Accra, na kukaribishwa na salamu ya maji, maarufu kama ‘Water Salute’.
30 Januari, 2026
Somalia yazuia ndege ya Israel kupita katika anga yake

Somalia imekataa kuhuisha kibali cha kuruka juu ya anga lake kwa kampuni ya ndege ya Arkia Israeli Airlines, ambayo kwa kawaida hutumia anga la Somalia katika safari zake za moja kwa moja kati ya Tel Aviv na Bangkok.
30 Januari, 2026
Mkuu wa Majeshi wa Uganda aiomba radhi Marekani

Mkuu wa Majeshi nchini Uganda, Muhoozi Kainerugaba aiomba radhi Marekani kufuatia ‘tweets’ zake za awali.
30 Januari, 2026

Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa DRC Patrice Emery Lumumba afariki dunia

Kiongozi wa Guinea-Bissau N’Tam apandishwa cheo cha juu zaidi cha jeshi

Burkina Faso yafuta vyama vyote vya kisiasa kwa madai ya Kusababisha ‘mgawanyiko’

Shirika la Umoja wa Mataifa linasema watu wengine 285 wameachwa bila makazi Kordofan Kusini Sudan

Afrika Kusini yapendekeza mfuko mpya wa mageuzi kusaidia biashara za Weusi
29 Januari, 2026
ECOWAS yaiondolea vikwazo Guinea
Jumuiya hiyo iliiwekea Guinea vikwazo kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 2021.

29 Januari, 2026
CAF yashusha rungu zito kwa Morocco na Senegal baada ya fujo za katika Fainali ya AFCON 2025
Kupitia Kamati yake ya Nidhamu CAF imetangaza adhabu kali dhidi ya timu za taifa za Morocco na Senegal kufuatia matukio yaliyotokea katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 uliyofanyika Januari 18, 2026.

29 Januari, 2026
Milipuko na risasi zatetemesha Niamey karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa
Mashuhuda: milio ya risasi ilidumu kwa takriban saa mbili.

29 Januari, 2026
Misri yajitayarisha kupokea majeruhi kutoka Gaza na kusambaza misaada kupitia Rafah
Misri: “Tuko tayari kwa 100% kupokea majeruhi na kupeleka misaada Gaza.”

28 Januari, 2026
Al Fasher ya Sudan yageuka mahame baada ya RSF kuchukua udhibiti
MSF: Al Fasher umeharibiwa na sasa ni mahame.

28 Januari, 2026
Waziri Mkuu Abiy Ahmed akutana na maafisa waandamizi wa Marekani kujadili usalama na ushirikiano
Abiy Ahmed akutana na maafisa waandamizi wa Marekani kujadili usalama na ushirikiano.

28 Januari, 2026
Watu wenye silaha wauwa polisi watatu Katsina, Nigeria
Polisi watatu wauawa, wawili wajeruhiwa katika shambulio Katsina.

28 Januari, 2026
Ghana yampa uraia IShowSpeed baada ya ziara ya Afrika
Ghana yampa uraia IShowSpeed, mtengeneza maudhui maarufu wa YouTube.

28 Januari, 2026
13 wafa baada ya mgodi kuporomoka Sudan
Hata hivyo, maofisa nchini humo wamelalamikia utoroshwaji wa madini nje ya mipaka ya nchi hiyo, ikiwemo Chad, Sudan Kusini na Misri, kabla ya kufika Umoja wa Falme za Nchi ya Kiarabu, ambayo ni nchi ya pili kwa uzalishaji mkubwa wa dhahabu.

28 Januari, 2026
Malawi yaomba msaada wa kimataifa kupambana na mafuriko
Mafuriko nchini humo yameua watu wapatao 40, na kuwaacha wengine bila makazi



